Membe asaini mkataba bila kuusoma nchini China, mwakilishi aja juu, rais Kikwete amtetea!

...

Kwenye maslahi ya EL, Pasco lazima aibuke!


attachment.php
 
Japo Mie siyo Fan wa Membe (Mbopo), suala hili linakilemba cha siasa za kuelekea 2015 na mlalamikaji anajaribu kujisogeza karibu na Kambi ya Lowassa toka upande wa pili wa Muungano. I like Lowassa……..kapanga vema kete zake katika majukwaa na matukio mbalimbali. Ni bandika bandua!

Nauliza tu kwa kutaka kujua; nje ya Nchi Mawaziri huwa wanasaini Miswada (Bills) au Mikataba (Contracts) na Makubaliano (MoU)?
hili nalo neno. chezea LOWASSA weye
 
header inapotosha, video haisemi Membe hakujua ana saini nini, Mwakilishi amesema Membe alifanya kusudi na Membe alikiri kafanya kusudi pale alipomwambia
kwamba yeye Mzanzibar asingeweza ku sign mkataba kwa vile "hana instruments."
 
Siku zote huwa sina imani kabisa na Membe
sio membe tu viongozi wengi wa serekali, utaona wanahubiri muungano kinafiki lkn kiukweli hawautaki, yaani wanahubiri wasichokiamini ni unafiki wa hali ya juu kabisa.
 
hawa watu ukoo wao huwa wana ugonjwa wa kusaini vitu bila kusoma, si unajua jk na membe ni mtu na mdogo wake wa damu, jk akisaini bila kusoma tunaambiwa wasaidizi wake wanampoteza, mdogo wake bro anasema ni human error
 
Malalamiko ya watanzania kwamba viongozi wanasaini mikataba bila kusoma sasa yamethibitishwa wazi na mwakilishi wa Dimbani zanzibar Bw.Mwinyi Haji Makame(CCM) kwa Bw. Bernad Membe ktk kile kuonyesha kuwa careless kwa kufikia kusaini mkataba ambao hakutakiwa kusaini ambapo mwakilishi anadai kwenye video hiyo iliyoko ndani ya youtube.

Mwakilishi huyo alipokuja juu mbele ya JK kwamba kwanini waziri wake amesaini Mkataba ambao si wake? JK kama kawaida yake ya kutetea uzembe alimuombea amsamehe kwamba hayo ni makosa ya kibinadamu tu.

Kwahiyo watanzania kilio chenu cha miaka mingi cha kulalamikia mikataba kusainiwa bila kusomwa sasa kimedhibitishwa wazi na Bw. Mwinyi kuwa viongozi ni watu wasio na huruma na nchi hii tunakupandisha ndege hadi China tunakulipa Posho za kukatana na shoka halafu still hufanyi kazi yako tunayokulipa nafikiri baada ya kuangalia video wale wote mliokuwa mnawaza labda Bw. Membe anafaa kuwa rais wa nchi hii mtabadili mawazo yenu. waandishi tusaidieni kumuuliza ilikuwaje asaini mkataba bila kusoma kwanza anachosaini??

Angalia video hii:



Mzungumzaji wa pili huyo ni mwahili kwali kwali, kama ni mwakilishi wa aina hiyo balaa kwenye vikao. Hana mpangilia wa nini azungumze kwa summary. Anaweza kushtukia alichokusudia kusema hajakisema kwa sababu ya kusihiwa muda kwa vile anakuwa na mengi ambayo hayana umuhimu badala ya kuelewa wazi kwanza hoja yake kisha aijadili.
 
Last edited by a moderator:
Japo Mie siyo Fan wa Membe (Mbopo), suala hili linakilemba cha siasa za kuelekea 2015 na mlalamikaji anajaribu kujisogeza karibu na Kambi ya Lowassa toka upande wa pili wa Muungano. I like Lowassa……..kapanga vema kete zake katika majukwaa na matukio mbalimbali. Ni bandika bandua!

Nauliza tu kwa kutaka kujua; nje ya Nchi Mawaziri huwa wanasaini Miswada (Bills) au Mikataba (Contracts) na Makubaliano (MoU)?
Kwa wasio elewa haya washauzika na fitna za Wazanzibari hapa!
 
header inapotosha, video haisemi Membe hakujua ana saini nini, Mwakilishi amesema Membe alifanya kusudi na Membe alikiri kafanya kusudi pale alipomwambia
kwamba yeye Mzanzibar asingeweza ku sign mkataba kwa vile "hana instruments."
lakini Membe kasema ukweli mambo ya mambo ya nje yako chini ya serikali ya Muungano! Kikwete ndo analeta vurugu hizi na kutaka kuwaridhisha watu bila kufuata katiba!
 
Alisema akioteshwa atagombea urais. Shame on you Membe!! Umetia aibu na hufai kuwa sehemu ya uongozi wa nchi sawa na jamaa yako JK. Go to hell both of you.
 
Sasa mkuu inakuaje uanze na "it seems" alafu utuaminishe unachosema kuwa ndio fact wakati hata wewe umeanza kukieleza kwa Mashaka?. Huoni kuna kosa hapo?

Nimetumia "it seems" kwasababu hayo maneno ya kwanza ni ya kwangu. Nikijaribu kutengeneza posibility. Because wote walikuwa kwenye msafara wa Raisi ila for sure sina uakika kama walifunga wote safari kwenda china au walikutana juu kwa juu. Bt for fact ni kwamba "THEY ALL KNEW KWAMBA WANAENDA KUSIGN MKATABA na KULIKUWA NA SEHEMU KWA AJILI YA MEMBE NA SEHEMU IMEANDALIWA KWA AJILI YA ZNZ KUSIGN" nimeandika kwa bold ili usome vizuri.

Sasa Membe akasign kote bila hata ya kumtarifu. Wewe sasa huoni kosa hapo???
 
Nimetumia "it seems" kwasababu hayo maneno ya kwanza ni ya kwangu. Nikijaribu kutengeneza posibility. Because wote walikuwa kwenye msafara wa Raisi ila for sure sina uakika kama walifunga wote safari kwenda china au walikutana juu kwa juu. Bt for fact ni kwamba "THEY ALL KNEW KWAMBA WANAENDA KUSIGN MKATABA na KULIKUWA NA SEHEMU KWA AJILI YA MEMBE NA SEHEMU IMEANDALIWA KWA AJILI YA ZNZ KUSIGN" nimeandika kwa bold ili usome vizuri.

Sasa Membe akasign kote bila hata ya kumtarifu. Wewe sasa huoni kosa hapo???

Kwamba kulikuwa na sehemu mbili za kusaini hiyo sio kweli.
 
politiki,

..Membe did the right thing.

..JK naye amefanya makosa kutokumwambia ukweli Waziri kutoka Zanzibar.

..kuna tatizo kubwa sana la wanasiasa wa Tanganyika kutowaambia ukweli wenzao kutoka ZNZ.

..halafu ni makosa kumshambulia Membe in person. Hiyo nafasi ingeweza kuwa imeshikwa na waziri Mzanzibari na angelazimika kufanya hichohicho alichofanya Membe.
 
Last edited by a moderator:
Sio Membe tu, ni CCM wote hawafai na hawawezi kutukwamua toka hapa tulipo...
M4C
 
Siku zote huwa sina imani kabisa na Membe
Nilisema mwanzo, aliyevunja record ya kuharibu mambo sio Mulugo (katika thread ya mdau waziri alipoainisha Tanzania inatokana na Visiwa vya pemba na Zimbabwe
 
ni kweli bro na waziri makame alipomuuliza membe mbona umesign mkataba sio wako. Membe akamjibu wewe huna tools. Mpaka hapo wazanzibari wakisema hawautaki tena muungano jee wanakosea?

Membe is low to be A president. Lowasa is not fit for presIdency let look for other person sio lazima wao.
 
Malalamiko ya watanzania kwamba viongozi wanasaini mikataba bila kusoma sasa yamethibitishwa wazi na mwakilishi wa Dimbani zanzibar Bw.Mwinyi Haji Makame(CCM) kwa Bw. Bernad Membe ktk kile kuonyesha kuwa careless kwa kufikia kusaini mkataba ambao hakutakiwa kusaini ambapo mwakilishi anadai kwenye video hiyo iliyoko ndani ya youtube.

Mwakilishi huyo alipokuja juu mbele ya JK kwamba kwanini waziri wake amesaini Mkataba ambao si wake? JK kama kawaida yake ya kutetea uzembe alimuombea amsamehe kwamba hayo ni makosa ya kibinadamu tu.

Kwahiyo watanzania kilio chenu cha miaka mingi cha kulalamikia mikataba kusainiwa bila kusomwa sasa kimedhibitishwa wazi na Bw. Mwinyi kuwa viongozi ni watu wasio na huruma na nchi hii tunakupandisha ndege hadi China tunakulipa Posho za kukatana na shoka halafu still hufanyi kazi yako tunayokulipa nafikiri baada ya kuangalia video wale wote mliokuwa mnawaza labda Bw. Membe anafaa kuwa rais wa nchi hii mtabadili mawazo yenu. waandishi tusaidieni kumuuliza ilikuwaje asaini mkataba bila kusoma kwanza anachosaini??

Angalia video hii:






:confused2: MAMBURURU a.k.a VILAZA..........
 
Last edited by a moderator:
Tabia ya kiswahili kweli! Mswahili hapendi kusoma. Hata hivyo, nielewavyo mimi mikataba iko kisheria zaidi ambapo ni vyema kama wewe si mtaalamu wa sheria, basi usubiri ili wataalamu wenyewe wa fani hiyo waupitie na wakushauri kusaini.
 
Back
Top Bottom