Meli kubwa zaidi duniani Freedom Ship

Meli kubwa zaidi duniani Freedom Ship

Imepewa daraja la kuwa meli kubwa zaidi dunian badala ya Oasis of the Seas ambazo zoe zimengenezwa na kampuni ya Royal Caribbean International. Wanasema ina urefu wa 362m sawa na ukubwa wa viwanja vinne kasoro vya mpira wa miguu, ina robot bar tender na vinginevyo vingi sana
 
Shuhudia picha 17 meli kubwa duniani kwa sasa.jpg
ship-1.jpg
ship-2.jpg
ship-3.jpg
ship-4.jpg
ship-4-1.jpg
ship-6.jpg
ship-6(2).jpg
ship-7.jpg
ship-8.jpg
ship-9.jpg
ship-10.jpg
ship-11.jpg
ship-11(2).jpg
ship-12.jpg
ship-17.jpg
ship-18.jpg
ship-19.jpg
ship-20.jpg
ship-22.jpg

Pichani juu ni taswira za meli hiyo kubwa kuliko zote duniani.

KAMA ulishawahi kuonana na meli kubwa duniani kisha ukalidhika kwamba hakuna nyingine kubwa zaidi ya ulizoziona. Utakuwa unajidanganya!

Meli ya 25 inayomilikiwa na Kampuni ya Royal Caribbean International fleet inasemekana ndiyo meli kubwa kuwahi kutokea duniani kwa sasa kuliko meli zote. Watengenezaji wa meli hii waliyoiita Harmony of the Sea wanasema imechukua miezi 32 kuijenga.

Watengenezaji wa meli wamesema hii ndio meli kubwa zaidi duniani itakayokuwa ikibeba abiria. Meli hii imepewa jina la Harmony of the Seas. Inawafanya kazi 3,000,inauwezo wa kuchukua abiria 6780, kwa wiki kutembea na hii meli ni £900 kwa mtu mmoja, ila kwenye eneo la bata ni £2,760 kwa mtu mmoja.

CREDIT: Andrew Carlos/Global chanzo.Shuhudia picha 17 meli kubwa duniani kwa sasa
 
KAMA ulishawahi kuonana na meli kubwa duniani kisha ukalidhika kwamba hakuna nyingine kubwa zaidi ya ulizoziona. Utakuwa unajidanganya!

Inawafanya kazi 3,000,inauwezo wa kuchukua abiria 6780,
Kwa hiyo kama umeiona meli hii kisha ukaridhika kwamba hakuna meli nyingine kubwa zaidi utakuwa unajidanganya? Kwa hiyo kuna nyingine kubwa zaidi, au?

Halafu meli haiwezi kuwa ya abiria 6780 halafu 3,000 wakawa wafanyakazi! It's absurd.

Imagine hoteli ya watu 400 ina wafanyakazi 200! hahahaaa... Kaipitie vizuri source yako please, doesn't make any sense
 
Kwa hiyo kama umeiona meli hii kisha ukaridhika kwamba hakuna meli nyingine kubwa zaidi utakuwa unajidanganya? Kwa hiyo kuna nyingine kubwa zaidi, au?

Halafu meli haiwezi kuwa ya abiria 6780 halafu 3,000 wakawa wafanyakazi! It's absurd.

Imagine hoteli ya watu 400 ina wafanyakazi 200! hahahaaa... Kaipitie vizuri source yako please, doesn't make any sense
unataka kulinganisha hotel na meli sasa ....................
 
Kwa hiyo kama umeiona meli hii kisha ukaridhika kwamba hakuna meli nyingine kubwa zaidi utakuwa unajidanganya? Kwa hiyo kuna nyingine kubwa zaidi, au?

Halafu meli haiwezi kuwa ya abiria 6780 halafu 3,000 wakawa wafanyakazi! It's absurd.

Imagine hoteli ya watu 400 ina wafanyakazi 200! hahahaaa... Kaipitie vizuri source yako please, doesn't make any sense
Class and type: Oasis-class cruise ship
Tonnage: 226,963 GT[2]
Length: 362.12 metres (1,188.1 ft)[2]
Beam:
  • 66 metres (217 ft) (max)[7]
  • 47.42 metres (155.6 ft) (waterline)[2]
Height: 70m (210 feet)
Draught: 9.322 metres (30.58 ft) (waterline)[2]
Depth: 22.6 metres (74 ft) [8]
Decks: 18; 16 passenger decks
Installed power:
Propulsion:
Capacity: 5,479 at double occupancy; 6,410 total capacity
Crew: 2,100
 
Kwa hiyo kama umeiona meli hii kisha ukaridhika kwamba hakuna meli nyingine kubwa zaidi utakuwa unajidanganya? Kwa hiyo kuna nyingine kubwa zaidi, au?

Halafu meli haiwezi kuwa ya abiria 6780 halafu 3,000 wakawa wafanyakazi! It's absurd.

Imagine hoteli ya watu 400 ina wafanyakazi 200! hahahaaa... Kaipitie vizuri source yako please, doesn't make any sense
Boss bwana mkubwa mkuu. Hizo meli za kitalii huwa hivyo mzee. Huwa zinakuwa na wafanyakazi wengi sana
 
Halafu mheshimiwa Mzizi Mkavu naomba kwa hisani yako uniruhusu kurekebisha kitu hapa. Nakubali kuwa hiyo ni meli kubwa sana lakini sio kubwa kuliko zote duniani. Labda unamaanisha ni kwa meli za mtindo huo yaani cruiser. Kwa meli za kitalii sawa ni kubwa kuliko zote lakini kuna meli za aina nyingine zina urefu wa zaidi ya nusu kilometre. Hata container ship the might Emma Maersk nafikiri ni kubwa kuliko hiyo mzee. Na meli zinazoongoza kwa urefu ni ULCC na VLCC yaani very large crude carrier na Ultra large crude carrier. Naomba kuwasilisha
 
Inawafanya kazi 3,000,inauwezo wa kuchukua abiria 6780,Hivi inawezekana meli iwe na wafanyakazi 3000 kwa abiria 6000,ina maana kila mfanyakazi anahudumia abiria wawili,nadhani sio kweli haiwezekani meli iwe na wafanyakazi wengi hivyo,ina maana meli imejaa wafanyakazi tu?
 
Back
Top Bottom