kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Wakati wenzao wa Sekta ya umma wakifurahi na kurukaruka kwa nyongeza ya mshahara wenzao wa Sekta binafsi hawajui la kufanya. Bidhaa zimepanda kwa watumishi wote na wote wanaishi kwenye mitaa ileile na kukua kwenye maduka yaleyale; wanachekana.
Bodi fanyeni hima kunusuru Sekta binafsi ambao ni watia huduma wazuri na walipa Kodi pia.
Bodi fanyeni hima kunusuru Sekta binafsi ambao ni watia huduma wazuri na walipa Kodi pia.