Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

Nape naye kaonja joto.
Nape aje mjini DAR achuane na watoto wamjini. Aende kugombea ubungo au jimbo la kawe. Kazoea kubebwa na kuongea ovyo. safari hii ni zamu yake aje aongee lugha na watoto wa town aone moto wake
 
Nakumbuka katika baadhi ya hotuba zaka hapa wizarani ulituambia kuwa hutarudi tena kuwa waziri maana utakuwa mkuu wa nchi sasa umeangukia pua unanarudi tena jimboni kuna nini? muachie katibu Nape mnauye na yeye aonje ubunge

Njaa mbaya kiongozi,adui muombee njaaaaaa!
 
Mkuu kwan huko Mtama hakuna mtu makini mwenye kiwango bora cha IQ mpk aende huyo msemaji???
Me nina imani sana ya kuwepo vijana makin kutoka huko wataoweza kuwakilisha. IQ ya mgombea ni sifa mmojawapo ya wabunge watarajiwa ktk Bunge lijalo la 11....

Unategemea huyo mtia nia mwingine atapenya ukizingatia mc naye anaitaka hiyo nafasi?
 
Back
Top Bottom