Meli ya MV Spice Islander, yazama ikelekea Pemba; wengi wahofiwa kupoteza maisha

Nyie watu vipi? Misiba mbona iko kila siku. Msiba unatokea kwenye familia au ukoo na wanandugu wanakuja kutoa pole kisha hao wanaendelea na shughuli zao.

Hii standard ya kusema shughuli zisitishwe kisa msiba imeanza lini?

Naunga mkono kusimama kimya dakika moja kuwakumbuka marehemu, lakini sio kusitiisha shughuli yote.
 
kamishina wa polisi Mussa Ali Mussa kasema hadi sasa majeruhi 260 wameokolewa.maiti idadi haijajulikana.chopper mbili zinaendelea kusaidia katika uokoaji.kwa kuzunguka kuangalia kama kuna watu waliopelekwa na maji mbali na sehemu ya tukio.mia
 
dah poleni sana ndg zetu Mungu afariji Wafiwa Lakini hili ni tatizo la wataalamu wetu ambao wamesoma vizuri kuwa UZITO UKIZIDI lazima meli izame wao wameacha daftarini kwa tamaa ya pesa hapa naomba.
  • wachunguzwe akili zao kama zipo safi
  • vyeti vyao vikaguliwe upya
  • waachishwe kazi kwa manufaa ya umma
 
Hayo mashindano ya malaya yaendelee hayana tija yoyote kwa taifa
 
Nyie watu vipi? Misiba mbona iko kila siku. Msiba unatokea kwenye familia au ukoo na wanandugu wanakuja kutoa pole kisha hao wanaendelea na shughuli zao.

Hii standard ya kusema shughuli zisitishwe kisa msiba imeanza lini?

Naunga mkono kusimama kimya dakika moja kuwakumbuka marehemu, lakini sio kusitiisha shughuli yote.

Mchawi utamjua tu!!
 
Simu za kizushi zimekuwa nyingi kati yetu.
Kisiwani Pba kumekuwa shwari, ninachoona ni mikusanyiko ya watu katika nyumba za wale waliyokuwa na ndugu na jamaa zao katika meli.
Ila kinachoendeli ni kupokea habari za uthibitisho wa nani kafa na nani kapona kutoka kwa ndugu na jamaa waliopo Maisara Unguja.
Mtaa hadi mtaa kuna vilio. Maeneo ya kaskazini ndo kumezidi coz meli ilikuwa inategemea kufungia gati Wete, hivyo ilibeba zaidi watu wa Maeneo ya Wete, Mtambwe, Pandani na kwengineko.
Inshort tunawaombea na kuwatakia makazi mema walitutangulia. Na tujiombee na sisi mwisho uliyo mwema.
Mungu zilaze roho za marehemu Peponi. Amiin
 
Watajidai kusimama Dakika moja ili kusali kwa ajili ya marehemu wa hii ajali, halafu after that show inaendelea kama kawaida.

Wako kibiashara zaidi.

Huenda nisimlaumu Lundenga kwa 100% endapo shindano litaendelea lakini ikiwa VODACOM ambae ni mdhamini mkuu anaamini ZNZ ni moja ya masoko yake basi hawana budi kuahirisha shindano hili.
 
Janga jingine katika nchi yetu. Lakini chakujiuliza, je tunajifunga kweli kutokana na historia ya majanga mbalimbali yaliyotokea?. SUMATRA wanadhibiti nini? Je wamewezeshwa kufanya majukumu yao?

Ni muhimu nchi kuwa tayari kwenye majanga kama haya. Mungu awalaze mahali pema peponi waliotutangulia.
 
MMJ umesema kweli,,mimi naishi zenji Ila kwa vyovyote itakavyotokea mambo yanavyoendeshwa huku ZENJ si serikalini wala kwenye maisha ya kawaida ya jamii yanaendeshwa kwa mazoae sana na usimamizi nimubovu sana. na kwa kuwa imani ya dini ni zaidi ya kila kitu. si ajabu wakakushavyngaa kwa kuhoji hivyo na kukuambia YAHEE MWENYEZI MUNGU KESHA PANGAA HATA KAMA CHOMBO KINGEKUWA KIKONGWE AU KIMPYA HUWEZI ZUIA. wana

Isijekua kua tu ni muendelezo wa kutoa watu kafara kwa sababu za kisiasa...wanasiasa wa Tz wanapenda sana mambo ya kimazingara!!
 
du,eemungu tupe nguvu katika wakti huu mgumu wa matatizo lukuki tuliyonayo

tuzidi kuwapamoyo hususani wale wliondokewa na ndugu zao
 
ww mfitinifu, Jussa alikuwa akizungumza na wazanzibari kwa hio kusema hivyo yuko sawa, na si kosa kwa wakigoma akizungumza na wakigoma akawatumia kigoma na sio haipendi Tanzania au wakikutwa na majanga Chadema na kutumia wanachadema
<br />
<br />
Acha kutetea ubaguzi aloufanya Jussa....Hivi siku hizi facebook ni selective,utakachoandika kitasomwa na uliowakusudia pekee?Jussa ameonesha wazi jinsi wenzetu mlivyo wabinafsi na wabaguzi.....hata kwenye maafa?Anyway poleni sana wafiwa na manusura wa ajali hii.
 
Pamoja na kutoa pole kwa wafiwa katika ajali ya meli SPICE ISLANDERS, je meli hii ilikuwa inakidhi viwango? Hizi ajali zinaongezeka kila mara huko znz. MKUU WA BANDARI ZANZIBAR UPOOO........
 
Nyie watu vipi? Misiba mbona iko kila siku. Msiba unatokea kwenye familia au ukoo na wanandugu wanakuja kutoa pole kisha hao wanaendelea na shughuli zao.

Hii standard ya kusema shughuli zisitishwe kisa msiba imeanza lini?

Naunga mkono kusimama kimya dakika moja kuwakumbuka marehemu, lakini sio kusitiisha shughuli yote.

Mkuu hebu kuwa na moyo wa huruma. Huu msiba sio wa mtu mmoja au wawili ni mamia ya watu. Sisi kama watz kuna haja gani ya kufanya maonyesho huku watu wakilewa na kucheka kwa furaha wakati wenzetu wako mochwari na wengine wanaliwa na papa baharini.

Thnk twice mkuu.
 
Back
Top Bottom