Membe jiandae kisaikolojia

Akisema atakufa, akikaa kimya atakufa. That's life, Why worry??
 
Musiba umeibukia JF
 
CCM bhana kumbe ni chama cha wezi
 
mpuuzi mkubwa ! poor analysis
Mmeyataka wenyewe afu mnatoka povu. 2015 Lowasa alikatwa. Nyie mkachinjwa.

2020 mnajua kabisa Mwenyekiti ndio kiongozi wa nchi afu mnaletea pressure mkitegemea mupewe kijiti. Awamu hii mnatoswa baharini.
 
Kukaa kimya ni ujinga uliopitiliza!!!

Jiwe mwenyewe ana makashifa mengi tu maana na yeye ni wale wale.

Hamuwezi kuziba watu midomo kwa vitisho vya aina hii na vingine ambavyo mmekuwa mkivitumia.

Hovyo kabisa!!!

Ni rahisi sana kuzungumza haya nyuma ya keyboard
 
Mmeyataka wenyewe afu mnatoka povu. 2015 Lowasa alikatwa. Nyie mkachinjwa.

2020 mnajua kabisa Mwenyekiti ndio kiongozi wa nchi afu mnaletea pressure mkitegemea mupewe kijiti. Awamu hii mnatoswa baharini.

WE DADA BADO SANA ! UWEZO WAKO WA KUYAANGALIA MAMBO ANALYTICALY NI MDOGO SANA.

JIWE ONE.TERM PRESDENT.HUTAKI UNAACHA
 
WE DADA BADO SANA ! UWEZO WAKO WA KUYAANGALIA MAMBO ANALYTICALY NI MDOGO SANA.

JIWE ONE.TERM PRESDENT.HUTAKI UNAACHA
Analytical yako mbona siioni? Zaidi ya kupiga yowe hapa.
Ingekuwa term moja tungeona force from within lakini sasa force inatoka kwa wakatwa mikia. Hiyo analytical yako unafanyia wapi?

Lowasa na force yake ilifeli - Unajua kwa nn?
 
Analytical yako mbona siioni? Zaidi ya kupiga yowe hapa.
Ingekuwa term moja tungeona force from within lakini sasa force inatoka kwa wakatwa mikia. Hiyo analytical yako unafanyia wapi?

Lowasa na force yake ilifeli - Unajua kwa nn?
philosophize
 
Lumumba ,mkatengeneze katib ya chama mue mnafany free election,sio kuchahuana km maembe
 
Mungu ibariki JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…