Melchizedek na utata unaomzunguka

Melikizedeki.. Ni mmoja ya wafalme , kama walivyokua wafalme wengine.

Biblia haijataja kumuelezea sanaaa ndomaana akaingizwa ktk watu watatu ambao ndani ya biblia hawaonekani kua na wazazi.


Kwa uelewa wangu mdogo, nadhan hakuandikwa sana kama sehem ya mambo ambayo hayakua na umuhim kivile.

In fact hata biblia ya leo ni ufupisho tu ila mambo ni mengiiiiii sana Chief !!!
Unataja kuwa kwenye biblia Kuna watu watatu ambao hawakua na wazazi mmoja ndo huyu melkizedeki Sasa hao wengine ni kina Nani ?
 
Yesu hakuwa na mama,,huyo mariam aliemzaa Yesu alikuwa njia tu na sio mama kamili,,hakuna mwanaume aliemuingia mariam ili apate mimba kwa hio Alikuwa Kama surrogate tu kwa Yesu na hana umama wowote.

Sikujua kama Maria hakumzaa, kumnyonyesha wala kumlea Yesu utotoni
Basi inabidi tufundishwe upya kuwa Maria siyo mama yake Yesu
 
It encourages to read the bible more and more and related manuscripts and theological papers
Ingawa mambo ya roho yanatambulika kwa jinsi ya roho lakini pia lazima tukumbuke Mungu hakutupa akili kama pambo (itumie akili yako kama ipasavyo ila usitende dhambi)
 
Mwisho kama kitabu cha waebrania haijulikani mwandishi wake inatosha kukidisqualify?
Mkuu nmekuelewa sana hoja yako nzito ila labda ningejibu hili swali.

Mwandishi kutojulikana hakudisqualify ila nlijaribu kuweka facts straight maana mkuu hapo juu anasema "mwandishi aliandika"!! Kana kwamba ana taarifa zake nyingi sana...

However, mwandishi kutojulikana kunaweza punguza credibility maana hujui alieandika alikua na nia gani?? Alitoa vyanzo vyake wapi? Hivyo kunaweza kuwepo opotoshaji ila ukimjua muandishi unaweza pima kazi zake nyingine na kuona kama alitambulika na waandishi wa kipindi hiko kama credible source

Imagine leo Historia ya Nyerere iwe imeandikwa na mwandishi ''asiyejulikana'' si tutaiamini tu ila vipi ingeandikwa na Idd Amin?? Si tungeisoma kwa umakini na tahadhari kuu.

Hivyo kwangu mimi facts ni bora kuliko mwandishi ila Credibility/Uhalali wa maandishi hutegemea na Alieandika ni NANI!
 
Nimetumia neno ""surrogate" kiswahili chake ndio Sina kwa sasa,,ila hata mwanamke alie surrogate akizaa nae hutoa maziwa na hulipwa kwa kazi ya kubeba mimba na kunyonyesha mtoto.Na hii haimpi ile hadhi au nafasi ya kuwa mama.Kazi yake ikiisha imeisha analipwa na anakabidhi mtoto kwa wazazi wake
Sikujua kama Maria hakumzaa, kumnyonyesha wala kumlea Yesu utotoni
Basi inabidi tufundishwe upya kuwa Maria siyo mama yake Yesu
 
Nimetumia neno ""surrogate" kiswahili chake ndio Sina kwa sasa,,ila hata mwanamke alie surrogate akizaa nae hutoa maziwa na hulipwa kwa kazi ya kubeba mimba na kunyonyesha mtoto.Na hii haimpi ile hadhi au nafasi ya kuwa mama.Kazi yake ikiisha imeisha analipwa na anakabidhi mtoto kwa wazazi wake

Biblia inamtambua Maria kama mama yake Yesu, Tena ni maneno ya Malaika wa Bwana.

Kwa hiyo sisi tunamsikiliza malaika wa Bwana zaidi siyo wewe unayesema Maria siyo mama yake Yesu ila "ni kibebo cha mimba(surrogate) tu

Mathayo: 2: 19-21 Inasema

19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, 20 akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa." 21 Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israel
 
Biblia inamtambua Maria kama mama yake Yesu, Tena ni maneno ya Malaika wa Bwana.

Kwa hiyo sisi tunamsikiliza malaika wa Bwana zaidi siyo wewe unayesema Maria siyo mama yake Yesu ila "ni kibebo cha mimba(surrogate) tu

Mathayo: 2: 19-21 Inasema

19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, 20 akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa." 21 Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israel
Ni kweli alifanyika mama ili kumpa uhalali wa kuwepo duniani ila nilichomwelewa mleta mada Ni kwamba hakua na mama kwasababu ya NATURE yake,yani alikuepo kabla hajaja duniani,hakuumbwa kwahiyo chanzo chake Ni uungu kwa tafsiri hiyo Hana mama,lakini baada ya kuja duniani anae mama ambae alimzaa
 
Hebrew 10:5 ukiisoma na mstari wa kuendelea mbele utaona "dhabihu na sadaka hukutaka ila mwili uliniwekea tayari"""
Sasa jiulize maswali haya
1.Yesu aliongea haya akiwa wapi?

2.Alikuwa na Mwili upi?

3.Alikuwa akiongea na nani?

4.Huo mwili aliwekewa wapi?

5.Je? Angeufikiaje huo mwili?

6.Je? Sadaka na dhabihu zilikuwa na role gani iliokuja kuwa replaced na Mwili??

7.Je mwili aliokuwa nao Yesu ni mwili kama huu wangu wa kukimbizana na maisha na furaha za dunia au ulikuwa na lengo maalum?Ambao ulikuwa ndani ya tumbo la uzazi la mwanamke bikra ambae bado kulala na mme?
Biblia inamtambua Maria kama mama yake Yesu, Tena ni maneno ya Malaika wa Bwana.

Kwa hiyo sisi tunamsikiliza malaika wa Bwana zaidi siyo wewe unayesema Maria siyo mama yake Yesu ila "ni kibebo cha mimba(surrogate) tu

Mathayo: 2: 19-21 Inasema

19 Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri, 20 akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa." 21 Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israel
 
Ni kweli alifanyika mama ili kumpa uhalali wa kuwepo duniani ila nilichomwelewa mleta mada Ni kwamba hakua na mama kwasababu ya NATURE yake,yani alikuepo kabla hajaja duniani,hakuumbwa kwahiyo chanzo chake Ni uungu kwa tafsiri hiyo Hana mama,lakini baada ya kuja duniani anae mama ambae alimzaa

Sasa huyo Melkizedeki ni tofauti na Yesu maana maandiko yanasema kuwa pamoja na huyo Melkizedeki kuwa hapa duniani, hata hapahapa duniani kwenyewe hakuwa na mama, wakati kwa upande wa Yesu ni tofauti yeye alipokuwa hapa duniani, alikuwa na mama!

Halafu si maandiko yanasema Yesu ni mwana wa Mungu?, sasa vipi mnasema hana baba?

Melkizekedi yeye si mwana wa Yeyote maana maandiko yanasema hana baba wala mama
 
Unataja kuwa kwenye biblia Kuna watu watatu ambao hawakua na wazazi mmoja ndo huyu melkizedeki Sasa hao wengine ni kina Nani ?
Elia naye hajulikani chimbuko lake lilikuwa ni wapi hakuwa na mzazi na hakuwahi kufa pia
 
Nikirudi kwenye maada utaona katika Hekalu lililokuwa Jerusalem lilikuwa na partition tatu.Partition ya kwanza hema la kukutania,,partition ya pili hema ya kati sehemu ya sadaka zote na partition ya tatu patakatifu pa patakatifu,,,,,,,,,,,,Hii hema ya tatu aliingia mtu mmoja tu Kuhani mkuu tena akiwa amefungwa kamba mguuni ili incase kaingia na doa la dhambi akafa aweze kuvutwa nje mpaka apatikane tena kuhani mkuu mlawi aweze kuingia tena humo.

Hii itakuonyesha kwamba kuhani mkuu akiwa kama yeye alikuwa na nafasi kubwa sana ambayo ilimfanya wa kipekee maana ndie alieweza kwenda mbele za Mungu kwa kupewa dira ya nchi na kutubia dhambi ya nchi nzima.

Sasa huyo melickzedech kama kuhani mkuu katika ulimwengu halisi yanakofanyika Mambo halisi hafanyi tena upatanisho kwa kuashiria ila kwa uhalisia wake,,kitendo cha Ibrahim kumtolea fungu la kumi na kumsujudia kimeonyesha kwamba hakuwa binadamu na ile sadaka kuhusianishwa na kabila la lawi ambalo lilikuwa makuhani tu kuliashiria mwanzo wa ibada ya ishara yenye kufanana na ibada halisi ilio mahali flani..Na kilichofanyika na Israel ya zamani katika mwili kilikuwa ni ishara ila yenye mafungamano na mambo halisi katika ulimwengu mwingine
 
Mkuu Missile of the Nation huyo melikzedech hapa duniani alipita tu hakukaa,,hata Mungu aliwahi mtokea Ibrahim ila hakukawia kurudi alikotoka,,lakini Yesu aliishi hapa duniani miaka 33.Na kama melikzedech angeishi hapa duniani sharti angeuvaa mwili.Maana dunia haiko compatible na viumbe roho.Kwa nini Yesu ndie melikzedech ni kwa sababu ya ukuhani na uhusiano wa mwili wake na agano jipya ambalo limefungamana na damu yake.
 
Mkuu Missile of the Nation huyo melikzedech hapa duniani alipita tu hakukaa,,hata Mungu aliwahi mtokea Ibrahim ila hakukawia kurudi alikotoka,,lakini Yesu aliishi hapa duniani miaka 33.Na kama melikzedech angeishi hapa duniani sharti angeuvaa mwili.Maana dunia haiko compatible na viumbe roho.Kwa nini Yesu ndie melikzedech ni kwa sababu ya ukuhani na uhusiano wa mwili wake na agano jipya ambalo limefungamana na damu yake.
Kwahiyo mkuu Kiufupi Melchizedek ndio Yesu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom