Mzee wa be the first to replymmemsahau. joseverest
Safi,endelea tu kuchezea Afya yako.Ni kweli mkuu
Binafsi nawakubali wengi, lkn kuna mada fulani kuhusu ukimwi kule jamvi la jf doctor. Deception amebalisha akili yangu kabisa. Sasa situmii kondom tena kwa sababu ya hoja zake.
Hongera sana DECEPTION
Najikubali mwenyewe NumbisaView attachment 519808
namkubali kichizi mwanangu mmoja hivi nilisoma nae O-level alikuwa anajiita black fire sasa sijui ndio wewe chief.Unajikubali mwenyewe. Ni vzur zaidi kuwakubali na wenzetu pia
Uuuh niseme nini mimi?... "Glory be to God".ONTARIO nmemkubali kwa kiasi chake maana kuna mada zake zimenigusa sana. Mkuu ONTARIO popote ulipo nmekuelewa hata mm. Unaweza kupangilia hoja zako. Sjakuweka katika list kwa sababu nmesoma mada zako tatu tu na bado nina mengi ya kujifunza kutoka kwako. Muda ukifka najua nitakupa heshima yako. Japo mpk sasa nmekuelewa na umenitia moyo sana Bado naendelea kukusoma.
Kuna huyu mdada anaitwa Heaven Sent huwa namuelewa sana. Anajua kutoa ushauri, kutia moyo na kufundisha neno la Mungu. Akiingia ktk mada inayohitaji ushauri huwa anaitendea haki.
Ha ha ha ha !! Imebidi nicheke tu mkuu.Safi,endelea tu kuchezea Afya yako.
Uko sawa kabisa, angalia hata likes unazopokea na ulizotoa, sema wewe ni mkweli, uko mbinafsi. Hongera.Mm najikubali mwenyewe
Ha ha ha ! Mkuu kifaa ninachotumia kuingia jf hakinipi uhuru na nafasi ya kufanya mengi. Natumia Nokia TochiUko sawa kabisa, angalia hata likes unazopokea na ulizotoa, sema wewe ni mkweli, uko mbinafsi. Hongera.
Hakuna aliyenikubali mpaka sasa??
Poa mkuu sio vibaya mwenyezi mungu alituumba tuwe tofauti na ndio maana mambo yanaenda, hatuwezi kuwa na tabia sawa, huo ndio ubinadamu.Ha ha ha ! Mkuu kifaa ninachotumia kuingia jf hakinipi uhuru na nafasi ya kufanya mengi. Natumia Nokia Tochi
Nasikia unao wengi wanakuficha ficha,mara huyu kakuweka mkono,huyu pua skku wakifunguka ni fumanizi la karneView attachment 519821
Huyo alikuwa wa wapi?namkubali kichizi mwanangu mmoja hivi nilisoma nae O-level alikuwa anajiita black fire sasa sijui ndio wewe chief.
Amen.Uuuh niseme nini mimi?... "Glory be to God".