Hoja yako haiakisi mawazo ya wapiga kura wengi ila inawakilisha kundi dogo la wanasiasa ambao kwao siasa ni ajira, siasa ni baba na mama wao, siasa ndiyo njia kuu ya kujipatia riziki.Iwapo Membe ataamua kugombea urais ndani ya chama chake namshauri atumie hoja ya kuandika katiba mpya au kurejesha mchakato wa katiba ya Warioba au iliyopendekezwa.
Hoja ya katiba mpya bado inavuta hisia za wananchi wengi, leo niliona jinsi rais alivyopata kigugumizi cha ghafula alipotaka kuzungumzia suala la KATIBA, hii inaleta picha kwamba hata rais anataka mchakato uendelee ila kwa sababu anazozijua yeye anashindwa kusema hadharani kwa sababu alishawahi kusema katiba siyo kipaumbele chake.
Nakuhakikishia siku akitangaza vipaumbele vyake na kuahidi kurudisha mchakato wa katiba mpya hakika atapata uungwaji mkono mkubwa kutoka ndani ya chama chake, wapinzani wenyewe, baadhi ya viongozi na wabunge wa CCM.
Upinzani labda umepanga kumchukua na kuwa mgombea wao, lakini ndani ya CCM ni mtu au mwanachama wa kawaida sana. Hata alipokuwa Waziri wa Mambo ya nje hakuna chake cha kukumbuku alichokifanyia nchi hii.Katiba ya CCM si imefanyiwa marekebisho kwamba aliyeko madarakani hashindanishwi kura za maoni so hadi 2025!! Jinsi jamaa mulivyomg'ang'ania kumpamba huyu jamaa yenu likely ndo mgombea kupitia upinzani 2020.
Wanafiki tuLeo hii hata wana-CCM wamejua madhara ya mtu mmoja kuwa na madaraka makubwa na ya kupitiliza japo hawawezi kukiri hadharani.
Uhuru hawezi fanya mambo yanayofanywa na Jiwe, katiba haimruhusu!Membe ata ahaidi iyo katiba mpya Sisi watanzania Tupo na JPM. Kenya wanakatiba mpya lakin yaliyotokea baada ya uchaguzi imeonyesha walipoteza muda na fedha na katiba haijawa suluisho katika migogoro yao kama Nchi.
Tukianza kuorodhesha mapungufu ya katiba iliyopo page haziwezi kutosha, after all walioanzisha mchakato hawakuwa wajinga.Hoja yako haiakisi mawazo ya wapiga kura wengi ila inawakilisha kundi dogo la wanasiasa ambao kwao siasa ni ajira, siasa ni baba na mama wao, siasa ndiyo njia kuu ya kujipatia riziki.
Ukweli Katiba iliyopo haina mapungufu makubwa ya kuathiri maisha ya Mtanzania wa kawaida, katika shughuli zake za kila siku za maisha.
Katiba, kama sheria mama ya nchi, ni sawa na Biblia au Kurani zinavyotumika kuongoza imani za waumini lakini maandiko yaliyomo hayamzuii mwumini kuishi jinsi anavyoona inafaa.
Kwa hoja yako hiyo Membe siyo Rais mtarajiwa kwa mwaka 2020 labda ajipange kugombea 2025. Kuna wanaCCM wengi wenye sifa kedekede za Urais.
Membe ni ukoo wa shangazi, 2020 ni kutandika tu.Membe 2020. Jiwe akachunge ng'ombe chato.
Ubora wa katiba ya Kenya huwezi kulinganisha na yetu, mawaziri hawateuliwi wana apply, jaji mkuu ana apply anafanyiwa interview na wengine hateuliwi, magavana ambao kwetu ni wakuu wa mikoa wanachaguliwa na wananchi, wajumbe wa tume ya uchaguzi wanatuma maombi wanafanyiwa interview, hao wote kwetu wanateuliwa na mtu mmoja. hayo ni baadhi tu yanaonesha ubora wa katiba ya Kenya.Membe ata ahaidi iyo katiba mpya Sisi watanzania Tupo na JPM. Kenya wanakatiba mpya lakin yaliyotokea baada ya uchaguzi imeonyesha walipoteza muda na fedha na katiba haijawa suluisho katika migogoro yao kama Nchi.
Kuna liccm lolote linalotaka katiba mpua?Iwapo Membe ataamua kugombea urais ndani ya chama chake namshauri atumie hoja ya kuandika katiba mpya au kurejesha mchakato wa katiba ya Warioba au iliyopendekezwa.
Hoja ya katiba mpya bado inavuta hisia za wananchi wengi, leo niliona jinsi rais alivyopata kigugumizi cha ghafula alipotaka kuzungumzia suala la KATIBA, hii inaleta picha kwamba hata rais anataka mchakato uendelee ila kwa sababu anazozijua yeye anashindwa kusema hadharani kwa sababu alishawahi kusema katiba siyo kipaumbele chake.
Nakuhakikishia siku akitangaza vipaumbele vyake na kuahidi kurudisha mchakato wa katiba mpya hakika atapata uungwaji mkono mkubwa kutoka ndani ya chama chake, wapinzani wenyewe, baadhi ya viongozi na wabunge wa CCM.
Mkuu siyo lazima uje kuchangia humu, kuna majukwaa mengine lukuki humu JF ya kukufaa. This is too much for you, No pun intended!NA sitaki hata kuujua maana hapo ni matumizi mabaya ya pesa za uma tu tena hapo watu wanataka kupiga dili tu hakuna chochote subirini miradi mikubwa iishe ianze kuzalisha uone tunakoelekeakwenye maziwa na asali
ika wa kukosa hela za katiba mpya pale mjengoni nishakuona acha hasira wacha mkuu ajenge nchi kwanza ushabikiwenu baadaeMkuu siyo lazima uje kuchangia humu, kuna majukwaa mengine lukuki humu JF ya kukufaa. This is too much for you, No pun intended!
Ndo maana nikakwambia inawezekana jukwaa hili kidogo limekuzidi mkuu.na wewe utakuwa muathir
ika wa kukosa hela za katiba mpya pale mjengoni nishakuona acha hasira wacha mkuu ajenge nchi kwanza ushabikiwenu baadae