Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

kipoke KIPOKE

Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
54
Reaction score
9
Nakumbuka katika baadhi ya hotuba zaka hapa wizarani ulituambia kuwa hutarudi tena kuwa waziri maana utakuwa mkuu wa nchi sasa umeangukia pua unanarudi tena jimboni kuna nini? muachie katibu Nape mnauye na yeye aonje ubunge
 
Jamaa yake alishamhakikishia anamwachia ofisi ili waendelee na ushkaji wao. Kama unakumbuka hata baada ya majina jubaki matano mtoto wa boss aliandika kwenye tweeter yake kwamba aliahasema rais hatatoka kaskazini maana mipango ilishamalizika.
Huyu Mungu sio John, wala Juma, ashukuriwe sana. Sasa jamaaa anasoma mapicha maana aliwwkewa watu dhaifu kina dada ili njia iwe nyepesi. Pole Membe rudi jimboni maana hata uwaziri hutapata twna. Serikali ya kishkaji imekwisha.
 
Huyu nae alijitapa atarudi kivingine Bungeni, Baada ya Matokeo ya Dodoma sasa labda aende Bungeni kama Rafiki wa Madam Spika
 
Nakumbuka katika baadhi ya hotuba zaka hapa wizarani ulituambia kuwa hutarudi tena kuwa waziri maana utakuwa mkuu wa nchi sasa umeangukia pua unanarudi tena jimboni kuna nini? muachie katibu Nape mnauye na yeye aonje ubunge
Hapo tena ni kama mwanamke hutamuachia mwingine, tatizo walijiamini mno kwa uraibu wa siasa
 
Jamaa yake alishamhakikishia anamwachia ofisi ili waendelee na ushkaji wao. Kama unakumbuka hata baada ya majina jubaki matano mtoto wa boss aliandika kwenye tweeter yake kwamba aliahasema rais hatatoka kaskazini maana mipango ilishamalizika.
Huyu Mungu sio John, wala Juma, ashukuriwe sana. Sasa jamaaa anasoma mapicha maana aliwwkewa watu dhaifu kina dada ili njia iwe nyepesi. Pole Membe rudi jimboni maana hata uwaziri hutapata twna. Serikali ya kishkaji imekwisha.
Na mmoja wa watu walio changia sana Membe kujikuta anachukiwa ni ushiriki na kauli za marakwa Mara za huyo mtoto wa bosi
 
Jamaa yake alishamhakikishia anamwachia ofisi ili waendelee na ushkaji wao. Kama unakumbuka hata baada ya majina jubaki matano mtoto wa boss aliandika kwenye tweeter yake kwamba aliahasema rais hatatoka kaskazini maana mipango ilishamalizika.
Huyu Mungu sio John, wala Juma, ashukuriwe sana. Sasa jamaaa anasoma mapicha maana aliwwkewa watu dhaifu kina dada ili njia iwe nyepesi. Pole Membe rudi jimboni maana hata uwaziri hutapata twna. Serikali ya kishkaji imekwisha.

Inambidi arudi mtama awaangukie wapiga kura wake watampokea na kazi itabakia kwa nape maana hajui atagombea wapi,labda akagombee kule tukuyu
 
Nakumbuka katika baadhi ya hotuba zaka hapa wizarani ulituambia kuwa hutarudi tena kuwa waziri maana utakuwa mkuu wa nchi sasa umeangukia pua unanarudi tena jimboni kuna nini? muachie katibu Nape mnauye na yeye aonje ubunge

Mkuu kwan huko Mtama hakuna mtu makini mwenye kiwango bora cha IQ mpk aende huyo msemaji???
Me nina imani sana ya kuwepo vijana makin kutoka huko wataoweza kuwakilisha. IQ ya mgombea ni sifa mmojawapo ya wabunge watarajiwa ktk Bunge lijalo la 11....
 
kumbe kaahidiwa UWAZIRI MKUU lo haya bwana nape hangaika ki vyako

Kama ni kweli anagombea basi huenda ukawa umepatia. Team ya ushindi itahitaji waziri mkuu nani kama BCM. Kumbuka ile kura (zile nyingi) huenda ilikuwa siyo ya kumkubali JPM haswa haswa bali ya kumkataa BCM. Naili mtu uwe PM wa JMT lazima uwe MB wa JIMBO (kuchaguliwa).
 
Jamaa yake alishamhakikishia anamwachia ofisi ili waendelee na ushkaji wao. Kama unakumbuka hata baada ya majina jubaki matano mtoto wa boss aliandika kwenye tweeter yake kwamba aliahasema rais hatatoka kaskazini maana mipango ilishamalizika.
Huyu Mungu sio John, wala Juma, ashukuriwe sana. Sasa jamaaa anasoma mapicha maana aliwwkewa watu dhaifu kina dada ili njia iwe nyepesi. Pole Membe rudi jimboni maana hata uwaziri hutapata twna. Serikali ya kishkaji imekwisha.

Ajipendekeze kwa Dr slaa anaweza kumpa ubalozi nchini libya
 
Mkuu kwan huko Mtama hakuna mtu makini mwenye kiwango bora cha IQ mpk aende huyo msemaji???
Me nina imani sana ya kuwepo vijana makin kutoka huko wataoweza kuwakilisha. IQ ya mgombea ni sifa mmojawapo ya wabunge watarajiwa ktk Bunge lijalo la 11....

Nape ni msanii wa ngoma za jadi
 
Back
Top Bottom