Member wajf msaidieni rafiki yangu.

luckyperc

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
495
46
Anatatizo pindi aendambo kukojoa anajikuta sha.hawa zinamwagika kwanza halafu ndo mkojo unafuatia!
Je tatizo ni nini?
Je kwa baadae swala la nguvu za kiume itakuwaje?

Msaidie ushauri wenu ni wa muhimu.
 
Anatatizo pindi aendambo kukojoa anajikuta sha.hawa zinamwagika kwanza halafu ndo mkojo unafuatia!
Je tatizo ni nini?
Je kwa baadae swala la nguvu za kiume itakuwaje?

Msaidie ushauri wenu ni wa muhimu.

Anajuaje kuwa ni shahawa? isijekuwa ni usaha.
Aende hosp kupima.
 
Back
Top Bottom