Sabayi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 2,310
- 991
- Thread starter
- #61
mwl mwenzangu mie napata hisia kwamba hawa wanachochewa na UK kisa baba yake banda alikuwa daktari wa malkia, sasa ifike mahali na sisi tuonyeshe kwamba we can na hatuombi ni chetu. kamalawi ni kanchi kadogo sana tena hakana hata ardhi na hivi sijui hata kama kapo SADC inamaana kwa kutumia nchi za SADC tu tena kwaajili ya matumizi ya ardhi zao malawi kwishney.
to me wameitwa wamegoma tuendelee na kazi zetu ili waje kivita sasa wakutane na wababe alaah!
Hivi J. Banda ni mtoto wa Kamuzu Banda?