Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,390
I knew something was not right....
.Ushindi wa CDM uko wazi hauhitaji mtabiri kuutabiria, hata kama membe asingekua ametabiri CDM ndo washindi
Hivi anachokanusha hapa Membe ni kitu gani. Vyombo vya Habari vinavyoaminika viliandika na kutangaza maneno ya Membe. Wazi kabisa. Hawakuongeza wala kupunguza. Wangefanya hivyo wangekuwa wanakiuka misingi muhimu ya tasnia muhimu ya uandishi wa habari. Angekuwa na haki ya kuwashtaki (ofcourse MCT).
Kwa mtu yeyote makini hapa kaongeza tu stori nyingine, AMEPINGANA NA PROPAGANDA ZA HOVYO, CHEAP ZA CHAMA CHAKE CCM na wana CCM wenzake. Stori juu ya stori. Asante Membe. Tusubiri kesho watakuandikaje au leo jioni kwenye Tvs zetu.
Ofcoz with the coming back of Andrew Chenge on board and the like wakiendelea kujipatia nguvu katika Kamati za Bunge na sasa wakielekea kuliteka bunge, baada ya kuwa wameishaiteka ikulu, wakaiteka CCM na wameiweka mfukoni serikali ya CCM, watu kama Membe hawana namna sasa hivi isipokuwa kujionesha kuwa wako upande wa wanamabadiliko!
Mtu kama Membe na wenzake ni wa kuazimwa milango yote ya fahamu, kwa tahadhari kubwa hata wanachosema (kwa kuchelewa sana) ni ukweli.
He still adds no value. Ameendelea ku-cement tu yaliyoandikwa. Ok bado APRM hapa tunaipitia, je vipi kuhusu kuwa tunadaiwa Dola Laki 8...?
siasa za Tanzania bwana, yaani mh wangu huyu hakumbuki alichoongea na viongozi wa chadema huku ITV waki mrekodi? au kuna kitu kakiona hakijkaa vizuri? hebu ajaribu kurudi kwenye kumbu kumbu ya mkanda au Cd halafu aangalie na asikilize aliongeanini siku ili aweze kujua cha kuongea baada ya hapo.
How long it took for him to comment on APRM & Tanzania mishap? Yaani waandishi wa habari waliamka asubuhi na kuamua kwamba report ya Tanzania haitosomwa kwa sababu ya deni? Wizara nyingi zinadaiwa TANESCO, NHC na Foreign Affairs wamo kwenye orodha ya wadaiwa sugu. Hivyo APRM ni mwendelezo only to find out kwa wenzetu hakuna ngonjera, pay your dues or else!