MgonjwaUkimwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 1,336
- 875
Hivi Membe anavyotuambia kwamba aligombea ubunge baada ya kusikia minongonezo hizo ni kauli za kutoa kiongozi mkubwa serikalini kama yeye? Tanzania bana ni zaidi ya uijuavyo. Hizo whisper ultras anazosema Membe kama zinamsaidia yeye hilo ni juu yake na maluweluwe yake yanayoendelea kichwani mwake. Lakini aliita waandishi wa habari bila aibu akasema hivo, dah. Anyway ni mwanaccm na hicho ndo chama kinachoongoza serikali. Mungu tunusuru hata kabla ya 2015.
Duh, mkuu yaelekea wewe ni mgeni hapa Duniani. Basi ngoja tukueleze haya juu ya huyu Kingwendu:
1) Alijaribu kusomea PhD miaka 7 Canada, akashindwa na kurudi na PhD ya kujisingizia. hajamaliza PhD wala hana PhD. Ni miongoni mwa wanaodanganya kwamba wana PhD, hiyo ni fact.
2) Kingwendu alitimuliwa madaraka na Nyerere baada ya kuchakachuwa gari 2 kati ya gari 6 zilizookuwa zimekabidhiwa Tz kutoka Sheli Sheli. hiyo nayo ni fact.
3) Kingwendu alimdanganya Mkapa hadi mkapa akaidhinisha dola $63,000 kupitia wizara ya afya (sio dola 50,000 kama wanavyokosea magazetini) kwa matibabu feki ambayo yalitengenezewa risit fake na jamaa wa Nijeria aliyekuwa anajilia uroda kwa mke wa Kingwendu Toronto. Kingwendu alipobanwa, akazirudisha dola $60,000 bila kuwaambia waTz alizipata wapi, kuona ameumbuka Kingwendu akahonga kamati ya bunge. Kamati ikala mkwanja na bado ikamwambia Membe, naye hakufanya ajizi akamwangamiza Kingwendu. Na hiyo ni fact.
Hitimisho: Kingwendu amtaje waziri anayemtuhumu ili ngoma hii inoge, vinginevyo ana kila sifa ya kuitwa Kingwendu, zee la majungu, na ushauri wanggu hasipewe hata sekunde 2 kwenye Tv au magazeti hadi hapo atakapotaja jina la waziri anayemshutumu. Yaani yeye anamjadiri mwizi dk 15 lakini ukimuuliza jina anasema "kafanye uchunguzi". Kingwendu at best.
Membe mnatuficha wewe na JK ndugu wa DAMU. Tunaelewa mamake Kikwete ni mama yako pia.
Tukikuchagua tutakuwa tumechagua msanii namba mbili!! HATUKUHITAJI JOKA LA MDIMU.
Membe ana haki ya kumuita mtu aliyetoa tuhuma zile kwa jina la kingwendu ambaye ni mganga wa kienyeji. Ni vizuri tukafika mahali watu wakawa wawazi kama wanataka kisaidia hii nchi mtu unaenda kwenye vyombo vya habari unakaa dakika 45 kupiga umbea. Kama umeamua kusema jambo na unauhakika nalo ni vizuri kuliweka wazi ili watu wakuunge mkono potelea mbali kama utahatarisha uhai wako. Vinginevyo ni ramli hizo. Maana hakuna tofauti na mganga wa kienyeji anayesema mchawi wako ni mtu wako wa karibu mweupe, wakati huo ukijua wako watu wengi wa aina hiyo.
Itakuwa ni ndoto watanzania kupata maendeleo kama tutaendelea kushabikia na kuamini habari za kusadikika kama hizo zilizotolewa na Mzee Kitine. Angejipatia heshima kwa kuwa Jasiri kuwasadia wananchi na serikali kubainisha wazi kuwa fulani amaeiba fedha serikali ambazo alipokea siku fulani na kwa sababu fulani na vielelezo unaweka hadharani. Siyo mzee mzima kwenda kwenye TV kuongea maneno yasiyokuwa na msingi kwa nia ya kupata huruma ya wanyonge wasiojua pia kuwa kauli kama hizo ndiyo chanzo cha umaskini wao.
Ni lazima watu kama hao waepukwe kabisa katika jamii hata hilo jina la kingwendu alilopewa ni afadhali maana watu wanaopiga umbeya ni mashetani wakubwa na maadui wakubwa na chanzo kikuu cha umaskini wa Tanzania.
Duh, mkuu yaelekea wewe ni mgeni hapa Duniani. Basi ngoja tukueleze haya juu ya huyu Kingwendu:
1) Alijaribu kusomea PhD miaka 7 Canada, akashindwa na kurudi na PhD ya kujisingizia. hajamaliza PhD wala hana PhD. Ni miongoni mwa wanaodanganya kwamba wana PhD, hiyo ni fact.
2) Kingwendu alitimuliwa madaraka na Nyerere baada ya kuchakachuwa gari 2 kati ya gari 6 zilizookuwa zimekabidhiwa Tz kutoka Sheli Sheli. hiyo nayo ni fact.
3) Kingwendu alimdanganya Mkapa hadi mkapa akaidhinisha dola $63,000 kupitia wizara ya afya (sio dola 50,000 kama wanavyokosea magazetini) kwa matibabu feki ambayo yalitengenezewa risit fake na jamaa wa Nijeria aliyekuwa anajilia uroda kwa mke wa Kingwendu Toronto. Kingwendu alipobanwa, akazirudisha dola $60,000 bila kuwaambia waTz alizipata wapi, kuona ameumbuka Kingwendu akahonga kamati ya bunge. Kamati ikala mkwanja na bado ikamwambia Membe, naye hakufanya ajizi akamwangamiza Kingwendu. Na hiyo ni fact.
Hitimisho: Kingwendu amtaje waziri anayemtuhumu ili ngoma hii inoge, vinginevyo ana kila sifa ya kuitwa Kingwendu, zee la majungu, na ushauri wanggu hasipewe hata sekunde 2 kwenye Tv au magazeti hadi hapo atakapotaja jina la waziri anayemshutumu. Yaani yeye anamjadiri mwizi dk 15 lakini ukimuuliza jina anasema "kafanye uchunguzi". Kingwendu at best.
Nahisi umekurupuka kujibu comment yangu nadhani WJM anajua nini nilikuwa namaanisha, ulichofanya wewe ni kujaladia tuhuma za kitine kwa kuziita facts ambapo sijui proof/details za uhakika nizipate wapi labda waweza kunisaidia,sakata hilo nalikumbuka ila sina kumbukumbu nzuri kuhusu undani wake, anyway let me do my homework!
kitine,.once tiss always tiss,he still got those spying techniques!kitine is right,membe is fisadi
- Mkuu I like your arguments kwa sababu upo fair kidogo, lakini kama kweli Kitine amelipa the price na ameridhka kwamba alifanya makosa na ni lazima kulipa price, then asingekwua na visasi hivi, maana CAG imeonyesha wazi nani ni nani!
William.
Hii movie wala haijaanza, ndio kwanza tuko kwenye foleni ya kununua popcorn!
Labda nikusaidie kwenye hiyo homework:
Juu ya PhD ya Kingwendu, hilo sio tatizo search kwenye shule aliyosema kasoma na watakupa facts, njoo zimwage hapa hata kama hazinogi
Juu ya kutimuliwa madarakani, hilo utahitaji msaada wa wanausalama wa taifa ili upate details za deal la magari aliyoiba. Ila facts amabayo iko wazi ni kwamba alifukuzwa kazi na Nyerere.
Juu ya Kingwendu kuiba $63,000 hii unaweza kuanza kumuuliza dokta msingiziwa, Doctor Charles Peter Arizona teaching hospital (ambaye wakati huo alikuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili wa udaktari), ukitoka hapo muulize nurse msingiziwa, Stevenson White wa clinic moja huko Seattle jina sasa nimesahau (huyu masikini alikuwa mwaka wa kwanza nurse). Ukimaliza hapo check na Ulimwengu aliyekuwa anavujishiwa kila move za Kingwendu katika kukamilisha wizi huu kutoka kwa marehemu Ng'ittu wa usalama wa taifa (RIP)
Ukishindwa kupata data huko njoo kwangu
Husipoteze ela kununua popcorn, Kingwendu anakimbia waandishi wa habari, na soma Nipashe ya leo. Starling wa movie hii ametoweka na wala hutamsikia tena. Kwenye movie ukiona starling anajitundika juwa movie imeshafika mwisho na kinachofuata ni majina ya washiriki wa movie tu, kwa mfano utaona wameandika Philemon aikael Mbowe = mshika taa, nk
hata wale baadhi waliorudisha fedha za EPA hawakuamriwa na mahakama! waliwasihi wafanye hivyo la sivyo mahakamani!
issue ya Kitine sina uhakika alirudisha fedha kwa kulazimishwa au kwa ridhaa yake so as to cut the long story short, na inavyoelekea it was a clean transaction na ndo maana wabaya wake hawalisemi sana hilo kama wewe mshadadiaji!
Mkuu wangu tuhuma ulizomshushia willy na wazazi wake ni kubwa sana inabidi uziletee ushahidi.
Haihitaji kwenda shule ili kujua kuwa serikali hii tangu mwanzo iliundwa na wezi, mtu yeyote mwadilifu asingekubali kuteuliwa kuwa waziri ktk serikali ya kijambazi kama hii, iliingia madarakani kwa hela za wizi (epa na ndugu zake wote), walipoingia tu kiongozi wao akapiga mchongo wa richmond, hakuna mwadilifu mwenye akili timamu atakubali kuwa waziri ktk serikali inayoundwa na wezi na vibaka watupu. Membe alishashindwa kazi tangu siku ya kwanza, ndo maana mishemishe zote za wizara ya nje zinafanywa na m-kwere. Kama membe angekuwa na ufahamu hata kdg angeshaachia ngazi zamani lkn yuko pale kwa sababu ya posho na michongo wanayopiga. Na kwa wanaong'ang'ania kuwa mzee Kitine amtaje waziri aliyemkusudia.... Wale mafisadi wote ambao mmeshatajiwa mmewafanya nini?!