Membe ajikaanga kwa mafuta yake

Membe ajikaanga kwa mafuta yake

Jambazi sugu na fisadi papa ni wale wanaoshindwa kumchukulia hatua Lowassa bali wamebaki kupiga majungu tu. Wananchi wanalalamika ufisadi, wenye mamlaka nao wanalalamika kwa wananchi ufisadi. Kuna ujinga unazidi huu? Kuanzia sasa ni heri kila anayenyoosha kidole cha ufisadi aonyeshe na hatua alizochukua kulingana na nafasi yake. Otherwise STFU!!!

Bado hatujavuana magamba..............
 
Afadhali Rais fisadi na mwenye maamuzi magumu atakaye tuletea maendeleo kuliko Rais mstaarabu atakayetupa umaskini,

Fisadi atakuleteaje maendeleo? Akifanya hivyo atakuwa amepoteza sifa ya ufisadi kwa kiwango kikubwa. Fisadi anakuwa na uchu wa kujinufaisha yeye mwenyewe, na uchu huo hautamruhusu kuwaletea hayo maendeleo anayowaahidi sasa.
 
Siwezi kukumbatia kiongozi Kilaza Never ever

tukianza na wewe nwenyewe kil...aza sasa unaweza kuchambua ukilaza wa kiongozi husika.. !! ashakum si matusi ukilaza wako nimeuona kwenye komenti yako hapo juu.
 
Back
Top Bottom