Membe: Nchi hii inahitaji majasiri kama mimi

Membe: Nchi hii inahitaji majasiri kama mimi

Bagamoyo

Platinum Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
30,057
Reaction score
34,212
10 Julai 2020

Siasa za Tanzania na uchaguzi 2020. Kipindi cha Mwandishi wa habari mahiri, mwanadiplomasia na Mwanasheria wa Mahakama Kuu ndugu Jenerali Ulimwengu anazungumza na Bernard Membe.



Baada ya leo Halmashauri Kuu ya CCM ikiwa imeunga mkono kufukuzwa uanachama toka CCM siku ya Jumatatu 13 Julai 2020 Bernard Membe atarudisha rasmi kadi ya chama cha CCM na hivyo Membe amekubali kuvuliwa kwake uanachama.

Endelea kusikiliza mahojiano kuhusu kinachofuata baada ya kutimuliwa rasmi na yeye kuafiki kuwa nje ya CCM . Agusia idara za Usalama hushauri vyema lakini viongozi wanasiasa hawatilii maanani ushauri huo mzuri wa idara.

Bernard Membe anasema WanaCCM wengi katika kupiga kura hawataunga "Juhudi za Maendeleo ya Vitu" bali watapiga kura kuungana na wengine kuchangua wale wa upande wa sera za Maendeleo ya Watu.

Source: Jenerali Online
 
bagamoyo,

MH.MWENYEKITI MAGUFULI

Kuhusu Abdulrahman Kinana amekiri MAKOSA yake,kujutia na kuomba msamaha,kwa hiyo wajumbe TUMSAMEHE TUSIMSAMEHE?!!

WAJUMBE WA NEC

Tumsameheeeeee

MH.MWENYEKITI

Yule mwingine hakuomba msamaha na CHAMA kimemfukuza rasmi,wajumbe mnasemaje

WAJUMBE WA NEC

Afukuzweeeeeeeeee


Imeishaaaai iyoooo

TWENDE NA MAGUFULI KIUNZI CHA 2020
TWENDE NA DR.HUSSEIN MWINYI KIUNZI CHA 2020.

Siempre siempre CCM
Hasta la Victoria CCM
Aluta continua CCM
VIVAAAAAAA
 
Juni 2020

ZITTO AMKARIBISHA RASMI MEMBE ACT WAZALENDO



KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema kuwa huu ni wakati muafaka kwa Benard Membe kujiunga na chama hicho ili kuunga harakati za kuhami demokrasia

Source : MwanaHALISI TV

WANANCHI LINDI WAZUIA MSAFARA | WEWE NDO RAISI WETU

UchaguziMkuu #UchaguziMkuu2020

Published on 2 Jul 2020
MSAFARA WA ZITTO KABWE WAZUIWA NA WANANCHI TANDAHIMBA. Licha ya Jeshi la Polisi kuzuia uzinduzi wa matawi katika Kata ya Kitama Jimboni Tandahimba, wananchi wamezuia msafara wa @zittokabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na kushinikiza Kiongozi huyo ashuke na kuwasalimia.

Kiongozi wa Chama Ndugu Zitto Kabwe amepata mapokezi makubwa Jimboni Tandahimba ambapo wananchi wameonesha mapenzi makubwa kwake na kumlazimisha awahutubie japo kwa muda mfupi.

Ndugu Zitto Kabwe anaendelea na ziara yake kwenye majimbo mbalimbali ya Mikoa ya Kusini. Kwenye ziara hiyo ameambatana na Katibu Mkuu Ado Shaibu, Katibu wa Ngome ya Vijana Mwanaisha Mndeme, Mjumbe wa Kamati Kuu Isihaka Mchinjita, Mbunge wa Kilwa Kusini aliyemaliza muda wake Suleimani Bungara na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Mtwara na Lindi. Janeth Rithe, Naibu Katibu wa Uenezi, ACT Wazalendo.

Source: UchaguziMkuu.. youtube
 
Profesa Mukandala - 2020 Hatima Ya CCM Mpya Haijulikani

Siasa na Utawala

Profesa Rwekaza Sympho Mukandala anazungumzia kigezo muhimu na kikubwa cha siasa na uongozi na kubaki madarakani kwa muda muafaka, Ni je wananchi wanafuraha?

Prof. Mukandala anasema haitoshi baba wa nyumba kuleta nyama, samaki na chakula kila siku nyumbani lakini familia yake inaishi bila furaha. Prof. Mukandala anataka utoe tathmini katika maeneo yao chini baada ya muhadhara wake na kutoa alama/ maksi juu ya utawala wa CCM


  • Kiongozi kuongoza kwa hiyari, kushawishi na siyo kushurutisha
  • Wakati wa janga kubwa kwa nchi, kiongozi kuwa mbele pamoja na wananchi kukabiliana na changamoto hiyo
  • Kukithiri kwa Umasikini wa watu
  • Maendeleo ya Vitu kuleta Umasikini ktk Maendeleo ya Watu
  • Ajira na Viwanda
  • Kilimo Kwanza na Masoko ya Kilimo , Mifugo, Uvuvi
  • Wananchi kukosa kushirikishwa ktk kipi ni kipau-mbele kwao maana serikali haitoi nafasi wananchi kusema
  • Sera za kiuchumi za serikali kukazania Maendeleo ya Vitu na kusahau kabisa Maendeleo ya Watu.
  • Utawala wa sheria
  • Uhuru wa Kujumuika na Kufanya Siasa
  • Kupiga vita rushwa
  • Kushindwa siasa za Ushawishi kubaki Siasa za Kushurutisha
  • Tanzania kuelewa diplomasia ya kujinafasi ki Geopolitics ktk majukumu kikanda / Kimataifa : SADC , EAC , Africa Union , United Nations, WHO, Benki ya Dunia World Bank, Fuko la Fedha IMF
  • Uwezo wa Mwenyekiti wa CCM kuzuia chama kisiwe na mpasuko si tu CCM Tanganyika na hata CCM Zanzibar kuelekea 2020

Kipimo cha kufanya vizuri CCM hakiwezi kupimwa kwa vile serikali yake imeweza kutengeneza miundombinu lukuki na kulazimisha watu waridhike wakati wananchi hawana furaha kutokana na ukata mifukoni mwao. Kipimo halisi ni hayo madokezo hapo juu.


Source :
25 Nov 2018
African Intellectuals : Prof. Rwekaza Mukandala - Hali ya Uchumi na Siasa Nchini Tanzania Miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Tano: "Tunatoka wapi, Tuko wapi na Tunakwenda wapi"
 
5 Julai 2020
Mbeya, Tanzania

CCM NYANDA ZA JUU KUSINI : Walalama na kusema tumechoka kuongozwa na upinzani.



Sasa CCM lazima tuchukue hatua dhidi ya wasaliti walio ndani ya chama maana subira ya kungojea imekuwa ndefu na lazima tufanye hima tusikose kupata kura nyingi za wananchi 2020 hapa mkoani Mbeya.

Source : MbeyaYetuOnlineTV

More info :
MPASUKO NDANI YA CCM
10 Julai 2020
Dodoma, Tanzania

Mjumbe wa NEC CCM awasilisha malalamiko ya wanaCCM wa Songwe Tunduma kuhusu 'Waunga Juhudi' toka upinzani kupewa vyeo haraka na CCM Mpya


MAGUFULI AMPA MAKAVU ALIYELALAMIKA WANAOHAMIA CCM KUPEWA VYEO, "NATAKA AWE MJUMBE WA NEC" Rais Dkt John Magufuli ametolea ufafanuzi suala la wanaohamia CCM kupewa nafasi za juu za uongozi, awasisitiza walio ndani ya CCM kujituma..
Source : Global TV online
 
10 Julai 2020

Siasa za Tanzania na uchaguzi 2020. Kipindi cha Mwandishi wa habari mahiri, mwanadiplomasia na Mwanasheria wa Mahakama Kuu ndugu Jenerali Ulimwengu anazungumza na Bernard Membe.



Baada ya leo Halmashauri Kuu ya CCM ikiwa imeunga mkono kufukuzwa uanachama toka CCM siku ya Jumatatu 13 Julai 2020 Bernard Membe atarudisha rasmi kadi ya chama cha CCM na hivyo Membe amekubali kuvuliwa kwake uanachama.

Endelea kusikiliza mahojiano kuhusu kinachofuata baada ya kutimuliwa rasmi na yeye kuafiki kuwa nje ya CCM . Agusia idara za Usalama hushauri vyema lakini viongozi wanasiasa hawatilii maanani ushauri huo mzuri wa idara.

Bernard Membe anasema WanaCCM wengi katika kupiga kura hawataunga "Juhudi za Maendeleo ya Vitu" bali watapiga kura kuungana na wengine kuchangua wale wa upande wa sera za Maendeleo ya Watu.

Source: Jenerali Online

Well said.
 
Halafu hii hoja ya sera ya maendeleo ya watu badala ya vitu naona haina uhalisia wowote.

Huwezi mtofautisha mtu na vitu, na pia huwezi kuendelea binafsi bila kuwa na vitu bora.

Vitu na watu vinategemeana katika kupima maendeleo.

Hakuna Taifa duniani lenye maendeleo ya watu bila vitu.

Ni hapa Tanzania tu, wanasiasa wetu wanataka kutudanganya kwa manufaa yao binafsi eti hakuna umuhimu wa maendeleo ya vitu. Huu ni uongo.
 
10 Julai 2020

Siasa za Tanzania na uchaguzi 2020. Kipindi cha Mwandishi wa habari mahiri, mwanadiplomasia na Mwanasheria wa Mahakama Kuu ndugu Jenerali Ulimwengu anazungumza na Bernard Membe.



Baada ya leo Halmashauri Kuu ya CCM ikiwa imeunga mkono kufukuzwa uanachama toka CCM siku ya Jumatatu 13 Julai 2020 Bernard Membe atarudisha rasmi kadi ya chama cha CCM na hivyo Membe amekubali kuvuliwa kwake uanachama.

Endelea kusikiliza mahojiano kuhusu kinachofuata baada ya kutimuliwa rasmi na yeye kuafiki kuwa nje ya CCM . Agusia idara za Usalama hushauri vyema lakini viongozi wanasiasa hawatilii maanani ushauri huo mzuri wa idara.

Bernard Membe anasema WanaCCM wengi katika kupiga kura hawataunga "Juhudi za Maendeleo ya Vitu" bali watapiga kura kuungana na wengine kuchangua wale wa upande wa sera za Maendeleo ya Watu.

Source: Jenerali Online
 
Kama ni kiwewe cha urais basi huyu mtu ni wa kuogopa kama ukoma. Nimecheka hadi basi. Membe anadai ni jasiri na special kuliko Lowasa. Membe anasema anajua anapendwa na watu kwa sababu anaona mtandaoni. Wajameni, ni mtandao gani huo tusio soma sisi wengine mbali na matusi yanayo poromoshwa kwake kila jina lake linapojitokeza? Anataka eti grand coalition ya vyama vya upinzani ndo akachukue form! Kama Membe unajiamini unamvuto na kupendwa sana kiasi hicho unahitaji coalition ya nini? Huo ndo ujasiri? Simply, wewe ni chizi kweli. Siyo bure.
 
Kama ni kiwewe cha urais basi huyu mtu no wa kuogopa kama ukoma. Nimecheka hadi basi. Membe anadai ni jasiri na special kuliko Lowasa. Membe anasema anajua anapendwa na watu kwa sababu anaona mtandaoni. Wajameni, ni mtandao gani huo tusio soma sisi wengine mbali na matusi yanayo poromoshwa kwake kila jina lake linapojitokeza? Anataka eti anataka grand coalition ya chama cha upinzani ndo akachukue form! Kama Membe unajiamini unamvuto na kupendwa sana kiasi hicho unahitaji coalition ya nini? Huo ndo ujasiri? Simply, wewe ni chizi kweli. Siyo bure.
Usikute unakaa kwa shemeji wa CCM apa upo bussy kumtukana membe pole sanam
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Halafu hii hoja ya sera ya maendeleo ya watu badala ya vitu naona haina uhalisia wowote.

Huwezi mtofautisha mtu na vitu, na pia huwezi kuendelea binafsi bila kuwa na vitu bora.

Vitu na watu vinategemeana katika kupima maendeleo.

Hakuna Taifa duniani lenye maendeleo ya watu bila vitu.

Ni hapa Tanzania tu, wanasiasa wetu wanataka kutudanganya kwa manufaa yao binafsi eti hakuna umuhimu wa maendeleo ya vitu. Huu ni uongo.
Huelewi hata maana ya wakisemacho. Wanaposema vitu wanamaanisha vitu vinavyohusiana na maisha ya watu hao moja kwa moja.
Huwezi kujisifu kuwa una mindege imepaki airport wakati watoto wanakaa chini madarasani au wanahuduma mbovu za afya kwa kukosa vifaa tiba.
Huwezi kujisifu reli ya SGR wakati wananchi wanakunywa maji kutoka mabwawa wanayotumia na ng'ombe.
Hakuna akataaye maendeleo ya vitu vinavyo husiana na maisha ya watu hao, hata katika familia ni upumbavu kumiliki Range vogue ilihali watoto unashindwa kuwalisha vyema na kuwasomesha.
 
Kama ni kiwewe cha urais basi huyu mtu no wa kuogopa kama ukoma. Nimecheka hadi basi. Membe anadai ni jasiri na special kuliko Lowasa. Membe anasema anajua anapendwa na watu kwa sababu anaona mtandaoni. Wajameni, ni mtandao gani huo tusio soma sisi wengine mbali na matusi yanayo poromoshwa kwake kila jina lake linapojitokeza? Anataka eti anataka grand coalition ya chama cha upinzani ndo akachukue form! Kama Membe unajiamini unamvuto na kupendwa sana kiasi hicho unahitaji coalition ya nini? Huo ndo ujasiri? Simply, wewe ni chizi kweli. Siyo bure.

Mkuu ulimsikia yule 'mkara' aliyekuwa akisemwa na mwalimu (rip) kuhusiana na kugombea urais?

"Mkara naye anataka kugombea urais? Mkara naye awe rais?" Mwisho wa kumnukuu?

Isije kuwa kiwewe unacho wewe mkuu?

😀😀😀
 
wakati mwingine kusema uongo sio ishu,ila ujasiri wa kusema uongo ndio linakuwa tatizo.

Maembe hata usoni ni tapeli,kama kaka yake.
 
Halafu hii hoja ya sera ya maendeleo ya watu badala ya vitu naona haina uhalisia wowote.

Huwezi mtofautisha mtu na vitu, na pia huwezi kuendelea binafsi bila kuwa na vitu bora.

Vitu na watu vinategemeana katika kupima maendeleo.

Hakuna Taifa duniani lenye maendeleo ya watu bila vitu.

Ni hapa Tanzania tu, wanasiasa wetu wanataka kutudanganya kwa manufaa yao binafsi eti hakuna umuhimu wa maendeleo ya vitu. Huu ni uongo.

Moja, Watumishi wa Umma hawajaongezwa mishahara wala kupandishwa madaraja ya utumishi wao kwa miaka mitano,

Hapo uwiano wa maendeleo ya Watu na Vitu upo wapi?
 
Halafu hii hoja ya sera ya maendeleo ya watu badala ya vitu naona haina uhalisia wowote.

Huwezi mtofautisha mtu na vitu, na pia huwezi kuendelea binafsi bila kuwa na vitu bora.

Vitu na watu vinategemeana katika kupima maendeleo.

Hakuna Taifa duniani lenye maendeleo ya watu bila vitu.

Ni hapa Tanzania tu, wanasiasa wetu wanataka kutudanganya kwa manufaa yao binafsi eti hakuna umuhimu wa maendeleo ya vitu. Huu ni uongo.
Yeye Membe alipoiba mabilioni ya gadhafi alijenga hoteli nyota tano pale mtwara. Hotel siyo " vitu"?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Halafu hii hoja ya sera ya maendeleo ya watu badala ya vitu naona haina uhalisia wowote.

Huwezi mtofautisha mtu na vitu, na pia huwezi kuendelea binafsi bila kuwa na vitu bora.

Vitu na watu vinategemeana katika kupima maendeleo.

Hakuna Taifa duniani lenye maendeleo ya watu bila vitu.

Ni hapa Tanzania tu, wanasiasa wetu wanataka kutudanganya kwa manufaa yao binafsi eti hakuna umuhimu wa maendeleo ya vitu. Huu ni uongo.
Kiongozi wa hivyo ana vision ndogo Sana.. huwezi kuongoza Taifa la 50+ million people Kwa kufikiria petty issues, Selfish leaders ndio wao hufikiria maendeleo ya ndugu, jamaa na marafiki (individuals)... nadhani hizo ni KAZI za madiwani na wabunge kuhamasisha maendeleo ya jamii zao ndogo , na ni KAZI ya familia pia kupambania ustawi wao.. National leader anatengeneza miundombinu na plain playing field ili wenye Nia ya kujiletea maendeleo wapambane.
 
Back
Top Bottom