Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

Kuna tetesi ya kupewa U/MKUU wanajanvi. Hivyo lazima agombee kiti cha ubunge. Nape atapewa jimbo linguine hasa yale yawaliozomea mkutanoni wakimataka Lowasa. AMINI HIVYO

Kama jimbo gani?
 
Acha kupotosha watu Membe hana mpango wa kugombea jimbo la Mtama labda lingine na badala yake Nape ndo atakuja kugombea jimbo la Mtama na hata leo amepita hapa Mtama akiwa ameongozana na mzee Chitende mbunge wa zamani wakielekea Nyangamara na Nahukahuka.
 
Iwapo Magufuli atakuwa rais hapo October basi kwa maoni yangu the best person kuwa PM Ni Mh Mwandri (aliye naibu Waziri Pm office kwa sasa).Nawakilisha
 
movie ndefu iyo...!!
Sasa ni NAPE vs MEMBE kutoka best friend hadi mpinzani...!!!
hii ni episode 4 baada ya JK vs EDO
 
Hata UPM haitakuwa rahisi kihivyo. Yule jamaa anaweza akamobilise wabunge wakapiga kura ya hapana wakati wa kumthibitisha.... Hasira za yule mzee bado zitakuwa hazijapoa.

Ha ha ha ha duh mkuu umenivunja mbavu! haya bana.🙂
 
tz ifungue ubalozi comoro aende huko awe balozi wa kudumu....the chap is good for nothing....hata wanaompamba wana hitilafu vichwani

Naangalia nchi ambayo ipo distance ya mbali zaidi na TZ, apewe ubalozi New Zealand au Visiwa vya Vanuatu kama haupo ufunguliwe kwa ajili yake au apelekwe Chille, akae mbali kabisa
 
empty debes ussualy make the most noise.kama hamjui kulichojiri dodoma niwaambie kwamba kauli moja ambayo ilikuwa inatembea ndani ya wanaCC ni kwamba hamna mtu ambaye ni mkubwa kuliko chama.hii kauli ndiyo ilimfanya membe akatwe jina kwa sababu ingeleta mpasuko.hivyo basi kauli hiyo inasemekana imebebwa hata baada ya mkutano mkuu.kumuweka membe waziri mkuu ni kurudisha makundi na huko baaadaye italeta mpasuko kama ambavyo ilikuwa juzi dodoma.
 
wengi mnaocomment humu mnatoa habari zenu vijiweni,hata wewe mtoa mada utambue kwamba hakuna tuzo jamii forums. kwa maisha ya kawaida kuna kuanguka na ukianguka kuna kujipanga tena. na kwenye siasa ndiyo vile vile.sasa ukiona mwana siasi ana ujasiri wa kuliaga jimbo na baadaye kusema anarudi ujue mi mwanasaisa komavu na aliyewatendea haki wana jimbo lake.najua membe hajasema anarudi jimboi ni wewe tu umezusha lkn hata kama akisema ningependa uelewe hilo.

nina uhakika kuna wengine humu hata kurudi nyumbani kwa mama zao wanaona aibu,maisha yanakukunguta huko nje unashindwa hata kurudi kwa wazazi hata kuomba ushauri kwa jinsi ulivyo na aibu.nyumbani ni nyumbani na kama wana mtama watamkubali jamaa basi safi sana hayo mengine majaaliwa.
 
sasa na lowassa aliyesema plan a yake ni kushinda,plan b ni kushinda pia na plan c ni kushinda.ndugu yangu ukiwa unaanza safari lazma uwe na imani kwamba utafika especially kama unataka watu wa kusafiri nao,ili nao wawe na imani safari mtafika pamoja.
 
Braza alishamuhakikishia uraisi ndo mana cku yakutangaza nia alikua anashambulia ukawa as if kashapitishwa sasa akalime mananasi msoga na kaka yke!
 
membe ni mweupe mno,..awamu ya jk tumeshuhudia magalasa mengi yakiwa promoted kwa nguvu!!pourin syrup on a shit doesn't make it a pancake.
 
Acha kupotosha watu Membe hana mpango wa kugombea jimbo la Mtama labda lingine na badala yake Nape ndo atakuja kugombea jimbo la Mtama na hata leo amepita hapa Mtama akiwa ameongozana na mzee Chitende mbunge wa zamani wakielekea Nyangamara na Nahukahuka.
Nape kwao Iramba Singida nduguti iweje aende lindi?ina maana watu wa mtama wamelala kiasi hicho?
 
Back
Top Bottom