Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Tatizo lako waga unajitoa ufahamu linapokuja swala la Yanga, hakuna sehemu Mie nimekataa takwimu ni kweli kabisa inawezekana Yanga amevuta mpunga mrefu kwakuwa team mwenyeji ndio hupokea gate collection

Lakini katika takwimu za miaka mingi Tu katika kariakoo Derby mashabiki wa Simba ndio huingia wengi na Yanga kunufaika kupitia Hilo, ata last season wakat takwimu zinatoka Yanga wameongoza Kwa kupata mapato ni Kwa sababu hiyo Tu

Mie nachopinga ni Manara na Senzo kuwaaminisha watu kuwa mwenye derby ya Juzi eti mashabiki wa Yanga walikuwa wengi, na baadhi ya wajinga wanapostiwa picha za kwenye Tamasha la siku ya wananchi wakiaminishwa ilikuwa ni Juzi na wao wanakubali

Kitu mnachotakiwa kufanya ni kwenda uwanjani kusapoti team yenu kwenye derby na sio kuishia humu tu alafu Kwa mkapa hamuendi hadi viongozi wenu Wanaona aibu kupost picha original, maana kuzunguka kote kule Kwa Manara na Bumbulikwenye media kuipromo Derby hakujazaa matunda yoyote, mnakuja kuzidiwa idadi na team ambayo sio mwenyeji na wala haijazunguka kufanya promo
Amna mkuu...Ni reality
 
Kama Msimu uliopita Yanga ilikua haifanyi vizuri bado takwimu zilionyesha Yanga Ili ingiza mashabiki wengi uwanjani katika mechizake iyo aijalishi ni mechi za Simba na Yanga au Yanga na Azam, Kwaiyo msimu huu itakua zaidi kwakua Yanga inafanya vizuri.

Mambo ya Yanga kuingiza Mashabiki wengi viwanjani haija anza Leo Wala Jana ni tukio la miaka mingi tangu miaka ya 1960 uko.

Kama unahisi takwimu zinapikwa basi jaribu kuuliza Pale Zanzibar wao wanatakwimu nyingi za Mapinduzi cup, kule Mechi za Yanga Zina wastani wa kufunika Kwa wingi wa mashabiki kuliko timu yoyote inayo shiriki michuano iyo.
Nadhani hujaelewa mada inahusu nini mkuu, hatuongelei Yanga kuingiza mashabiki wengi Bali inaongelewa kuwa Yanga ameingiza mapato mengi katika Derby iliyopita

Na hakuna mtu anakataa hiyo, ni kweli ila shida inakuja kwenye Nani kaingiza mashabiki wengi katika huo mchezo husika?

Yanga ananufaika na uwepo wa mashabiki wengi uwanjani katika Derby ambayo yeye ni mwenyeji, mfano derby ya Juzi mashabiki wa Simba walikuwa robo Tatu ya uwanja na Mashabiki wa Yanga ikiwa robo iliyobakia

Sasa kwa takwimu hizi sidhani kama kuna haja ya kujisifia mmeingiza mapato mengi ilhali yametokana na uwepo wa mashabiki wengi wa team pinzani, na haya yote yanatokana na Manara kutaka kuaminisha watu kuwa game ya Juzi wao ndio walikuwa wengi na kuishia kupost picha za siku ya wananchi ya mwaka Jana

Kwahiyo kuhusu Yanga kuongoza kuingiza mashabiki wengi na get collection last season hiyo yote imetokana na Mashabiki wa Simba kuwa wengi kwenye derby, takwimu zinaonesha yanga iliizidi Simba mashabiki kama elf 3 hivi, ila katika michezo yote ya derby Simba ni wengi

Muanze kwenda Kwa wingi katika kariakoo Derby kuisapoti team yenu na sio kusubiri hadi viongozi wenu wapost picha za uongo Kwa aibu, haiwezekani wahamasishaji wawili wanapisha kwenye media kufanya promo alafu mashabiki wanaingia robo uwanja
Screenshot_2022-05-02-09-35-25-654_com.instagram.android.jpg
 
Leta picha hapa inayoonesha nyie ndio mlijaza uwanja tuone...! Kwani nyie si mlikuwa kwenye club bingwa mkacheza na kina Rivers vipi na nyie mlivuna milioni ngapi nyie kama nyie?

Yanga anategemea mapato kutoka Kwa mashabiki wa Simba full stop, hutaki basi leta ushahidi hapa nyie ni wengi kuliko Simba kwenye derby, kama hujaleta picha za siku ya wananchi
Sisi huwa hatufichi statistics mkuu
 
Kwani hayo mapato ya mlangoni si yanaenda klabuni Yanga? GSM yeye ni muuza jezi tu, auze anavyotaka lakini atuletee sh. 1,300/= kwa kila jezi anayouza. Bado nasisitiza, kwa mapato hayo ya mlangoni, Yanga ni klabu tajiri kuliko zote hapa nchini
Yaaah mapato yanaenda kwa timu
 
Kama Msimu uliopita Yanga ilikua haifanyi vizuri bado takwimu zilionyesha Yanga Ili ingiza mashabiki wengi uwanjani katika mechizake iyo aijalishi ni mechi za Simba na Yanga au Yanga na Azam, Kwaiyo msimu huu itakua zaidi kwakua Yanga inafanya vizuri.

Mambo ya Yanga kuingiza Mashabiki wengi viwanjani haija anza Leo Wala Jana ni tukio la miaka mingi tangu miaka ya 1960 uko.

Kama unahisi takwimu zinapikwa basi jaribu kuuliza Pale Zanzibar wao wanatakwimu nyingi za Mapinduzi cup, kule Mechi za Yanga Zina wastani wa kufunika Kwa wingi wa mashabiki kuliko timu yoyote inayo shiriki michuano iyo.
Kabisa mkuu....,..nadhani tafsiri ya neno WANANCHI inajulikana
 
Manara karudia Yale Yale ambayo alikuwa anafanya Nugaz, uwanja unajazwa na Mashabiki wa Simba alafu yeye anajipa pongezi Kwa kuhamasisha kujaza uwanja

Kwa hii miaka ya karibuni, game za derby zote haijarishi Simba ni mwenyeji au Yanga ni mwenyeji, bali mashabiki wa Simba watakuwa wengi tu na sijui Yanga waga kwanini hawajitokezi Kwa wingi kama kwenye siku ya wananchi

Imefkia hatua viongozi wa Yanga kama Senzo na muhamasishaji Manara wanapost picha za uongo ili kuaminisha watu kwamba mechi ya Juzi Yanga walikuwa wengi kuliko Simba, ni aibu kwa viongozi kujaribu kupotosha kwani kasumba ya Yanga kutoingia wengi kwenye derby haijaanza Leo

Senzo na Manara wanatumia picha za siku ya wananchi ya mwaka Jana kuaminisha watu kwamba walijaza uwanja kitu ambacho sio kweli, wao wajikite katika kuboresha team na washabiki watakuja Tu wenyewe kama ilipofkia Kwa mashabiki wa Simba

Simba hawajafanya promo yoyote ili mashabiki waende uwanjani hadi Bumbuli akalalamika kuwa Simba Wana roho mbaya hawataki kuipromo derby kwa sababu wanajua Yanga watapata pesa nyingi

na of course ni kweli Simba walikuwa wanajua Tu mashabiki wao ndio watajaza uwanja ata kama wao sio wenyejei na ndio kilichotokea, robo Tatu ya uwanja ilikuwa ni mashabiki wa simba, kwahiyo hii game kuongoza Kwa mapato sio ajabu maana huo ni mwendelezo wa kila msimu Kwa Yanga kunufaika na Mashabiki wa Simba

Kwahiyo kama Manara alikuaga anadhania mashabiki wa Simba wanajaa uwanjani Kwa ajili yake alikuwa anapotea, pamoja na kufanya tour kila Media ila alichoambulia ni number ile ile ya siku zote Kwa mashabiki wa Yanga, Kwa lugha rahisi zaidi ni kwamba katika swala la mashabiki kuingia uwanjani hajapunguza chochote kwa Simba na wala hajaongeza chochote kwa Yanga
View attachment 2208272
View attachment 2208273
Yanga ni fake kwa vitu vingi ,imagine timu inayotajwa kuchukua ubingwa mara 28 haijawahi hata kuingia nusu fainali Klabu bingwa Africa wakati aliyechukua mara 22 kafika huko na kafika Robo nyingi tu.
That means hata ubingwa wake mara nyingi haureflect ubora wake
 
Yanga ni fake kwa vitu vingi ,imagine timu inayotajwa kuchukua ubingwa mara 28 haijawahi hata kuingia nusu fainali Klabu bingwa Africa wakati aliyechukua mara 22 kafika huko na kafika Robo nyingi tu.
That means hata ubingwa wake mara nyingi haureflect ubora wake
Mkuu.... YANGA imefika huko miaka mingi Sana
JamiiForums1554182938.jpg
 
Kama tu moo amewapiga kitu kizto michango ya ujenz wa uwanja.......

Sisi ni Nani tusipende pesa
Kwa hiyo utopolo inakuwa kubwa inapocheza na Simba tu? Maana utopolo imecheza na Rivers utd hapo hapo kwa Mkapa na hatujaona takwimu ya mapato ikiwekwa wazi.
 
Nadhani hujaelewa mada inahusu nini mkuu, hatuongelei Yanga kuingiza mashabiki wengi Bali inaongelewa kuwa Yanga ameingiza mapato mengi katika Derby iliyopita

Na hakuna mtu anakataa hiyo, ni kweli ila shida inakuja kwenye Nani kaingiza mashabiki wengi katika huo mchezo husika?

Yanga ananufaika na uwepo wa mashabiki wengi uwanjani katika Derby ambayo yeye ni mwenyeji, mfano derby ya Juzi mashabiki wa Simba walikuwa robo Tatu ya uwanja na Mashabiki wa Yanga ikiwa robo iliyobakia

Sasa kwa takwimu hizi sidhani kama kuna haja ya kujisifia mmeingiza mapato mengi ilhali yametokana na uwepo wa mashabiki wengi wa team pinzani, na haya yote yanatokana na Manara kutaka kuaminisha watu kuwa game ya Juzi wao ndio walikuwa wengi na kuishia kupost picha za siku ya wananchi ya mwaka Jana

Kwahiyo kuhusu Yanga kuongoza kuingiza mashabiki wengi na get collection last season hiyo yote imetokana na Mashabiki wa Simba kuwa wengi kwenye derby, takwimu zinaonesha yanga iliizidi Simba mashabiki kama elf 3 hivi, ila katika michezo yote ya derby Simba ni wengi

Muanze kwenda Kwa wingi katika kariakoo Derby kuisapoti team yenu na sio kusubiri hadi viongozi wenu wapost picha za uongo Kwa aibu, haiwezekani wahamasishaji wawili wanapisha kwenye media kufanya promo alafu mashabiki wanaingia robo uwanjaView attachment 2208381
Swali ni , Je,viingilio vinafanana kwa mechi hizo?

Yaani mwenyeji akiwa Yanga na mwenyeji akiwa Simba viingilio vimefanana?
 
Kwa hiyo utopolo inakuwa kubwa inapocheza na Simba tu? Maana utopolo imecheza na Rivers utd hapo hapo kwa Mkapa na hatujaona takwimu ya mapato ikiwekwa wazi.
Mkuu Kwan wew unadhani rivers United ni timu kubwa?
 
Back
Top Bottom