Watu kibao wanamshangaa huku, kila siku hotuba zake ni zile zile, badala atatue kero za wafanyakazi anaanza kujisifia mwenyeweMkuu hata mimi nashngaa, Rais anaongelea mambo ya uzinduzi wa miradi ya serikali kwenye sikukuu ya wafanyakzai, siku pekee kwa mwaka kwa wafanyakazi kutoa yao ya rohoni.
Anakanisa lakeHivi Msigwa ni KKKT?
Ameanza kuamsha dude bila hotubaAfadhali leo anasoma hotuba
Ni ili hela ziwe mahali pamoja, ili serikali ikizihitaji isipate shida kuzichukua.Jamani wajuvi wa mambo mniweke sawa,kuna manufaa gani yatapatikana kwa wafanyakazi endapo hii mifuko ya hifadhi itaunganishwa? Naona kauli mbiu inalipigia chapuo hili.
Mkuu, kama wewe ulibahatika na upo kwenye system basi usitubeze wenye njaa...isitoshe tupo wengi. Wanasema unaweza kuwadharau siafu lakini huwezi kuwakalia. Mimi nimezungumzia wafanyakazi kuminywa kutowasilisha kero/mabango yao na yasomeke, wewe unaninambia nikasomee jinsi Taasisi ya Rais inavyofanya kazi...then? hiyo taasisi ittanipa chakula? itaniongezea mshahara?
Aise3ee mpka natetemeka kweli ndio walimu haoHawa walimu wapo serious kweli!
Ni ili hela ziwe mahali pamoja, ili serikali ikizihitaji isipate shida kuzichukua.
Jibu hojaUnaboa.....
NimekufafanuliaThis is non sense!!how can you quantify opinions