REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,462
- 9,402
Sote tunajua dunia sasa ipo kwenye mapambano ya covid-19, gonjwa ambalo limeathiri mfumo wa maisha ya binadamu kwa namna moja ana nyingine, lakini pamoja na gonjwa hili maisha inabidi yaendelee na ndio maana tunambiwa tuchukue tahadhari
Turudi kwenye hoja ya msingi bado siku chache dunia ihadhimishe siku ya mfanyakazi duniani, siku ambayo wafanyakazi wanapataga matumaini mapya ya usalama wa kazi zao na matumaini ya maslahi yao, kwa miaka mitano hapa kwetu Tanzania tumeshuhudia watumishi wa umma wakiahidiwa kuwa wachape kazi mambo mazuri yanakuja kwa bahati mbaya mwaka huu sherehe za mei mosi hazitokuwepo
Swali kwa kiongozi wa vyama wafanyakazi je mnanini cha kuwambia wafanyakazi 2020?
Turudi kwenye hoja ya msingi bado siku chache dunia ihadhimishe siku ya mfanyakazi duniani, siku ambayo wafanyakazi wanapataga matumaini mapya ya usalama wa kazi zao na matumaini ya maslahi yao, kwa miaka mitano hapa kwetu Tanzania tumeshuhudia watumishi wa umma wakiahidiwa kuwa wachape kazi mambo mazuri yanakuja kwa bahati mbaya mwaka huu sherehe za mei mosi hazitokuwepo
Swali kwa kiongozi wa vyama wafanyakazi je mnanini cha kuwambia wafanyakazi 2020?