Mei Mosi 2018: Rais Magufuli atapandisha Mishahara miradi mikubwa ya Serikali ikikamilika, Mwaka jana alinukuliwa Vibaya

Kama Magufuli kahudhuria, watarajie fix za kuongezewa mshahara, na ajira elfu 45,300. Rais wangu sijui ataacha Uongo lini. Anyway namsuburi kwenye Sanduku la Kura 2020. Sijui atapiga Pushup tena, sijui atanionyesha miradi aliyozindua ambayo kiuhalisia ni miradi ya JK...ngoja tu
 
nayeye nimemwona humu akisoma komenti za wadau afu anacheka zake tu huku akishushia chai nzito.
 
Bado tunaendelea na zoez la uhakiki wa wafanyazi hewa likimalizika ndo mtapewa malimbikizo yenu sawa.
 
Si wafanyakazi wote wana pokea mshahara mdogo, kuna baadhi wanapokea mnono,.... Mhe Rais anapaswa awaangalie wale wa tabaka la chini, aongeze mishahara yao.
 
Siwezi kupoteza mda kusubiri lolote LA maana kwa wafanyakazi, sana mtakumbushwa habari za hewa hewa ndege na standard gage zikijirudia Mara tanotano.
MTU anayeunga mkono wananchi wapigwe kama mbwa tena mbwa koko Leo ataweza vipi kuwajali na kuwapa maisha bora? Tusiwaze kama wajinga safari hii in ujenzi na manunuzi na kwahali ilivyo maana take pesa nyingi itakwenda nje maana hivyo vitu vinanunuliwa huko. Wafanyakazi nendeni Mkajichekeshe chekeshe na kupiga makofi kwakila neno lakini saaana mtapata ka increment ka elfu NNE kwenye mishahara sio nyongeza wala madaraja.
Binafsi miaka tank sasa sipewi daraja nimeanza wa sita wengine was saba sasa wakati enzi ya kikwete miaka mitatu daraja limo.
 
Kila mtanzania mwenye akili timamu anaweza kutabiri (predict) hotuba ya mkuu. Ndo tutambue tuliingia chaka 2015. Rais wa nchi anayejitambua na anayejali wananchi wake kwenye matukio kama haya kila mtu angekuwa na hamu kusikia ataongea nini, na hakuna anayeweza kupredict kirahisi. Ila huyu wa kwetu mwepesi sana.

Utasikia, tumeibiwa vya kutosha.... Haiwezekani Iringa yenye mbuga ya Ruaha iwe tegemezi, Mimi ni Rais wanyonge....
Hata akiongea kitu kipya Leo shida inakuja kwenye kukiamini.Maana anaweza ongea utekelezaji ukawa sifuri
 
  • Thanks
Reactions: lnx
Mlioko uwanjani muambieni mkulu akumbuke kupunguza yale makato ya bodi ya mkopo elimu ya juu, yamekua mwiba.
Serikali wanacreate problem halafu wanajifanya kusolve.2019 watapunguza hilo au hata mwaka huu halafu tutawasifu wakati hilo janga wmeleta wao wenyewe
 
Hivi watu bado mnakaa kumsikiliza na kumuamini huyu bichwa nanasi Magufuli kwa porojo zake anazoongea kuhusu wafanyakazi? Huyu hana jipya atakalofanya kwa watumishi wa umma
Tunamsikiliza kama kiburudusho tu kwakuwa leo hatujaenda kazini so tunmpumzikia brother k wetu
 
Kama Magufuli kahudhuria, watarajie fix za kuongezewa mshahara, na ajira elfu 45,300. Rais wangu sijui ataacha Uongo lini. Anyway namsuburi kwenye Sanduku la Kura 2020. Sijui atapiga Pushup tena, sijui atanionyesha miradi aliyozindua ambayo kiuhalisia ni miradi ya JK...ngoja tu
2020 hawezi piga push up hata mbili.Hata hivyo wabongo sio wa kuwaamini kabisa 2020 watasahau shida zote
 
Back
Top Bottom