beautifullylikehermom Senior Member Jun 17, 2019 128 153 Jul 16, 2019 #321 Mshana Jr said: Ila kwenye mapenzi inawezekana Click to expand... Ila kwenye mapenzi huwa tunatishana hivi kweli?
Mshana Jr said: Ila kwenye mapenzi inawezekana Click to expand... Ila kwenye mapenzi huwa tunatishana hivi kweli?
Mwanamayu JF-Expert Member May 7, 2010 11,351 6,479 Jul 16, 2019 #322 Mbona hata diving kwenye maji inahitaji kubana pumzi vile vile, na hakuna issue; bala kama usemavyo ni mazoezi tu.
Mbona hata diving kwenye maji inahitaji kubana pumzi vile vile, na hakuna issue; bala kama usemavyo ni mazoezi tu.
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,640 697,994 Jul 16, 2019 Thread starter #323 beautifullylikehermom said: Ila kwenye mapenzi huwa tunatishana hivi kweli? Click to expand... Masharti ya mganga
beautifullylikehermom said: Ila kwenye mapenzi huwa tunatishana hivi kweli? Click to expand... Masharti ya mganga
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,640 697,994 Jul 24, 2019 Thread starter #325 hyassin92 said: Haya yote ya nn Click to expand... Elimu maarifa na ufahamu
Raymanu KE JF-Expert Member Jan 20, 2022 6,843 12,612 Jul 12, 2022 #327 Mimi Wala sitokaa nifanye hii kitu maana Ni ngumu Sana yaani, ninaweza nikafia huko Mazima aisee!
R Rasterman JF-Expert Member Feb 24, 2015 33,905 44,020 Jul 12, 2022 #328 Mbojo said: Sasa Mshana mimi huwa sikuelewi kwakweli.Hayo unayosema yanafaida gani kwa sisi watanzania.Labda kama tukimeditate tunagundua njia za kuinua uchumi hapo tutakuwa pamoja.Au unatufundisha namna ya kuachana na mwili? Click to expand... Mchawi tu huyo. Mambo ya kuzimu hakuna kumediteti wala nini.
Mbojo said: Sasa Mshana mimi huwa sikuelewi kwakweli.Hayo unayosema yanafaida gani kwa sisi watanzania.Labda kama tukimeditate tunagundua njia za kuinua uchumi hapo tutakuwa pamoja.Au unatufundisha namna ya kuachana na mwili? Click to expand... Mchawi tu huyo. Mambo ya kuzimu hakuna kumediteti wala nini.
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,640 697,994 Jul 12, 2022 Thread starter #329 Christian Ray said: Mimi Wala sitokaa nifanye hii kitu maana Ni ngumu Sana yaani, ninaweza nikafia huko Mazima aisee! Click to expand... Hahahaha sio rahisi kihivyo labda tu itokee ajali
Christian Ray said: Mimi Wala sitokaa nifanye hii kitu maana Ni ngumu Sana yaani, ninaweza nikafia huko Mazima aisee! Click to expand... Hahahaha sio rahisi kihivyo labda tu itokee ajali
Joseph lebai JF-Expert Member Jul 19, 2017 8,452 8,607 Jul 12, 2022 #330 Wewe ni great thinker, ila hujawahi kutamba. Excellent! Keep it up. Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni great thinker, ila hujawahi kutamba. Excellent! Keep it up. Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,640 697,994 Jul 12, 2022 Thread starter #331 Joseph lebai said: Wewe ni great thinker, ila hujawahi kutamba. Excellent! Keep it up. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Napokea kwa unyenyekevu mkuu wangu
Joseph lebai said: Wewe ni great thinker, ila hujawahi kutamba. Excellent! Keep it up. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Napokea kwa unyenyekevu mkuu wangu