kipoke KIPOKE
Member
- Apr 20, 2015
- 54
- 9
Nakumbuka katika baadhi ya hotuba zaka hapa wizarani ulituambia kuwa hutarudi tena kuwa waziri maana utakuwa mkuu wa nchi sasa umeangukia pua unanarudi tena jimboni kuna nini? muachie katibu Nape mnauye na yeye aonje ubunge