Membe, Lissu, Zitto, Nape, What a 2020 Combination

Membe, Lissu, Zitto, Nape, What a 2020 Combination

Quinine

Platinum Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
25,169
Reaction score
60,528
I wish uchaguzi ujao, Membe, Lissu, Zitto, Nape, Maalim Self waungane wawe timu moja kushindana na mgombea wa CCM ambaye probably atakuwa Joseph Pombe Magufuli.

Inawezekana, wote ni watanzania Tanzania ni yetu sote tunapigania Tanzania yetu tabu iko wapi na chuki za nini, mbona Malawi wana combinations hizo na maisha yanaendelea? Come-on watanzania tubadilike.

Mwaka huu 2019 Malawi inafanya uchaguzi Mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kupitia chama tawala cha DPP. Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM. Waziri wa Ardhi Atupele Muluzi, anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF. Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP.

Kama wao (Malawi) wameweza kwanini sisi tushindwe. Inawezekana.
 
I wish uchaguzi ujao, Membe, Lissu, Zitto, Nape, Maalim Self waungane wawe timu moja kushindana na mgombea wa CCM ambaye probably atakuwa Joseph Pombe Magufuli.

Inawezekana, wote ni watanzania Tanzania ni yetu sote tunapigania Tanzania yetu tabu iko wapi na chuki za nini, mbona Malawi wana combinations hizo na maisha yanaendelea? Come-on watanzania tubadilike.

Mwaka huu 2019 Malawi inafanya uchaguzi Mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kupitia chama tawala cha DPP. Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM. Waziri wa Ardhi Atupele Muluzi, anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF. Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP.

Kama wao (Malawi) wameweza kwanini sisi tushindwe. Inawezekana.
TANZANIA TUJIFUNZE DEMOKRASIA ILIYOPEVUKA KUTOKA MALAWI:

Imetafsiriwa na Ndugu Malisa GJ kutoka kwa Maria Mhandire, Lilongwe Malawi

____________
Wanaodhani Afrika nzima haina demokrasia waje wajifunze Malawi. Nadhani sisi ndio nchi ya kwanza kwa demokrasia Afrika na tuna mengi ambayo hata wazungu walioanzisha demokrasia wanaweza kujifunza. Kwa wale wasio wakazi wa Malawi ngoja niwaeleze hali ilivyo hapa;

Mwaka huu tutafanya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kwa awamu ya pili kupitia chama tawala cha DPP. Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM.

Yani Rais na Makamu wake wanagombea kupitia vyama viwili tofauti, na kampeni zinaendelea, kila mmoja akinadi sera zake. Wakikutana kwenye matukio ya kitaifa wanakaa pamoja kama Rais na Makamu wake. Baada ya hapo wanakutana majukwaani wakipingana kwa hoja.

Mutharika na Chilima walikua chama kimoja cha DPP. Lakini mwaka jana wakatofautiana. Chilima akajiondoa na kujiunga na chama cha upinzani cha UTM. Hakupoteza nafasi yake ya Umakamu wa Rais, maana Katiba ya Malawi inaruhusu kiongozi kuhama chama bila kupoteza nafasi yake ya uongozi.

Mgombea mwingine ni Atupele Muluzi, Waziri wa ardhi ambaye anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF. Rais Mutharika hajamfukuza kazi. Kamuacha aendelee na kampeni za Urais akiwa bado Waziri wa ardhi. Demokrasi ya hali ya juu.

Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP. Licha ya tuhuma za ufisadi zinazomkabili, lakini Rais Mutharika ameruhusu agombee akisema wananchi ndio watakaoamua.

Mgombea mwingine ni Lazarus Chakwera wa MCP. Hiki ndio chama cha ukombozi cha Malawi. Ndio chama cha Rais wa kwanza Hastings Kamuzu Banda.

Kampeni zinaendelea. Hakuna vurugu, kakuna fujo, hakuna polisi wanaopiga raia. Hakuna drama za kijinga za polisi kuvuruga mikutano ya wapinzani kwa taarifa feki za kiintelijensia.

Wanaotaka kuandamana wanaandamana, Wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya. Wanaotaka vikao vya ndani ewala. Ili mradi kila mmoja anatumia njia yake kushawishi achaguliwe.

Raia wa Malawi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida, tukila Nsima (ugali) na kusikiliza sera za kila mgombea. Ni mataifa machache sana duniani yanaweza kuwa na kiwango hiki cha demokrasia. Tunajivunia nchi yetu.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I wish uchaguzi ujao, Membe, Lissu, Zitto, Nape, Maalim Self waungane wawe timu moja kushindana na mgombea wa CCM ambaye probably atakuwa Joseph Pombe Magufuli.

Inawezekana, wote ni watanzania Tanzania ni yetu sote tunapigania Tanzania yetu tabu iko wapi na chuki za nini, mbona Malawi wana combinations hizo na maisha yanaendelea? Come-on watanzania tubadilike.

Mwaka huu 2019 Malawi inafanya uchaguzi Mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kupitia chama tawala cha DPP. Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM. Waziri wa Ardhi Atupele Muluzi, anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF. Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP.

Kama wao (Malawi) wameweza kwanini sisi tushindwe. Inawezekana.
The difference is the same.

Wote hao unaowataja Ni 'defect'
Once a defect always a defect.

#section20

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I wish uchaguzi ujao, Membe, Lissu, Zitto, Nape, Maalim Self waungane wawe timu moja kushindana na mgombea wa CCM ambaye probably atakuwa Joseph Pombe Magufuli.

Inawezekana, wote ni watanzania Tanzania ni yetu sote tunapigania Tanzania yetu tabu iko wapi na chuki za nini, mbona Malawi wana combinations hizo na maisha yanaendelea? Come-on watanzania tubadilike.

Mwaka huu 2019 Malawi inafanya uchaguzi Mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kupitia chama tawala cha DPP. Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM. Waziri wa Ardhi Atupele Muluzi, anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF. Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP.

Kama wao (Malawi) wameweza kwanini sisi tushindwe. Inawezekana.
Wachovu tupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri gani Tanzania amefukuzwa kazi sababu ya kugombea kupitia chama kingine hapa nchini?
Lowassa + Sumaye walipohamia CDM walinyimwa posho zao, waliondolewa ulinzi, walikatazwa?
 
Huyu lazima atashinda tuuuuuuuuu![emoji116][emoji851][emoji851][emoji851]
-%20kipanya.jpeg
 
Sukuma empire wataiwezea wapi hao?


Sukuma empire unaijua au unaisikia ?

Muulize Lowasa anaujua mziki wake

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona CCM mmeishiwa hoja sasa mmejibanza kwenye Ukabila!! Dalili zote zinaonesha Magufuli hatakua na hoja zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha usukuma!! Lakini mpe taarifa kuwa tutaeleza wazi wazi kuwa yeye si Msukuma bali ni Mzinza!!

Nyerere alishaonya juu ya wanasiasa wa hovyo ambao wakishindwa hoja na risasi basi hukimbilia kwenye ukabila na udini!!
 
TANZANIA TUJIFUNZE DEMOKRASIA ILIYOPEVUKA KUTOKA MALAWI:

Imetafsiriwa na Ndugu Malisa GJ kutoka kwa Maria Mhandire, Lilongwe Malawi

____________
Wanaodhani Afrika nzima haina demokrasia waje wajifunze Malawi. Nadhani sisi ndio nchi ya kwanza kwa demokrasia Afrika na tuna mengi ambayo hata wazungu walioanzisha demokrasia wanaweza kujifunza. Kwa wale wasio wakazi wa Malawi ngoja niwaeleze hali ilivyo hapa;

Mwaka huu tutafanya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kwa awamu ya pili kupitia chama tawala cha DPP. Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM.

Yani Rais na Makamu wake wanagombea kupitia vyama viwili tofauti, na kampeni zinaendelea, kila mmoja akinadi sera zake. Wakikutana kwenye matukio ya kitaifa wanakaa pamoja kama Rais na Makamu wake. Baada ya hapo wanakutana majukwaani wakipingana kwa hoja.

Mutharika na Chilima walikua chama kimoja cha DPP. Lakini mwaka jana wakatofautiana. Chilima akajiondoa na kujiunga na chama cha upinzani cha UTM. Hakupoteza nafasi yake ya Umakamu wa Rais, maana Katiba ya Malawi inaruhusu kiongozi kuhama chama bila kupoteza nafasi yake ya uongozi.

Mgombea mwingine ni Atupele Muluzi, Waziri wa ardhi ambaye anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF. Rais Mutharika hajamfukuza kazi. Kamuacha aendelee na kampeni za Urais akiwa bado Waziri wa ardhi. Demokrasi ya hali ya juu.

Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP. Licha ya tuhuma za ufisadi zinazomkabili, lakini Rais Mutharika ameruhusu agombee akisema wananchi ndio watakaoamua.

Mgombea mwingine ni Lazarus Chakwera wa MCP. Hiki ndio chama cha ukombozi cha Malawi. Ndio chama cha Rais wa kwanza Hastings Kamuzu Banda.

Kampeni zinaendelea. Hakuna vurugu, kakuna fujo, hakuna polisi wanaopiga raia. Hakuna drama za kijinga za polisi kuvuruga mikutano ya wapinzani kwa taarifa feki za kiintelijensia.

Wanaotaka kuandamana wanaandamana, Wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya. Wanaotaka vikao vya ndani ewala. Ili mradi kila mmoja anatumia njia yake kushawishi achaguliwe.

Raia wa Malawi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida, tukila Nsima (ugali) na kusikiliza sera za kila mgombea. Ni mataifa machache sana duniani yanaweza kuwa na kiwango hiki cha demokrasia. Tunajivunia nchi yetu.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli wenywe hivi hasa ndio inavyotaliwa lakini haya hawezi kutokea TZ yakitokea ndio mwisho wa CCM,CCM inalijua hilo,CCM haiwezi ruhusu demokrasia ya kweli Tanzania,CCM ni chama king'ang'anizi cha kutawala,,CCM ni chama kinachojali maslahi ya chama sio maslahi ya Taifa sio maslahi ya Mtanzania,hichi chama kimelewa madaraka,hakiwezi kufanya mambo kama yaliyoandikwa hapo juu
 
Nyie hamtaki mabadiliko na hamkujifunza 2015...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuijenga CDM imara kama ya katibu Dk Slaa itachukua muda mrefu sana kurudisha imani za wanachama, kilichopo hivi sasa ni kutumia njia yoyote kuondoa hawa wakandamizaji wa haki za binadam na utawala bora...
 
Waziri gani Tanzania amefukuzwa kazi sababu ya kugombea kupitia chama kingine hapa nchini?
Lowassa + Sumaye walipohamia CDM walinyimwa posho zao, waliondolewa ulinzi, walikatazwa?
Malawi hakuna cha figisu kama huku kwetu.
 
TANZANIA TUJIFUNZE DEMOKRASIA ILIYOPEVUKA KUTOKA MALAWI:

Imetafsiriwa na Ndugu Malisa GJ kutoka kwa Maria Mhandire, Lilongwe Malawi

____________
Wanaodhani Afrika nzima haina demokrasia waje wajifunze Malawi. Nadhani sisi ndio nchi ya kwanza kwa demokrasia Afrika na tuna mengi ambayo hata wazungu walioanzisha demokrasia wanaweza kujifunza. Kwa wale wasio wakazi wa Malawi ngoja niwaeleze hali ilivyo hapa;

Mwaka huu tutafanya uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge. Rais Peter Mutharika anagombea kwa awamu ya pili kupitia chama tawala cha DPP. Makamu wake Saulos Chilima anagombea kupitia chama cha upinzani cha UTM.

Yani Rais na Makamu wake wanagombea kupitia vyama viwili tofauti, na kampeni zinaendelea, kila mmoja akinadi sera zake. Wakikutana kwenye matukio ya kitaifa wanakaa pamoja kama Rais na Makamu wake. Baada ya hapo wanakutana majukwaani wakipingana kwa hoja.

Mutharika na Chilima walikua chama kimoja cha DPP. Lakini mwaka jana wakatofautiana. Chilima akajiondoa na kujiunga na chama cha upinzani cha UTM. Hakupoteza nafasi yake ya Umakamu wa Rais, maana Katiba ya Malawi inaruhusu kiongozi kuhama chama bila kupoteza nafasi yake ya uongozi.

Mgombea mwingine ni Atupele Muluzi, Waziri wa ardhi ambaye anagombea kupitia chama cha upinzani cha UDF. Rais Mutharika hajamfukuza kazi. Kamuacha aendelee na kampeni za Urais akiwa bado Waziri wa ardhi. Demokrasi ya hali ya juu.

Rais wa zamani Joyce Banda nae anagombea kupitia chama chake cha PP. Licha ya tuhuma za ufisadi zinazomkabili, lakini Rais Mutharika ameruhusu agombee akisema wananchi ndio watakaoamua.

Mgombea mwingine ni Lazarus Chakwera wa MCP. Hiki ndio chama cha ukombozi cha Malawi. Ndio chama cha Rais wa kwanza Hastings Kamuzu Banda.

Kampeni zinaendelea. Hakuna vurugu, kakuna fujo, hakuna polisi wanaopiga raia. Hakuna drama za kijinga za polisi kuvuruga mikutano ya wapinzani kwa taarifa feki za kiintelijensia.

Wanaotaka kuandamana wanaandamana, Wanaotaka mikutano ya hadhara wanafanya. Wanaotaka vikao vya ndani ewala. Ili mradi kila mmoja anatumia njia yake kushawishi achaguliwe.

Raia wa Malawi tunaendelea na maisha yetu kama kawaida, tukila Nsima (ugali) na kusikiliza sera za kila mgombea. Ni mataifa machache sana duniani yanaweza kuwa na kiwango hiki cha demokrasia. Tunajivunia nchi yetu.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kukaa mahali na kusifu hiki kiini macho?
Hawa wameamua kukaa chini na Ku play soft game kwenye local politics!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom