Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,546
- 830,111
Unaweza kushangazwa na andiko langu hili.... Lakini huu ndio uhalisia... Meditation sio kwa waamini katika Mungu mmoja mwenye mamlakan na mweza wa yote....!!!!!
Meditation ni kwa wale wasioamini katika miujiza ya kiimani kupitia supernatural powers.... Meditation ni kwa wahojaji wanaosimamia katika pure practice mpaka kuweza kumiliki nguvu za asili na kutenda miujiza... Meditation ni njia ya mwanadamu kutaka kuiga matendo ya Mungu ama kujionesha kuwa naye ana uwezo wa kuweza kutenda kama Mungu...
Ukiwa mwamini mwenye imani thabiti juu ya Mungu na mamlakan yake wala huhitaji kuhangaika na vitu kama meditation kwakuwa tayari umeshaambiwa katika Neno kuwa..... 'Ukiwa na imani hata ya ukubwa wa chembe ya haradari utakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima... Kwa meditation hata umalize stage zote hilo hutaliweza kamwe....!!!
Haradali.. ninini? (Arabidopsis thaliana)
Haradari ni mmea ambao ndio una mbegu/punje ndogo kuliko mimea yote... Lakini yenye uwezo mkubwa wa ajabu wa kupambana na hali zote na uwezo mkubwa wa kufyonza chakula
Kwahiyo kama mwamini hutakiwi kujitesa na mazoezi magumu ya meditation yenye masharti na miiko mingi na ya muda mrefu... Unachohitaji ni IMANI THABITI... imani kipimo cha punje ya HARADALI... ukiliweza hili utafanya yaliyofanywa na meditator guru wa viwango vya juu mno.,..
Kwanini sasa tunafundishana meditation?
Jibu ni rahisi sana.... Kwakuwa hatuna IMANI kipimo cha punje ya HARADALI.... Lakini vilevile si kila mmoja wetu hapa ni mwamini katika Mungu mmoja
Meditation pia ni nzuri kwa afya ya mwili na akili pia... Na kama wewe ni mwamini unaweza pia kutumia njia hii ndefu ya meditation kwa tafakuri za kimungu... Kwahiyo inategemea unaweza vipi wewe mwenyewe kujisimamia
Mimi ni meditator hivyo siipondi meditation... Lakini ukweli ni kwamba kwenye swala zima la
Kutafuta kweli
Kujitambua na elimu ya utambuzi
Self cultivation
Makutano ya kiroho, kiungu nk... Meditation ni sawa na kutembea kwa milonje huku imani ni sawa na kupanda gari.... Ama meditation ni sawa na kutumia njia ndefu wakati imani ikiwa ni kutumia shortcut
Meditation ni kwa wale wasioamini katika miujiza ya kiimani kupitia supernatural powers.... Meditation ni kwa wahojaji wanaosimamia katika pure practice mpaka kuweza kumiliki nguvu za asili na kutenda miujiza... Meditation ni njia ya mwanadamu kutaka kuiga matendo ya Mungu ama kujionesha kuwa naye ana uwezo wa kuweza kutenda kama Mungu...
Ukiwa mwamini mwenye imani thabiti juu ya Mungu na mamlakan yake wala huhitaji kuhangaika na vitu kama meditation kwakuwa tayari umeshaambiwa katika Neno kuwa..... 'Ukiwa na imani hata ya ukubwa wa chembe ya haradari utakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima... Kwa meditation hata umalize stage zote hilo hutaliweza kamwe....!!!
Haradali.. ninini? (Arabidopsis thaliana)
Haradari ni mmea ambao ndio una mbegu/punje ndogo kuliko mimea yote... Lakini yenye uwezo mkubwa wa ajabu wa kupambana na hali zote na uwezo mkubwa wa kufyonza chakula
Kwahiyo kama mwamini hutakiwi kujitesa na mazoezi magumu ya meditation yenye masharti na miiko mingi na ya muda mrefu... Unachohitaji ni IMANI THABITI... imani kipimo cha punje ya HARADALI... ukiliweza hili utafanya yaliyofanywa na meditator guru wa viwango vya juu mno.,..
Kwanini sasa tunafundishana meditation?
Jibu ni rahisi sana.... Kwakuwa hatuna IMANI kipimo cha punje ya HARADALI.... Lakini vilevile si kila mmoja wetu hapa ni mwamini katika Mungu mmoja
Meditation pia ni nzuri kwa afya ya mwili na akili pia... Na kama wewe ni mwamini unaweza pia kutumia njia hii ndefu ya meditation kwa tafakuri za kimungu... Kwahiyo inategemea unaweza vipi wewe mwenyewe kujisimamia
Mimi ni meditator hivyo siipondi meditation... Lakini ukweli ni kwamba kwenye swala zima la
Kutafuta kweli
Kujitambua na elimu ya utambuzi
Self cultivation
Makutano ya kiroho, kiungu nk... Meditation ni sawa na kutembea kwa milonje huku imani ni sawa na kupanda gari.... Ama meditation ni sawa na kutumia njia ndefu wakati imani ikiwa ni kutumia shortcut