10 Julai 2020
Siasa za Tanzania na uchaguzi 2020. Kipindi cha Mwandishi wa habari mahiri, mwanadiplomasia na Mwanasheria wa Mahakama Kuu ndugu Jenerali Ulimwengu anazungumza na Bernard Membe.
Baada ya leo Halmashauri Kuu ya CCM ikiwa imeunga mkono kufukuzwa uanachama toka CCM siku ya Jumatatu 13 Julai 2020 Bernard Membe atarudisha rasmi kadi ya chama cha CCM na hivyo Membe amekubali kuvuliwa kwake uanachama.
Endelea kusikiliza mahojiano kuhusu kinachofuata baada ya kutimuliwa rasmi na yeye kuafiki kuwa nje ya CCM . Agusia idara za Usalama hushauri vyema lakini viongozi wanasiasa hawatilii maanani ushauri huo mzuri wa idara.
Bernard Membe anasema WanaCCM wengi katika kupiga kura hawataunga "Juhudi za Maendeleo ya Vitu" bali watapiga kura kuungana na wengine kuchangua wale wa upande wa sera za Maendeleo ya Watu.
Source: Jenerali Online
Siasa za Tanzania na uchaguzi 2020. Kipindi cha Mwandishi wa habari mahiri, mwanadiplomasia na Mwanasheria wa Mahakama Kuu ndugu Jenerali Ulimwengu anazungumza na Bernard Membe.
Baada ya leo Halmashauri Kuu ya CCM ikiwa imeunga mkono kufukuzwa uanachama toka CCM siku ya Jumatatu 13 Julai 2020 Bernard Membe atarudisha rasmi kadi ya chama cha CCM na hivyo Membe amekubali kuvuliwa kwake uanachama.
Endelea kusikiliza mahojiano kuhusu kinachofuata baada ya kutimuliwa rasmi na yeye kuafiki kuwa nje ya CCM . Agusia idara za Usalama hushauri vyema lakini viongozi wanasiasa hawatilii maanani ushauri huo mzuri wa idara.
Bernard Membe anasema WanaCCM wengi katika kupiga kura hawataunga "Juhudi za Maendeleo ya Vitu" bali watapiga kura kuungana na wengine kuchangua wale wa upande wa sera za Maendeleo ya Watu.
Source: Jenerali Online
