Membe kugombea urais mwaka 2015 iwapo...

Membe kugombea urais mwaka 2015 iwapo...

Membe alisema mpaka aoteshwe sasa anabadili maneno, 2015 NI Brother Edo!
 
Hivi alikwishaoteshwa,mbona anajifanya kuomba ridhaa ya wananchi.
 
Hakuna dhambi kwa Mhe. Membe kugombea Urais kama ilivyo kwako pia. Ruksa kutangaza nia yako ili wananchi waweze kuamua nani anafaa. Sasa wewe unataka agombee nani?

wanataka agombee silaha wenzio hao
 
Membe akigombea mimi pia nitachukua fomu japo hata mtaani kwangu sifahamiki....nikishindwa the hague/icc inanihusu maana ntaingia msituni kama bosco ntaganda kuliko nchi yetu kuongozwa na membe
 
Rais ajae lazima atoke kaskazini.Mende hana influence,afterall mfadhili wake qadaffi ameuawa ila anaanza kuufukuzia ufadhili toka Iran.

huyo wa kaskazin ndo lowassa au? Over my deadbody will i vote for him na uwaziri mkuu alivoutumia vibaya? Yani mtu alieshindwa kuua kwa kisu ndo umkabidhi bunduki akumalize kabisa? Sorry kaskazini hiyo hakunaga!
 
aww huyu jamaa mi simkubali aisee yeye na lowasa wanataka urais kwa nguvu zote ......ni lazima kujiuliza maswali ....ana nia gani na nchi kwa kweli , wanngempa kugombea salim mpaka 2020 alafu jamaa apewe hata uwaziri mkuu kwanza mpaka 2020 ...........wasisahau nchi si ya ccm ................vyama vya upinzani kama chadema vinajipanga pia na watoto waliozaliwa mwaka 1997 watapiga kura hawa wamezaliwa wamekuta vyama vingi ........
 
Mhe. Membe anayo haki ya kugombea nafasi ya Urais kama tulivyo watanzania wote.

Kugombea ni jambo moja na kuchaguliwa ni jambo jingine.

Kwa bahati mbaya, pamoja na kwamba Mhe. Membe aungwa mkono sana na Familia ya Mhe. Rais-Jakaya Kikwete, ndani ya CCM Bwana Membe hana mvuto na hapendwi.

Mhe. Membe akiteuliwa na CCM kugombea, huo utakuwa mtaji mkubwa kwa upinzani hasahasa CHADEMA. Yetu macho na masikio!
 
POSSIBLY YOU DESERVE, since from the HOLY BOOKS we read that human beings are made weak but are given an opportunity to transform the their weaknesses into a more admirable end. I encourage my dearest Tanzanians to only TRUST this MAN. I know he once shown some little errors which are more administrative lacking creative advice from the top officials. In this modern Tanzania we have many people with remarkable and unforgettable errors compared to those not done but shown by Benard Membe (WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa).
MR. MEMBE STAND FIRM AND OF GOOD COURAGE
 
Back
Top Bottom