Meli mpya ya Titanic II kuzinduliwa mwaka 2018

AKILI TATU

JF-Expert Member
Feb 10, 2016
2,658
2,804
Meli hii inafanana kama ilivyokuwa meli ya Titanic ya awali ambayo ilizama baharini mwaka 1902
article-2287163-1863644A000005DC-700_964x541.jpg
 
Tahadhari kubwa! Hii nayo itazama
Hii inaweza isizame kama ile ya mwanzo.Kisa cha ile Meli ya TITANIC kuzama ni kuwa wakati wa uzinduzi mwenye meli alisema meli yake imejengwa vizuri kiasi kuwa hata mungu akitaka kuizamisha hataweza.Watu wakashangilia kile kihotuba chake. Kilichotokea kwenye hiyo meli kuzama kwake kinakumbukwa na dunia hadi leo.Wenye hiyo meli mpya nadhani wakiepuka kufuru haitazama lakini wakirudia yale ya ile ya mwanzo hiyo nayo itazama
 
Back
Top Bottom