Mwenyekiti wa taifa Ccm pia hahusiki zanzibar au ni rais tu?Huyu Membe hafahamu kama Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake, Rais wake, Bunge lake, mahakama zake na Jeshi lake!
Inawezekana hafahamu kama Zanzibar wana katiba yao!
Hafahamu kama wazanzibari wenyewe wakiongozwa na jopo la Marais wastaafu wa nchi ya Zanzibar wanaendelea na vikao!
Kwa hiyo anataka kutuambia kama yangefutwa baadhi ya majimbo asingeshangaa!
Hafahamu kama Maalim Seif alishinda Uchaguzi Mkuu wa 2010? Hakumsikia Mzee Hassan Nassor Moyo?
Ni nini kinamfanya ashangae kwa sasa kufutwa kwa matokeo yote?
Membe nadhani anasumbuliwa na weweseko la maisha nje ya siasa wakati umri bado unaruhusu. Tatizo aliaminishwa sana kama atakuwa mgombea Urais mpaka akaamua kuliachia Jimbo la Mtama.
Rais Magufuli ameamua kutomteua kuwa Mbunge na Waziri wa Mambo ya Nje. He's already casted aside and now, he's bitter!
Maelezo zaidi yako hapa;
na hapa,
Tatizo lako ni U-CCM umekujaa ndugu yangu sana maana mpaka kwenye Mkaa unaita nyeupe.Huyu Membe hafahamu kama Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake, Rais wake, Bunge lake, mahakama zake na Jeshi lake!
Inawezekana hafahamu kama Zanzibar wana katiba yao!
Hafahamu kama wazanzibari wenyewe wakiongozwa na jopo la Marais wastaafu wa nchi ya Zanzibar wanaendelea na vikao!
Kwa hiyo anataka kutuambia kama yangefutwa baadhi ya majimbo asingeshangaa!
Hafahamu kama Maalim Seif alishinda Uchaguzi Mkuu wa 2010? Hakumsikia Mzee Hassan Nassor Moyo?
Ni nini kinamfanya ashangae kwa sasa kufutwa kwa matokeo yote?
Membe nadhani anasumbuliwa na weweseko la maisha nje ya siasa wakati umri bado unaruhusu. Tatizo aliaminishwa sana kama atakuwa mgombea Urais mpaka akaamua kuliachia Jimbo la Mtama.
Rais Magufuli ameamua kutomteua kuwa Mbunge na Waziri wa Mambo ya Nje. He's already casted aside and now, he's bitter!
Maelezo zaidi yako hapa;
na hapa,
Naikumbuka ile hoja ya Sugu aliyoivalia njuga akaishia kudhalilishwa vibaya na wanaomfahamu maisha yake yankila siku. Kwa kuwa yeye ni msanii wa kuimba hoja zake nyingi huhusu wasanii. Leo unampa kazi kama ile. Shame to Ndugai.Namfahamu ni kidato cha NNE failure na baadae akasoma DSA (TIA sasa hivi) tawi la Singida masomo ya Jioni ya utunzaji stoo. Tuache hayo ya darasani, lakini umewahi kumsikia akichangia hoja Bungeni? Utajua kuwa kuwepo kwake bungeni kwa vipindi viwili hakujamsaidia kumjenga chochote akilini.
Kifupi in kuwa hajui hata pale yupo kwa sababu zipi
Majibu mepesi kwa kutumia kipimo gani na hicho kipimo kinatambuliwa na nani?Moja ya majibu mepesi kabisa kutolewa na GT hapa Jamii Forums. Toa hoja kujibu maoni ya Membe!
Ubunge wake unakusaidia niniMembe ni mbunge wa wapi ?
Mtandao wa tigo na ubora wake.
Naombeni mnisaidie. Kuna wakati huwa naamini kwamba mgema akisifiwa sana ni shida na bora niwe mkweli kuwa mtandao wa tigo ni tatizo kwa kuharibu uchumi wa watumiaji.
1. Umekuwa ni mtandao ambao kero zake hazisoviki karibia mwezi sasa hasa mkoani tuliko wengine.
2. Wengi wetu siku hizi tunatumia mitandao kama non financial institution out of bank lakini tigo kwa sasa najuta kuifahamu na pia napata mashaka na market strategy yao ikoje kama hadi sasa wapo kimya wakati mtandao wao unafeli kila siku.
Nakosa imani kwa kiasi flani na huu mtandao au ndo kufilisika baada ya kuwepo kwa matajili wengine kama alotel?
Alikuwa wapi? unampangia muda leo ndiyo ameanza.Toka jana siamini mambo yanayo andikwa kuhusu membe kama kweli yametamkwa na Membe!
Watu wanatakiwa kujiuliza kama kweli haya yanasemwa na Membe .muda wote alikuwa wapi?
Haunisaidii kitu ila nlitaka kujua tu ni mbunge wa wapi bado hujajibu swali mkuu .Ubunge wake unakusaidia nini
Fikra zenu za ajabu sana tena sana mmelogwa na ccm au ni nini?Naona ameamua kujilipua baada ya kuona kuwa hakuna dalili za kupata cheo. Alitegemea pengine angeteuliwa kuwa mbunge then apate wizara. Kaona kimya. Sasa ameamua liwalo na liwe. Kweli CCM hawakukosea kumkata
Leo Membe amekuwa mbaya wakati wewe ulikuwa mtetezi wake mkuu.Naona ameamua kujilipua baada ya kuona kuwa hakuna dalili za kupata cheo. Alitegemea pengine angeteuliwa kuwa mbunge then apate wizara. Kaona kimya. Sasa ameamua liwalo na liwe. Kweli CCM hawakukosea kumkata
lakini hajasahau kuwa uwepo wa ccm zanzibar inategemea uwepo wa majeshi kutoka tg.Huyu Membe hafahamu kama Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake, Rais wake, Bunge lake, mahakama zake na Jeshi lake!
Inawezekana hafahamu kama Zanzibar wana katiba yao!
Hafahamu kama wazanzibari wenyewe wakiongozwa na jopo la Marais wastaafu wa nchi ya Zanzibar wanaendelea na vikao!
Kwa hiyo anataka kutuambia kama yangefutwa baadhi ya majimbo asingeshangaa!
Hafahamu kama Maalim Seif alishinda Uchaguzi Mkuu wa 2010? Hakumsikia Mzee Hassan Nassor Moyo?
Ni nini kinamfanya ashangae kwa sasa kufutwa kwa matokeo yote?
Membe nadhani anasumbuliwa na weweseko la maisha nje ya siasa wakati umri bado unaruhusu. Tatizo aliaminishwa sana kama atakuwa mgombea Urais mpaka akaamua kuliachia Jimbo la Mtama.
Rais Magufuli ameamua kutomteua kuwa Mbunge na Waziri wa Mambo ya Nje. He's already casted aside and now, he's bitter!
Maelezo zaidi yako hapa;
na hapa,
Wakiwa madarakani hawaoni makosa, wakitoka wakionja machungu wananchi wanayopata ndio wanaanza kuongea ukweli, kwanini hakuishauri ccm ili kuwa na tume huru ya uchaguzi? kwanini hakuishauri ccm kuondo sheria kandamizi zilizoanishwa na tume ya Jaji Nyalali? ccm ni wabinafsi na wanaona raha sana wakiwa madarakani,kuiba na kuona kama wamepanda ngazi na hawatashuka, Ni wakati wa wale wote walioko ccm na walioko serekalini kuhakikisha wanaweka mazingira rafiki na sheria za kutoa haki kwa kila mtu ili wakiondoka madarakani zisitumike kuwakandamiza na kuwahujumu. Angalia Lowasa na wengine walikua na nafasi nzuri wakiwa madarakani kutengeneza sheri na taasisi zinazotoa haki hawakufanya, shuhudia wanavyofanyiwa na serekali hata kuwashukuru waliowapigia kura hawaruhusiwi!Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje amepinga uamuzi wa kufutwa matokeo yote Zanzibar na kusema dunia inashangaa na kuitaka CCM na serikali isiwaachie watu wawili tu kutafuta njia za kutatua mgogoro huo.
Membe anakuwa mwanasiasa wa kwanza mwandamizi kutoka chama tawala kuonesha waziwazi kutoridhishwa na uamuzi wa kufutwa kwa uchaguzi huo wa Rais wa Zanzibar, wawakilishi na madiwani ambao ulifanyika sambamba na uchaguzi wa Rais wa jamhuri wa Tanzania, wabunge na madiwani wa bara na visiwani.
Kinachoshangaza dunia si kuahirisha uchaguzi bali kufuta matokeo ya majimbo yote, alisema mwanadiplomasia huyo.
Magazeti 23 January
Kama mimi U-CCM umenijaa, wewe ndugu yangu umejaa U-nini?Tatizo lako ni U-CCM umekujaa ndugu yangu sana maana mpaka kwenye Mkaa unaita nyeupe.
hii ni hatari sana usipobadilika.
Kwa mtazamo wangu Membe yuko sahihi, kufauta uchaguzi wote na mtu ambaye hana mamlaka kikatiba na kisheria Dunia inatuona watu wa ajabua sana na Machafuko yoyote yakitoke CCM lazima iwajibiki kwa njia yeyote ile.
Pili mwaka 2010 waliiba ila haikuwa wazi kama hii.
Coward ni wewe ambaye haujijui kabisa unachosema.Ndio maana uwa tunawaita Nyumbu hao jamaa. Wapo tayari kusifia ujinga ili tu wakubalike kwenye jamii ya wajinga wenzao. Hawataki kuwa challenged...Wanaogopa kupondwa kwa kusimamia ukweli. They are simply cowards.
Nafikiri hata kisa cha wao kulitetea fisadi ambalo wao wenyewe walikuwa wakimshambulia wakati yupo CCM ni hicho hicho, kwamba wakisema ukweli watapondwa, hivyo wanaogopa.