Membe kathibitisha kuwa waliotekwa/waliouliwa na kutiwa kwenye viroba ilikuwa ni Kazi ya serikali ya 5?Akihojiwa na Waandishi wa Habari ili atoe maoni yake kuhusu anavyoiona awamu ya 6 , Mh Bernard Membe , amezungumza machache lakini kimsingi amesisitiza kwamba katika utawala huu hutosikia Mtu ametekwa wala kuokotwa kwenye Kiroba.
Toa Maoni yako.