Meditation ngumu kuliko zote ni ile ya kifo

Mbona hata diving kwenye maji inahitaji kubana pumzi vile vile, na hakuna issue; bala kama usemavyo ni mazoezi tu.
 
Sasa Mshana mimi huwa sikuelewi kwakweli.Hayo unayosema yanafaida gani kwa sisi watanzania.Labda kama tukimeditate tunagundua njia za kuinua uchumi hapo tutakuwa pamoja.Au unatufundisha namna ya kuachana na mwili?
Mchawi tu huyo. Mambo ya kuzimu hakuna kumediteti wala nini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…