Membe jiandae kisaikolojia

Huyu mkatwa mkia aliyewahi kukiri wanapishana hewani utafikiri nchi inaungua moto sijui ameingiwa na tamaa gani. Watu tunafkiria kumuongezea jiwe muda yeye analeta za kuleta
Unafikiri na sio tunafikiri mpumbavu wewe.
 
Hebu tuambie juu ya issue ya KIVUKO CHA BIL 8 ambacho hakiwezi hata kutoka Kigamboni kwenda MAGOGONI.......
CCM kuna msafi?Hakuna sema kuna VISASI
 
nonsense
 
Watu gani hao wanaowaza kumuongezea jiwe muda,Nani alikudanganya pana mtu anaemkubali jiwe,zaidi ya yeye kulazimisha akubalike
 
Kwani MEMBE amesema atagombea 2020?
Sijawahi kusikia akisema hayo.
Amesema lini?Hebu wekeni Link hapa.
What I know Membe ana kesi na MUSIBA.
 
Hawa wajinga wamesahau pia kuwa mzee wa msoga nae yupo na membe, timu ya mzee wa msoga sina hakika kama hawa wapumbavu hawaielewi.
 
Hua nawashangaa wenye mipesa. Si angenyamaza tu!! Pesa inaleta kiburi .

soon atajikuta amekuwa kama Seti na Rugemalila. We subiri
 
Hawa wajinga wamesahau pia kuwa mzee wa msoga nae yupo na membe, timu ya mzee wa msoga sina hakika kama hawa wapumbavu hawaielewi.
Angekuwa na influence kihivyo hasingeshindwa kumwachia membe kiti. Mnajifanya mnaijua system wakati hakuna mnalolijua. Hiyo system ni corrupt kwa wenye Madara ka siyo stable km mnavojidanganya.
 
Imebaki hatu chache tu mbele, hapatakuwa na mtu wakumtisha mwenzie, itakuwa teka nikuteke, tumechokaaaaaaa.
 
Vilevile naye anayajua mengi mnavyo kwapua matrilioni ya watanzania atayamwaga hadharani ikiwepo zile za Epa na Escrow na ile 1.5 trillion
 
Ndio maana tunasema praising team mpo kwa ajili ya kumsifu Magufuli, ninyi Tanzania sio kitu kwenu
 
Tunatarajia 'ligi mechi fucho'. Timu membe poleni sana. ,Asante kwa bandiko hili,natumai umewaziba mdomo.
Hakuna cha kuziba midomo bali ndiyo kwanza kazi ya kuwaumbua majizi ndani ya ccm imeanza
 
Labda umuongezee Jiwe atawale nyumbani kwako na ukoo wako
Huyu mkatwa mkia aliyewahi kukiri wanapishana hewani utafikiri nchi inaungua moto sijui ameingiwa na tamaa gani. Watu tunafkiria kumuongezea jiwe muda yeye analeta za kuleta
 
Angekuwa na influence kihivyo hasingeshindwa kumwachia membe kiti. Mnajifanya mnaijua system wakati hakuna mnalolijua. Hiyo system ni corrupt kwa wenye Madara ka siyo stable km mnavojidanganya.
Alimpigania sana pale dodoma, bt timu ya mamvi ikamshinda nguvu. Bt kwa sasa bwana huyu hana nguvu yoyote nyuma yake zaidi ya wimbi kubwa la maadui wanaojifanya marafiki, hasalimiki, hasalimiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…