Tuambie mgogoro mmoja huko kenya. Acha uzwazwa. Rais akitangaza kuanza mchakato pia utaanza kusifia,mi ccm mingine ni ya hovyo!Membe ata ahaidi iyo katiba mpya Sisi watanzania Tupo na JPM. Kenya wanakatiba mpya lakin yaliyotokea baada ya uchaguzi imeonyesha walipoteza muda na fedha na katiba haijawa suluisho katika migogoro yao kama Nchi.
ya Warioba au iliyopendekezwa
Kenya wanakatiba mpya lakin yaliyotokea baada ya uchaguzi imeonyesha walipoteza muda na fedha na katiba haijawa suluisho katika migogoro yao kama Nchi.
Sisi na nani kama upo na JPM ni wewe mwenyewe usiingize watanzania woteMembe ata ahaidi iyo katiba mpya Sisi watanzania Tupo na JPM. Kenya wanakatiba mpya lakin yaliyotokea baada ya uchaguzi imeonyesha walipoteza muda na fedha na katiba haijawa suluisho katika migogoro yao kama Nchi.
Dunia ni duara hata Polepole alikuwa mjumbe wa BMK.Rubbish
Alikuwa mjumbe wa BMK hakupigania katiba mpya, alipotoswa ndiyo akumbuke katiba mpya, zote ni harakati za kuchumia tumbo, dhambi ya usaliti na kaka yake itawatafuna kwa kufuja mabilioni ya watanzania
Dunia ni duara hata Polepole alikuwa mjumbe wa BMK.
Nani huyo.Kuna uwezekano mmoja wao asifike 2020
Tayari mzoga uko kwenu.yaani unajua moja kwa moja hamna mtu wa kugombea huko kwenu kwanini Lowassa asiingie na hoja ya katiba mpya!
Leo kageuka mzoga nyie kiboko,bado lile zezeta moja mr ziro!Tayari mzoga uko kwenu.
Bebeni tu kama ni mzoga wenu nani atawazuia.Leo kageuka mzoga nyie kiboko,bado lile zezeta moja mr ziro!
Hakuna haja ya kumuharakisha atakuja mwenyewe kama alivyokuja mzee mwenyewe!Bebeni tu kama ni mzoga wenu nani atawazuia.
Ndio kaanza.Jiwe asije akampoteza Mh Membe
Iwapo Membe ataamua kugombea urais ndani ya chama chake namshauri atumie hoja ya kuandika katiba mpya au kurejesha mchakato wa katiba ya Warioba au iliyopendekezwa.
Hoja ya katiba mpya bado inavuta hisia za wananchi wengi, leo niliona jinsi rais alivyopata kigugumizi cha ghafula alipotaka kuzungumzia suala la KATIBA, hii inaleta picha kwamba hata rais anataka mchakato uendelee ila kwa sababu anazozijua yeye anashindwa kusema hadharani kwa sababu alishawahi kusema katiba siyo kipaumbele chake.
Nakuhakikishia siku akitangaza vipaumbele vyake na kuahidi kurudisha mchakato wa katiba mpya hakika atapata uungwaji mkono mkubwa kutoka ndani ya chama chake, wapinzani wenyewe, baadhi ya viongozi na wabunge wa CCM.