Medical check up hii imenishangaza!

Tripo9

JF-Expert Member
Sep 9, 2009
4,352
3,533
Kazi yangu inanilazimu ku-do medical check up kila mwaka. Juzi nimetoka kufanyiwa coz it has been a year now since i last did one. Docta bwana kanistua. Kaniambia nisasambue then kashika shika eggs zangu then mtalimbo wangu aka penis.

Why all these? Alijaribu kunieleza kwa kweli sikumuelewa maana I was in a shock! A big shock!

Wataalam nielezeeni alikua ananicheki nini? Medical ya last year sikufanyiwa hivi mbona!
 
Kazi yangu inanilazimu ku-do medical check up kila mwaka. Juzi nimetoka kufanyiwa coz it has been a year now since i last did one. Docta bwana kanistua. Kaniambia nisasambue then kashika shika eggs zangu then mtalimbo wangu aka penis.

Why all these? Alijaribu kunieleza kwa kweli sikumuelewa maana I was in a shock! A big shock!

Wataalam nielezeeni alikua ananicheki nini? Medical ya last year sikufanyiwa hivi mbona!

wewe kazi yako nini mdogo wangu?
 
ulikutana na dokta shoga mdogo wangu hapo alitaka kukuamsha halafu akutie majaribu, sijui ingekuwaje mgonjwa angekuwa mpwa wangu fidel80 au masanilo.
 
Docta alikua HE. Nimepatafununu ni shoga but hata kama shoga alikua kazini. Kazi yangu nini?!... Guess.... Argh haina maana kusema cha maana nijue alikua akichek nini. Ila mi kwa kweli sikuona uhusiano wa nyeti zangu na kazi yangu.
 
Docta alikua HE. Nimepatafununu ni shoga but hata kama shoga alikua kazini. Kazi yangu nini?!... Guess.... Argh haina maana kusema cha maana nijue alikua akichek nini. Ila mi kwa kweli sikuona uhusiano wa nyeti zangu na kazi yangu.

Unafanya kazi gani?
 
Docta alikua HE. Nimepatafununu ni shoga but hata kama shoga alikua kazini.

Hospitali gani nimpe deal masnilo akafanye check up amtifue mbolea, au mpwa crispin unataka kwenda kuangalia afya?
 
Hapo hakuna cha ajabu... hiyo ni physical...mbona wanawake huchekiwa kila kitu?
Msiwe na mawazo mabaya...
 
ulikutana na dokta shoga mdogo wangu hapo alitaka kukuamsha halafu akutie majaribu, sijui ingekuwaje mgonjwa angekuwa mpwa wangu fidel80 au masanilo.

Fidel80 angemalizana naye hapo hapo ofisini, mimi mazee I do not "do" men! maana hata vitabu vitakatifu vimezuia.
 
Hospitali gani nimpe deal masnilo akafanye check up amtifue mbolea, au mpwa crispin unataka kwenda kuangalia afya?

Nawashangaa watu wanaogopa kuchekiwa afya zao. Daktari kama huyo safi sana.
 
Docta alikua HE. Nimepatafununu ni shoga but hata kama shoga alikua kazini. Kazi yangu nini?!... Guess..../JESHI LILE LE! Argh haina maana kusema cha maana nijue alikua akichek nini. Ila mi kwa kweli sikuona uhusiano wa nyeti zangu na kazi yangu.

Mambo yetu yale
 
Napenda daktari wa kike anifanyie check up kama hiyo! baadaye na mimi naweza mwambia Dr kama hutajali naomba na mimi nikuchecki kama huna cancer ya kizazi hebu sasambua na upanue mapaja!
 
Kazi yangu inanilazimu ku-do medical check up kila mwaka. Juzi nimetoka kufanyiwa coz it has been a year now since i last did one. Docta bwana kanistua. Kaniambia nisasambue then kashika shika eggs zangu then mtalimbo wangu aka penis.

Why all these? Alijaribu kunieleza kwa kweli sikumuelewa maana I was in a shock! A big shock!

Wataalam nielezeeni alikua ananicheki nini? Medical ya last year sikufanyiwa hivi mbona!
Kama wewe ni rubani, wala si shangai.
 
Daktari anaweza alikuwa sahihi. Kuna testicular cancer ,hivyo kushika testicles ilikuwa sahihi. Pia kushika uume alikuwa anaangalia kama kuna dalili za magonjwa ya zinaa kama vile kutokwa usaha uumeni au kuwa na vipele.

Kuna kipimo kingine kinachoitwa Per Rectum examination (PR) kinahusu kutiwa kidole kwenye njia ya haja kubwa kuangalia Prostate na njia ya haja kubwa. Hiki ni kipimo kinachotakiwa kufanyika "routine" pia.

Mwisho, Daktari alitakiwa kukupa maelezo ya kina kabla ya kukushika sehemu zako za siri.
Nawasilisha.
 
Daktari anaweza alikuwa sahihi. Kuna testicular cancer ,hivyo kushika testicles ilikuwa sahihi. Pia kushika uume alikuwa anaangalia kama kuna dalili za magonjwa ya zinaa kama vile kutokwa usaha uumeni au kuwa na vipele.

Kuna kipimo kingine kinachoitwa Per Rectum examination (PR) kinahusu kutiwa kidole kwenye njia ya haja kubwa kuangalia Prostate na njia ya haja kubwa. Hiki ni kipimo kinachotakiwa kufanyika "routine" pia.

Mwisho, Daktari alitakiwa kukupa maelezo ya kina kabla ya kukushika sehemu zako za siri.
Nawasilisha.

Kuna magonjwa mengine bora urest in peace slowly but sure...
 
Napenda daktari wa kike anifanyie check up kama hiyo! baadaye na mimi naweza mwambia Dr kama hutajali naomba na mimi nikuchecki kama huna cancer ya kizazi hebu sasambua na upanue mapaja!


Hiyo mbona siyo kazi Masa?
Ukifikia kufanya kipimo cha Prostrate sema nikuunganishe kwa Dr mwanamke
 
Kuna kipimo kingine kinachoitwa Per Rectum examination (PR) kinahusu kutiwa kidole kwenye njia ya haja kubwa kuangalia Prostate na njia ya haja kubwa. Hiki ni kipimo kinachotakiwa kufanyika "routine" pia.
Duh,

Vipimo kama hivi vinaweza kusababisha matatizo sana hivi...

Hiki mimi hujanifanyia, labda network ya ubongo iwe imekatika kabisaaa
 
Back
Top Bottom