Membe: Malawi haiwezi kuishtaki Tanzania ICJ, Tanzania haiitambui ICJ

Absolutely right. We should have come to our senses long ago and settled this in an amicable diplomatic manner. We should have sat down and determined that for all their illogical dissection of the continent, the boundaries could be corrected. Kwa yeyote aliyesoma historia ya jinsi mipaka ilivyowekwa alikuwa anajua kwamba hili lilikuwa bomu lilichomolewa pini limechelewa tu kulipuka. But we can still come to our senses and not be driven by the evil prospects of oil of gas on the lake.


Kutambua na kuenzi mipaka ya Berlin scramble for Africa conference kweli ndio our greatest shame as a people. We a are people,Afrika ni moja.
 
Nahisi Viongozi wamegawana maliasili za nchi hii, Membe kapewa ziwa Nyasa halafu malawi wanasema lao lote! na mgawo ulishapitaa ... ennnhee, watamjua. Na hivi issue iko kwenye wizara yake. Membe chapchap kabla hakujakucha baba.. tuchukue chetu. Hata Dada tulianza kwa kumbembeleza aondoke Kyaka
 
Wandugu naombeni tuwe makini sana na information tunazotoa humu ndani. JF ni darsa hivyo ni vema tukatoa information relevant kwa manufaa ya wasiojua. With due respect naona mwandishi huyu naye kachanganya. Hebu ngoja nitoe darasa kwa manufaa ya watanzania wote.

Mkuu Masanja nimechangaya wapi? Mie nimeandika similarities na tofauti zilizopo kati ya ICJ na ICC in very brief. Wewe umefafanua in detail tofauti nilizoandika in brief. Unless unaweza kuonyesha sehemu ambayo nimechanganya ina maana kuandika in brief ni kuchanganya? Wewe mwenyewe umeandika in detail mpaka umeomba samahani.
 
Back
Top Bottom