Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

Kuna tetesi ya kupewa U/MKUU wanajanvi. Hivyo lazima agombee kiti cha ubunge. Nape atapewa jimbo linguine hasa yale yawaliozomea mkutanoni wakimataka Lowasa. AMINI HIVYO
 
membe alikuwa ndo mbadala wa mkulu bt team lowasa wote hawakumpgia kura walivyoona mtu wao kakatwa wakaona bora wampe kura zao bwana kilevI kwa hasira
 
Nakumbuka katika baadhi ya hotuba zaka hapa wizarani ulituambia kuwa hutarudi tena kuwa waziri maana utakuwa mkuu wa nchi sasa umeangukia pua unanarudi tena jimboni kuna nini? muachie katibu Nape mnauye na yeye aonje ubunge

Sasa asiporudi jimboni atakimbilia wapi tena..?!
Lazima akagombee ubunge ili awe na uhakika wa ajira yake (uwaziri)!! tena.
 
Nilishindwa kumwelewa katika moja ya kauli zake pale aliposema kuwa yeye anafahamika na Familia ya Rais hivyo watu wamsapoti katika kinyang'anyiro cha kumpata Mpeperushi wa Bendera ya CCM.
 
Sasa asiporudi jimboni atakimbilia wapi tena..?!
Lazima akagombee ubunge ili awe na uhakika wa ajira yake (uwaziri)!! tena.

Fweeeza alizo tumia kwenye kusaka udhamini inabidi zirudi tu kupitia mjengoni
 
Chance ya Waziri Mkuu inaangaliwa na kanda ya Iringa, Mbeya, Songea, Katavi, Sumbawanga na sehemu za Tabora. Nako huko walipata pigo ktk gulio la Dodoma CCM.
So uwezekano wa kubalance mambo ktk CCM watajaribu kupima, kama WM atoke Iringa - (Inategemea Elimu yake Mr Lukuvi) au mbunge alikwenda xcul na asiye na makundi.
Kanda ya kusini.. Kumweka Membe makundi hayatakwisha, CCM iamue kubadilika.
 
Nina maadui 11 ikifika muda nitawataja_membe
 
Membe alisema bungeni wakati anafanya majumuhisho ya bajeti ya wizara yake kwamba..hata ingia bungeni akiwa mbunge bali akiwa na cheo kingine kikubwa zaidi....inashangaza kama yeye mwenyewe anaenda kinyume na kauli yake..hiyo tu inatosha kutuaminisha kuwa wanasiasa sio wakuaminiwa.
 
Dawa yake awe balozi wa Tanzania nchini Libya.

Hahaha, unafurahisha mkuu.Aende Libya, Kunaserikali mbili ndani ya nchi moja, sijui atakuwa balozi upande Wa wanaoitwa na nchi za magharibi kuwa waasi au serikali inayokubalika na wazee Wa maslahi aka USA.
 
Hata UPM haitakuwa rahisi kihivyo. Yule jamaa anaweza akamobilise wabunge wakapiga kura ya hapana wakati wa kumthibitisha.... Hasira za yule mzee bado zitakuwa hazijapoa.
 
Uwaziri mkuu watampa lukuvi,

Lakini kama uwaziri mkuu wangempa Harrison Mwakyembe Ingekuwa combination safi sana, hapa rais Magufuli pale waziri mkuu Mwakyembe aaiiisee! wote wachapakazi hodari Ingekuwa serikali madhubuti haijawahi tokea au labda tuifananishe na ile serikali ya Nyerere na Sokoine, hapana chezea kabisa! weka mbali na watoto!
 
Hata UPM haitakuwa rahisi kihivyo. Yule jamaa anaweza akamobilise wabunge wakapiga kura ya hapana wakati wa kumthibitisha.... Hasira za yule mzee bado zitakuwa hazijapoa.

Ccm si wanatagaza kuwa makundi yameisha?
 
Uwaziri mkuu watampa lukuvi,

Lakini kama uwaziri mkuu wangempa Harrison Mwakyembe Ingekuwa combination safi sana, hapa rais Magufuli pale waziri mkuu Mwakyembe aaiiisee! wote wachapakazi hodari Ingekuwa serikali madhubuti haijawahi tokea au labda tuifananishe na ile serikali ya Nyerere na Sokoine, hapana chezea kabisa! weka mbali na watoto!

Uchaguzi umeshakwisha na aona umesha waapisha viongozi wako tayari mkuu,unatisha sana.
 
Back
Top Bottom