Membe kuwania urais 2015...

Membe kuwania urais 2015...

Yan ni full kutapatapa juzi Tundu lissu kamuongeza waziri wa madini kwenye list ya wasanii wasema uongo bungeni,akianza pm pinda. Ccm wote waongo na wasanii.
 
acha uzushi!!! hakuna waziri atakaye kuwa kwenye secretariet ndivyo walivyoamua ccm kuanzia sasa, ili pawepo na accountability kwa upande wa chama na serikali!!!

Na WASSIRA ni nani??? walivyoamua ulikuwepo??? nyie ni mijizi tuu!!
 
acha uzushi!!! hakuna waziri atakaye kuwa kwenye secretariet ndivyo walivyoamua ccm kuanzia sasa, ili pawepo na accountability kwa upande wa chama na serikali!!!

we ndio mzushi,..kama kofia mbili hawazitaki mbona kikwete anagoma kuachia umwenyekiti wa chama??hizo ni fitna wanawekeana ccm,..well,..hell..who cares?? acha waumizane sababu membe na wengine wote ndani ya ccm wanajua vizuri kuwa wanapora rasilimali za taifa,..they know it..he deserves that and so much more,..wangemsulubu na sitta,mwakyembe,kilango,..ni wanafiki wote hawa
 
Waziri wa mambo ya nje bw. membe naona ni kama ametoswa "KWISHNEY" 2015 maana kuchomolewa kwake pale kwenye CC ni kama kifo chake kimewadia kisisa.sijui hii mijizi ya ccm itatuwekea nani 2015.naomba tujadili wanajf.
Wewe hamnazo kwelikweli, nani kakwambia kwamba mtu akiwa nje ya CC ndiyo anakosa nguvu? Lowassa yuko CC? Usitake kubwatabwata kutatanisha kauli. Kama ulitaka tu kumtaja Mh.Membe nawe uonekane unamjua, labda. Lakini huna hoja.
 
acha uzushi!!! hakuna waziri atakaye kuwa kwenye secretariet ndivyo walivyoamua ccm kuanzia sasa, ili pawepo na accountability kwa upande wa chama na serikali!!!

mkuu sijui nkuite msanii,ivi hamuachi kujichanganya? Mnaona kila mkibanwa mnabadili. Kuna siku utatwambia 'tumeamua rais asiwe mwenyekiti' pindi Slaa atakapowaelekeza mukabadili mwenyekiti pia. Najua kwa sasa ccm mnamsikiliza dr slaa/cdm tu. Usanii huo mkuu!
 
labda wanamuandaa january makamba awe presidaa wetu............2015
 
aTOKE ZAKE HUKO MIMI NAMUONA ANAAKILI KAMA ZA JK!
TUSIJEPATA RAISI MWINGINE KAMA JK HATA KWA BAHATI MBAYA!
AKAFIE MBALI HUKO!
Hata unavyoandika tu unaonekana mbugila hasa!! Eti akafie mbali, wewe umekuwa Mungu? Vipi ukifa wewe kabla yake? Huo ni uchi wa akili na roho ya kwanini.
 
CCM wako kwenye last session of their reign, sasa nyie mnaofikiria rais kutoka ccm 2015 ama ni waganda au
wazimbabwe. pelekeni hoja zenu kampala au harare
 
acha uzushi!!! hakuna waziri atakaye kuwa kwenye secretariet ndivyo walivyoamua ccm kuanzia sasa, ili pawepo na accountability kwa upande wa chama na serikali!!!


Hussein Mwinyi - Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa,
Shamsi Vuai Nahodha- Waziri wa mambo ya ndani
 
we ndio mzushi,..kama kofia mbili hawazitaki mbona kikwete anagoma kuachia umwenyekiti wa chama??hizo ni fitna wanawekeana ccm,..well,..hell..who cares?? Acha waumizane sababu membe na wengine wote ndani ya ccm wanajua vizuri kuwa wanapora rasilimali za taifa,..they know it..he deserves that and so much more,..wangemsulubu na sitta,mwakyembe,kilango,..ni wanafiki wote hawa

mje na ajenda mpya, mshakosa mwelekeo
 
Amepewa kazi January Makamba,ati naye ana Masters ya Peace and conflict resolution.January yupo katika Mtandao wa lowassa,abaye ni aspirant wa urais amem-replace Membe ambaye ni aspirant pia

Nilicheka sana,wategemee kuwa mouth piece wa CHADEMA ili kuturahisishia kazi 2015
 
unajua JK ananifurahisha sana yaani kwa mawazo yake ndo karekebisha nini sana ..maaana mi naona kawaida tu hakuna alichobalisha zaidi ya kuongeza mabifu humo CCM.....hakuna kipindi kigumu CCM inapita kama sasa...na for sure ndo inaelekea kufa....
 
Waziri wa mambo ya nje bw. membe naona ni kama ametoswa "KWISHNEY" 2015 maana kuchomolewa kwake pale kwenye CC ni kama kifo chake kimewadia kisisa.sijui hii mijizi ya ccm itatuwekea nani 2015.naomba tujadili wanajf.
Kuwa kwenye CC kungemsaidiaje Membe kuwa rais?
 
Back
Top Bottom