Membe sasa apania Kuvunja muungano

Msitafute visingizio, kama mnataka kuanza anzeni...., mlale mbele huko
 
Msitafute visingizio, kama mnataka kuanza anzeni...., mlale mbele huko

Mkuu wakivunja muungano mbna watapata tabu?mana tutazima na umeme wetu pale tanga tuome kama hawatatangaza zabuni vibatari na mishumaa fasta fasta!
 
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu. Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar "Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanziba" BOSSI WNGU SI KITU KILEKILE TANZANIA NI MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR KWAHIYO WAGENI HAO WANAKWENDA KOKOTE KWA SABABU HATA KAMA WATATOA ULAJI UTAKUWA NI WATANZANIA (YAANI TANGANYIKA NA ZANZIBAR) BINAFSI SIONI TATIZO HAPO
 
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.


Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar

Akifanikiwa kuuvunja kura yangu ya urais anayo
 
Tunapenda mengi lakini hatuyapati na tunasema ya uongo na kukashifu mengi lakini ukweli utabakia palepale.
-Huu ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kutokana na dhamira dhaifu Tanganyika iliamuwa kujibebesha jina la wote, Tanzania.
- Hata huo wakati wa mnaemuamini na kumuona kama nusu Mungu, Nyerere ziara za viongozi wa nje wakienda Zanzibar kama sehemu ya pili ya Muungano na sio kama mkowa au wilaya ya Tanzania.
- Ni kweli kabisa kuwa Wizara ya Mambo ya nje ndio inayotowa mapendekezo ya wapi mgeni aende akiwa hapa Tanzania, hivyo mtowa hoja hakuwa na kosa kuilaumu wizara/ waziri.
- Ni kweli kuwa bado mnajiita UNITED REPUBLIC OF TANZANIA jina mliloanza kujiita pale mlipoungana na Zanzibar na mpaka sasa hamjaamuwa kuindowa Zanzibar kwenye huo Muungano wenu, basi ni ujinga na ukosefu wa akili kutowa kashfa kwa kutakiwa kutekeleza yale ambayo mmekuwa mkiyatekeleza kwa makubaliano.
Ni ajbu watu mnaojidai ni wastaarabu na mmesoma kushindwa kutowa hoja za maana badala yake kutowa kejeli zisizostahili watu wenye sifa kama mnazojisifu. Wazanzibari wana haki ya kuhoji wanayoyaona hayana mafao kwao na kama ni wastaarabu basi Watanganyika wajibu hoja kwa ustaarabu badala ya kujirudisha kule nyuma kabla hawajaenda mashuleni kwasababu ya chuki binafsi. Chuki binafsi hazisaidii kitu aliekuzidi atakuzidi tu na dawa yake ni kujifunza sio kutengeneza chuki.
 
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.


Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar

- Misguided mkuu, Waziri wa nje hapangi ziara za wageni wa taifa ni wao wanaoomba kupitia balozi zao wanataka kwenda wapi na kuonana na nani, unless wana project huko bongo ndio automatically ni lazima watembelee ile project, hata kama inabidi ni protocal ndio wanaopanga sio Waziri, mkuu nenda uulize tena hii hoja yako ni misguided na ni miss-informed pia, jamani waoneeni wananchi huruma wananchi na hizi information maana mtaishia kuwachanganya, I mean toka lini Waziri akapanga ziara ya wageni wa taifa? au ni sheria gani ya jmahuri inayompa hayo madaraka?

William @ NYC, USA.
 
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu. Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar
Mbona hata Mpanda,RUKWA hawakufika. Hata Morogoro hawakufika,hatujasikia malalamiko. Why Zanzibar. Infiliority complex!?
 
Yani wewe mawazo yako ni mgando unaacha kujiuliza maalim seif kawa kimya kapewa nini na wewe kilaza wake umepewa nini? umesema viongozi wa kimataifa wakija tanzania hawaji znz hujapata jibu tuu kwamaba walikuwa wageni wa tz..? haya na sisi wasukuma, wakurya wachaga wamasai wote watake hilary clintoni aende itakuaje..? subiri kama wakija ki ziara za majimbo na wasipofika chake chake hapo lalama yakhe muungano marehemu bado mnataka uvunjike mara ngapi? nyie danganyweni mtapata maisha bora kwa kunywa kahawa na halua kwenye gem ukiwa na taulo uone kama hujalea watoto wa njee kila mwaka jadili maisha, katiba na sio mfu muungano
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.


Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar
 
Ombeni Mungu Watanganyika mujitao Watanzania kuwa ccm ishinde maicha Zanzibar ikiondoka kecho basi ndio independance day ya Zanzibar.
 
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.


Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar

acha ujinga, Tanzania maana yake nini? au hujua maana ya jamhuri ya muungano, Zanzibar si nchi, ni sehemu ta Tanzania, upende usipende huo ndio ukweli
 
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.


Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar

Kweli wewe ni serious? Hamtaki kumlaumu Kikwete ambaye ni Rais wa Nchi kwasababu ni Muislamu?

Waislamu mntaka kuipeleka nchii hii wapi? Dunia nzima inawashangaa
 
Tusitake kupotosha Ukweli tuwe honest Shinyanga ni Mkoa na zanzibar ni sehemu ya muungano ,Hoja ya ogwari ni ya msingi and it look kuna tatizo kubwa Foreign ,State house na Wezi wa protocol.Ni mwenye fikra finyu tu ndiye anayeweza kulinganisha Kigoma, Kagera na Zanzibar. Zanzibar ni Nchi ina Rais , Mawaziri ila hawana wizara ya mambo ya Nje ,kulingana na katibu ya Jamhuri ya Muungano kuna wizara ambazo zitakuwa chini ya serikali ya mapinduzi Zanzibar na kuna wizara zitakazokuwa chini ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Membe hawezi hakakwepa hizi lawama anahusika moja kwa moja na Hili suala .Solution ni Kihipa kura CDM muachane na Magamba yote CUF na CCM

Zanzibar ni nchi na ina serikali yake huru au sivyo? Sasa kwani umewahi kusikia Kenya wakilalamika kwamba Bush amefika Tz lakini hakufika Kenya? Au pengine Znz sio nchi, kwa hiyo znz ni mkoa wa Tz, au mnasemaje?
 
waziri wa mambo ya Nje na usirikiano wa kimataifa Bernard membe sasa ameonyesha dhairi ana mikakati ya siri ya kuvunja muungano kwa kuinyima zanzibar fursa ya kutembelewa na viongozi wa kimataifa pindi wanapofanya ziara Nchini .Sisi wazanzibar tunasikitishwa na kitendo cha waziri membe kuweka utaratibu mbaya wa kutoleta viongozi wa kimataifa zanzibr tunafahamu ana ajenda ya siri na akuanza leo ameanza siku nyingi mifano ipo hai akiwa ofisa mwandamizi wa ubalozi wa Tanzania Itali aliwahi kukataa kukutana na wanafunzi wa kizanzibar waliokuwa wakisoma Italy kwa madai kuwa yeye sio mzanzibar na mambo ya Zanzibar hayamhusu.


Viongozi waliotembelea Tanzania bila kufika Zanzibar na Nchi zao kwenye mabano ni Rais wa Marekani (George Bush) Rais Hu Jintao wa (China) Rais Abdulah Gur (Uturuki) Waziri Mkuu wa India Mohan Singh na waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hawa viongozi wote wamefika Tanzania hakuna hata MMoja aliyefika zanzibar

mmezidi kulalama sasa
  1. juzi bilal kaenda states, mkasema mlitaka muonane bila wabara
  2. kila siku mnatuita machoggo na hamtaki muungano
  3. itali mlitaka mumuone peke yenu badala ya kuonanana kama wazanzibari.... na warangi wakiaumua wamuone peke yao, wagogo peke yao, wandamba peke yao tutafika
  4. hao viongozi unaotaka waende zanzibar, mbona hata makao makuu ya nchi dodoma mnapokuja kula posho za ubunge hawajafika?? hebu acha utoto bhana ewe

Muungano mnavunja wenyewe sasa mnatafuta mkosaji, wacha uvunjike tuishi kama nchi jirani labda tutaheshimiana zaidi kama ambavyo tunaishi na wakenya, warwanda, warundi na waganda... Na muanze kulipa bili zetu
 
- Misguided mkuu, Waziri wa nje hapangi ziara za wageni wa taifa ni wao wanaoomba kupitia balozi zao wanataka kwenda wapi na kuonana na nani, unless wana project huko bongo ndio automatically ni lazima watembelee ile project, hata kama inabidi ni protocal ndio wanaopanga sio Waziri, mkuu nenda uulize tena hii hoja yako ni misguided na ni miss-informed pia, jamani waoneeni wananchi huruma wananchi na hizi information maana mtaishia kuwachanganya, I mean toka lini Waziri akapanga ziara ya wageni wa taifa? au ni sheria gani ya jmahuri inayompa hayo madaraka?

William @ NYC, USA.

Thanks... nimepata kashule hapo aisee
 
Dhis iz veri konfyuzing.
Kama wazazibar wana wimbo wao wa Taifa, bajeti, KMKM, Rais na kadhalika zote, kwa nini wasimwalike kiongozi yeyote wanaemtaka? Wanaweza hata kumpa Gadaff hifadhi ya kisiasa kama wanapenda.

wao wanapenda vya mdebwedo, vile vigumu wanatuachia machogo ati,
hilo la kualika kiongozi gumua ati shekhe laweza bidi uongee na simu hadi ulaya ati wacha machogo yafanye, sie twachaguana tu hapa na kula umeme wa machogo ati
 
Uku kwetu magazine hawajawai kufika!
Ila mi nadhani mgeni ajapo anakuwa na ratiba yake toka uko atokako sasa kama zenji kwao hawana mpango nako waende fanya nini?
 
Kama Waziri wa Mambo ya Nje Membe ndiye anapanga, je anashauriana na naibu wake ambaye nilifikiri ni Mzanzibar!! Kama Membe hakupenda kusikiliza ushauri wake, je alichukuwa hatua gani? Au yeye anapendelea tu vi-trip na Ghalib Bilal!!
 
Hivi kweli huu muungano una faida gani kwa watu wa bara???? Ama ni kujifurahisha tu kwamba tumeweza kuunganishi mataifa mawili.
Faida za muungano kwa Watanganyika:

1.
2.
3.
 
Back
Top Bottom