John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Zaidi ya wajumbe 140 wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, leo Machi Mosi, 2022 walitoka nje ya ukumbi baada ya kukataa kusikiliza hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergei Lavrov.
Waziri huyo alikuwa akishiriki mkutano huo kwa njia ya video kutokana na mipaka ya ndege kwenda Geneva kutoka Urusi kuzuiwa, ambapo alikuwa akizungumzia mbele yao kuhusu kuhalalisha wa uvamizi wa kijeshi wa taifa lake dhidi ya Ukraine ambao bado unaendelea.
Wanadiplomasia walioshiriki katika mkutano huo hasa kutoka Marekani na Uingereza ndiyo ambao walianza kusimama na kuondoka wakati video ya Waziri huyo ikiendelea.
Source: Reuters
===========================================
EU, US, British envoys boycott Lavrov speech at UN rights forum
GENEVA, March 1 (Reuters) - Dozens of diplomats from the European Union (EU), United States and Britain walked out of a speech by Russian Foreign Minister Sergei Lavrov to the top U.N. human rights forum on Tuesday, according to a Reuters witness.
Lavrov was addressing the U.N. Human Rights Council remotely, having cancelled his attendance earlier due to what the Russian mission in Geneva said on Monday were EU states blocking his flight path.
Waziri huyo alikuwa akishiriki mkutano huo kwa njia ya video kutokana na mipaka ya ndege kwenda Geneva kutoka Urusi kuzuiwa, ambapo alikuwa akizungumzia mbele yao kuhusu kuhalalisha wa uvamizi wa kijeshi wa taifa lake dhidi ya Ukraine ambao bado unaendelea.
Wanadiplomasia walioshiriki katika mkutano huo hasa kutoka Marekani na Uingereza ndiyo ambao walianza kusimama na kuondoka wakati video ya Waziri huyo ikiendelea.
Source: Reuters
===========================================
EU, US, British envoys boycott Lavrov speech at UN rights forum
GENEVA, March 1 (Reuters) - Dozens of diplomats from the European Union (EU), United States and Britain walked out of a speech by Russian Foreign Minister Sergei Lavrov to the top U.N. human rights forum on Tuesday, according to a Reuters witness.
Lavrov was addressing the U.N. Human Rights Council remotely, having cancelled his attendance earlier due to what the Russian mission in Geneva said on Monday were EU states blocking his flight path.