Mei Mosi, Sekta binafsi bado ipo gizani Totoro

Mei Mosi, Sekta binafsi bado ipo gizani Totoro

Hii inamaana yule aliye sekta binafsi Mshahara kwanzia 500,000 hatakatwa Kodi. Ila ile inayoongezeka juu ya 500,000
 
Ndio kusema Sekta binafsi wapigeje kura zao?
kama nina ujuzi wangu itabidi unilipe scale sawa na ya serikali kama si zaidi, la sivyo tafuta mfanyakazi mwenye njaa umlipe mshahara mdogo.
 
Hii inamaana yule aliye sekta binafsi Mshahara kwanzia 500,000 hatakatwa Kodi. Ila ile inayoongezeka juu ya 500,000
kule sekta binafsi wako wanaolipwa 100,000 baada ya kukatwa bima na NSSF. Hawa wako kwenye hatari kubwa sana ya kujiingiza kwenye wizi wa mali za mwajiri, ukahaba, na ombaomba ili kujikusulu. Serikali, serikali, serikali!!! imarisheni private sector, ndiyo engine ya uchumi duniani kote, hatuwezi kusema kilegelege juu yao namna ile
 
kule sekta binafsi wako wanaolipwa 100,000 baada ya kukatwa bima na NSSF. Hawa wako kwenye hatari kubwa sana ya kujiingiza kwenye wizi wa mali za mwajiri, ukahaba, na ombaomba ili kujikusulu. Serikali, serikali, serikali!!! imarisheni private sector, ndiyo engine ya uchumi duniani kote, hatuwezi kusema kilegelege juu yao namna ile
Sekta binafsi wana pesa.

Ila wengi wanapenda dhulma tu.

Ukitaka kujua wana pesa, cheki wafanyakazi wao wanaowaleta kutoka nje wanavyowalipa.
 
Kwa uwingi wa watu waliopo haliwezekan tena, zamani ndio walikuwa wako tayari wakulipe pesa ndefu. Sahiz wana option nyingi
Yeah kuna jobless wengi sana mtaani wako tayari kufanya kwa mshahara wowote hata kwa internship.
Halafu wamiliki wa makampuni binafsi wana mahesabu sana wanachokifanya kwenye kila idara wana ajili mtu professional mmoja tu kisha wengine wanakuwa helpers tu kisha wanajifunzia kazi hapo hapo,baada ya miaka kadhaa ukilinga wanakuondoa kisha helper mmoja anaongezewa mshahara kidogo na kufanya kazi zote ulizokuwa unazifanya.
 
Sekta binafsi ni hatari. Siku wana uhuni wa kutangaza nafasi za kujitolea... hali inatisha mno.
 
Wakati wenzao wa Sekta ya umma wakifurahi na kurukaruka kwa nyongeza ya mshahara wenzao wa Sekta binafsi hawajui la kufanya. Bidhaa zimepanda kwa watumishi wote na wote wanaishi kwenye mitaa ileile na kukua kwenye maduka yaleyale; wanachekana.

Bodi fanyeni hima kunusuru Sekta binafsi ambao ni watia huduma wazuri na walipa Kodi pia.
Ht serikali ikitangaza nyongeza kwa sekta binafsi huwa hawatekelezi wanapuuziaga tu.
 
Kama ukilipwa chini ya laki 5 sector binafsi kuanzia july una haki ya kwenda mahakama ya kazi.

Wahindi inabidi waongeze mishahara.....walinzi waongezewe mishahara.
Acha danganya Toto kule kuna watu wanaolipwa mpaka 150k per month pamoja kuwa kimo cha chini kilikuwa 370k unafikiri sasaiv ndo watalipa hiyo hela???
 
mimi nashauli sekta zoote ziongeze kazi na sio mshahara..
Habari zakudaidai mshahara uongezeke kuna watu watanunua Roboti mwishowe tutazidi kua wengi mtaaani..
 
mimi nashauli sekta zoote ziongeze kazi na sio mshahara..
Habari zakudaidai mshahara uongezeke kuna watu watanunua Roboti mwishowe tutazidi kua wengi mtaaani..
Tupambane tujiajiri wenyewe ili waajili watupigie magoti
 
Shida sekta binafsi huwa hawasemi kuwa wanateseka.

Huwa wanasema sekta ya umma, mishahara kidhchu, wavivu, hawana KPIs na hawazalishi.

Sasa shida nini?
Miundumbinu ya mwajiti mibovu na washauri wake Hawa ujuzi forecast. Hapo umejibuwa
 
Miundumbinu ya mwajiti mibovu na washauri wake Hawa ujuzi forecast. Hapo umejibuwa
Miundombinu gani??

Sekta binafsi wahuni tu.

Badala ya ongezeko la mshahara labda serikali ikomalie sekta binafsi itoe mikataba ya ajira kwanza, maana sekta binafsi wanapemda sana vibarua
 
Back
Top Bottom