Hivi ni Mara ya ngapi Membe kuhojiwa kwenye hicho kipindi.?
Au ni maalum kwa watu fulani kujiosha.
Hivi hakuna wa kuwahoji!kila siku yeye tu ila mara ya tatu namuona dk 45 ITV!naomba leo tena aseme tena hatogembea Ubungo
AMAKyasa mkuu si aulizwe ACCT ya ESCROW fedha zetu kaiba nani??
Mbona wezi hawakamatwi, maji ya Nile faida yake kwa sasa ni nini, wakati wenzake wanaiba live fedha zetu??
Umeniwai mkuuu anaboa sasa
Atakuwa analipa ili aonekane kwenye kichupa. Yuko very weak huyo bwana!!!!Hivi ni Mara ya ngapi Membe kuhojiwa kwenye hicho kipindi.?
Au ni maalum kwa watu fulani kujiosha.