Membe ajikaanga kwa mafuta yake

Membe ajikaanga kwa mafuta yake

membe ni kiumbe dhaifu sana asiyefaa hata kufikiriwa kwa nafasi ya ukuu wa wilaya. nchi hii imefika hapa ilipofika kwa sababu ya USENGErema wa CCM lakini hasa kutokana na uzezeta wa viongozi wenye akili ndogo kama membe.
 
  • Thanks
Reactions: PPM
sheria ni msumeno,haukati upande mmoja.
kauli yake akiwa Rais itaumiza wengi kwa kubambikiwa mitego ya rushwa.
kwa jinsi alivyo very interrigency nilifikiri labda angejikita kwenye nini sababu ya watu kutoa na kupokea rushwa.
 
Inaonekana unatumika, ni vizuri lakini next time changanua unachoandika kabla ya kupost upuuzi. Kama uko makini membe alisema atapush kuleta mabadiliko ya sheria ya rushwa na sio kuibadilisha yeye mwenyewe. That is what great leaders do, they push for changes pamoja na wananchi and not dictate them. Kwa miaka mingi tumeng'ang'ania sheria ambayo haifanyi kazi vilivyo so kwanini tuing'ang'anie. Rushwa kwa asilimia kubwa huombwa meaning asilimia kubwa ya watoa rushwa ni victims, sasa if you criminalize victims how can they come forward kureport a crime? Ni kama kusema mbakaji na mbakwaji wote ni wahalifu. Na ndicho hicho sheria ya sasa inasema. Kwa mtu yoyote mwenye akili ataona ni sheria ambayo inahitaji kubadilishwa ili kutoa incentive kwa waathirika wakuu wa rushwa ambao ni watoaji.

Kawapime membe na jk DNA alafu ndiyo uje kuongea tena. Unakalia maneno ya kilabuni.

swali rahisi: membe amekuwa kwenye system kwa muda mref, je amefanya nn cha maana?
 
Nadhani hukumsikiliza vizuri siku ile anatangaza nia, alisema akiingia atabadili hiyo sheria inayowatia hatianai mtoa rushwa na mpokea rushwa maana yake ni kwamba atapeleka mswada bungeni kufanya hayo mabadiliko.

Kati ya wagombea waliotoa hotuba ya hovyo membe ni namba moja,hajui kujieleza,hajui kupangilia hoja,yaani sijui alipataje kazi ya kua Senior National Security Analyst wa serikali, mimi huwa naamini kwamba intelligency agencies huwa zinakua na watu bright sana kumbe hakuna, Membe ameprove the opposite.

Kwamba akiwa rais atapambana na vibaka kama panya road sasa kazi ya makamanda wa polisi itakua nini,walevi,akina mama wawe na hela ili wawaache waume zao, anasema ataweka mitambo ya kunasa wanaotenda maovu, kweli membe ni kiboko.
 
Poleni sana Lowassa ana uwezo lakini rushwa itamkwamisha kwasababu wapinzani wake wameweka swala hili kama vile ndilo kuu
 
Atabadili sheria ili kutimiza ndoto yake. Sheria sio msahafu. Jaribu kufikiri kidogo, yaani fikiri kidogo tu.

ubaya wa hiyo sheria ameuona leo, mbona amekuwa kwenye system kwa muda mrefu lakini hakuwahi kubadilisha hizo sheria mbovu zilizotungwa na wabunge wa CCM kwa misingi ya NDIYOOOOOOOOO! msifikiri watanzania wote ni mazezeta. hebu tafuteni gia nyingine ya kuijia kwa wananchi.
 
Membe ni mnafiki. Miaka mitano kabla Jk hajawa rais alikuwa hajulikani kwanini ajulikane wakati wa Jk?
 
membe kuwa rais wa hii sawa na ardhi kugusana na mbingu.
 
Jambazi sugu na fisadi papa Lowassa kamwe hawezi kuwa Rais wa Tanzania. Ni mwizi ana fitina hana hoja hawezi kujieleza. Hana ubobezi wa aina yoyote.

Nguvu yake kubwa ni kinunua watz kwa nguvu ya pesa.

Mtoa mada ameweka hoja yake vizuri ya changamoto kwa Membe katika kauli yake, nadhani ni vizuri wagombea wote wakapimwa katika mizani sawa kwasababu mathalani Membe anaweza kuwa Raisi wa nchi hii ndio maana sharti watu wampime.

SASA WEWE UNAKUJA NA CHUKI BINAFSI. kwanini msibadilike ninyi watu? LOWASAAA LOWASSAA LOWASAA si mtu kama watu wengine? si ni mgombea kama wagombea wengine?

CHUKI BINAFSI HAIFAI....
 
Jambazi sugu na fisadi papa Lowassa kamwe hawezi kuwa Rais wa Tanzania. Ni mwizi ana fitina hana hoja hawezi kujieleza. Hana ubobezi wa aina yoyote.

Nguvu yake kubwa ni kinunua watz kwa nguvu ya pesa.
lowassa tena!??
muache mzee wa watu

ikulu ni yake
 
ukitaka kujua membe na jk ni ndugu ni kutokana na kauli zao..nitawasamehe watoa rushwa-membe...nitawasamehe watakaorudisha pesa ya EPA-jk.
men lie,women lie but DNA don't lie.
 



Membe amesema suala la yeye kuwa ndugu na Rais Kikwete endapo ni kweli au si kweli haliwahusu Watanzania ambao asilimia kubwa wamemjua wakati huu wa kuisaka Ikulu.

Membe ameonyesha wazi wazi kushindwa kukana undugu wake na JK na hivyo kushindilia maneno yanayozagaa mitandaoni ya JK na Membe kuwa ni ndugu wa damu.

Wapo baadhi ya watu wanaodai Baba yake halisi Membe ni Mzee Mrisho Kikwete ambaye alizaa na Cecilia John Membe ambapo kwa kabila la Wamwera uchukua jina la ukoo wa Mama na kulifanya ndio jina la ukoo wa mtoto. Ikumbukwe, Wamwera ni kabila linalofuata matrilenial system ambapo Mama ndiyo mwenye dhamana kubwa na mtoto.

Watu wamefukunyua undugu huo kufuatia kuona jitihada na nguvu za wazi wazi zinazofanywa na familia ya JK katika kuhakikisha undugunization ya kumrithisha kiti cha urais Membe kwa kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya kisultan ya kurithishana madarakani ilihali kuna mfumo wa kidemokrasia.

SIFA ZA 13 ZA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
[TABLE="width: 477"]
[TR]
[TD]1.
[/TD]
[TD]Awe na uwezo mkubwa wa kuliongoza Taifa kwa kuzingatia uzoefu wake katika Uongozi wa shughuli za Serikali umma na taasisi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2.
[/TD]
[TD]Awe mwadilifu, asiyetiliwa shaka juu ya vitendo vya uadilifu mbele ya uso wa jamii ya Watanzania na awe mwenye hekima na busara.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3
[/TD]
[TD]Awe na angalau kiwango cha elimu ya chuo kikuu au elimu inayolingana na hiyo.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4
[/TD]
[TD]Awe mwenye upeo na uwezo mkubwa wa kudumisha, kuimarisha na kuendeleza Muungano wetu, umoja wetu, amani na utulivu wetu na mshikamano wa Kitaifa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5.
[/TD]
[TD]Awe mwepesi wa kuona mbali, asiyeyumbishwa na mwenye uwezo wa kufanya uamuzi wa busara kuhusu masuala nyeti na muhimu ya Taifa kwa wakati unaofaa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6.
[/TD]
[TD]Awe na upeo mkubwa na usiotiliwa shaka kuhusu masuala ya kimataifa ili aweze kuwa kiungo imara kati ya nchi yetu na dunia yote kwa ujumla.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7.
[/TD]
[TD]Asiwe mtu mwenye hulka ya udikteta au ufashisti, bali awe mtu anayeheshimu na kulinda Katiba ya nchi, sheria, utawala bora, kanuni na taratibu za nchi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8.
[/TD]
[TD]Awe mtetezi wa wanyonge, wa haki za binadamu, mzingatiaji makini wa maendeleo ya raia wote na asiwe na tama ya kujitafutia umaarufu wa mtu binafsi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9.
[/TD]
[TD]Awe mstari wa mbele katika kuzifahamu, kuzieleza, kuzitetea na kuzitekeleza sera za CCM NA Ilani ya CCM ya uchaguzi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10.
[/TD]
[TD]Awe mpenda haki na mtu jasiri katika kupambana na dhuluma na maovu yote nchini.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11.
[/TD]
[TD]Asiwe ni mtu ambaye anatumia nafasi yake ya Uongozi kujilimbilikizia mali.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12
[/TD]
[TD]Awe ni mtu anayekubalika na wananchi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13.
[/TD]
[TD]Awe na mtu makini katika kuzingatia masuala ya uwajibikaji wa viongozi/watendaji na asiyevumilia uzembe katika utekelezaji wa majukumu/wajibu waliokabidhiwa ili kuinua nidhamu ya kazi, tija na ufanisi.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Afadhali Rais fisadi na mwenye maamuzi magumu atakaye tuletea maendeleo kuliko Rais mstaarabu atakayetupa umaskini,

Nioneshe maamuzi magumu kumi amabayo lowassa ameyafanya hadi mumuite mzee wa maamuzi magumu.

Na pia kuna maamuzi magumu na maamuzi sahihi.
 
kambi lowasa kambi membe ndo kambi zinzoongoza kutukanana humu ili kuwasafisha wachafu wao,kama ni wasafi ya nini kutukanana ,mnatuonyesha picha halisi ya wagombea wenuna aina ya watu walioko kwenye kambi hizo,ccm fanya mahamuzi delite MEMBE delite LOWASA kwa maendeleo na mstakari wa ccm na taifa letu.
 
Pia akiingia ikulu asisahau...
Kuwasamehe wote wanaowapa wanafunzi mimba endapo watakiri kosa na kuahidi kutokurudia
kuwasamehe vigogo wanaoingiza unga endapo watakiri kosa ila mateja wote mtaani awapige mvua za kutosha.....
 
Hapa anazungumziwa Membe! wewe uko Busy kumchafua Lowassa!!! Usikubali kuwa Robot !!! Inaonekana umelishwa maneno na wewe unayoatoa kama umewekewa umeme... Uwizi, Ufisadi wa Lowassa kwanini msianike hadharani? Watanzania si Wajinga tena: Fitna za Joka la Mdimu, plus kafara za kimwera na kuomba kwenye Makaburi hakuwezi kuwaondolea wananchi Umasikini uliokithiri kwenye nchi TAJIRI ... Lowassa hawezi kukubali Ujinga wa nchi za Magharibi kukwapua rasilimali zetu... Ndo maana tuna muunga mkono ...

Kweli naona umejipanga kimkakati kumtetea huyu bwana wenu.

Kumuunga kwako mkono hamkumnyimi mtu mwingine uhuru wa kutoa maoni yake juu ya huyu unayemkubali

Usitumie nguvu na maneno mengi kumfanya mtu akubaliane na mawazo yako.

Kwa mtazamo uliyobeba kichwani mwako ni wazi hata huyu unayempigia debe haumtambui vyema, endelea kufukuzia tu masirahi yako!
 
SIFA ZA 13 ZA MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
[TABLE="width: 477"]
[TR]
[TD]1.
[/TD]
[TD]Awe na uwezo mkubwa wa kuliongoza Taifa kwa kuzingatia uzoefu wake katika Uongozi wa shughuli za Serikali umma na taasisi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2.
[/TD]
[TD]Awe mwadilifu, asiyetiliwa shaka juu ya vitendo vya uadilifu mbele ya uso wa jamii ya Watanzania na awe mwenye hekima na busara.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3
[/TD]
[TD]Awe na angalau kiwango cha elimu ya chuo kikuu au elimu inayolingana na hiyo.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4
[/TD]
[TD]Awe mwenye upeo na uwezo mkubwa wa kudumisha, kuimarisha na kuendeleza Muungano wetu, umoja wetu, amani na utulivu wetu na mshikamano wa Kitaifa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5.
[/TD]
[TD]Awe mwepesi wa kuona mbali, asiyeyumbishwa na mwenye uwezo wa kufanya uamuzi wa busara kuhusu masuala nyeti na muhimu ya Taifa kwa wakati unaofaa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6.
[/TD]
[TD]Awe na upeo mkubwa na usiotiliwa shaka kuhusu masuala ya kimataifa ili aweze kuwa kiungo imara kati ya nchi yetu na dunia yote kwa ujumla.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7.
[/TD]
[TD]Asiwe mtu mwenye hulka ya udikteta au ufashisti, bali awe mtu anayeheshimu na kulinda Katiba ya nchi, sheria, utawala bora, kanuni na taratibu za nchi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8.
[/TD]
[TD]Awe mtetezi wa wanyonge, wa haki za binadamu, mzingatiaji makini wa maendeleo ya raia wote na asiwe na tama ya kujitafutia umaarufu wa mtu binafsi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9.
[/TD]
[TD]Awe mstari wa mbele katika kuzifahamu, kuzieleza, kuzitetea na kuzitekeleza sera za CCM NA Ilani ya CCM ya uchaguzi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10.
[/TD]
[TD]Awe mpenda haki na mtu jasiri katika kupambana na dhuluma na maovu yote nchini.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11.
[/TD]
[TD]Asiwe ni mtu ambaye anatumia nafasi yake ya Uongozi kujilimbilikizia mali.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12
[/TD]
[TD]Awe ni mtu anayekubalika na wananchi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13.
[/TD]
[TD]Awe na mtu makini katika kuzingatia masuala ya uwajibikaji wa viongozi/watendaji na asiyevumilia uzembe katika utekelezaji wa majukumu/wajibu waliokabidhiwa ili kuinua nidhamu ya kazi, tija na ufanisi.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hivi vigezo vizito
 
Back
Top Bottom