Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Mechi moja makelele nchi nzima Simba kaingiza pesa ngapi kwa mechi za kimataifa?
Na Orlando......
FB_IMG_16514698345639214.jpg
 
Data za kupika za haji manara ila ajifurahishe nafsi yake ili aonekane yeye ni bora kuliko wengine ila manara kama ni kichaa basi ni ile stage ya mwisho kabisa.
Hapanaaaa mkuu......hizi sio za kupika coz TFF wangemfungia kutoa report za uongo
 
Data za kupika za haji manara ila ajifurahishe nafsi yake ili aonekane yeye ni bora kuliko wengine ila manara kama ni kichaa basi ni ile stage ya mwisho kabisa.
Hapanaaaa mkuu......hizi sio za kupika coz TFF wangemfungia kutoa report za uongo
 
Hoja yangu ni kwamba, inaongoza kwa mechi ngapi? Kumbuka hapo zimetajwa Yanga, Simba na Orlando tu, lakini ilikuwapo Jwaneng Galaxy, Red Arrows, Berkane, ASEC na USGN, pamoja na Rivers
It means hizo zilikuwa na mapato chini ya hayo yaliyotajwa
 
Wala sio uongo ni kweli aliongoza ila ni msimu uliopita Tu na sio kawaida yao, na aliongoza Kwa sababu ya mashabiki wa Simba kuingia wengi kwenye derby zote 2, Yani haijarishi Yanga ni mwenyeji au mgeni bali mashabiki wa Simba ndio huwa wengi

Sasa leo hii Manara anahusisha kuingia mashabiki wao wengi na wao kuingiza mapato mengi, Hadi anapost picha za siku ya wananchi mwaka Jana ili Tu aaminishe watu kwamba Yanga walikuwa wengi katika Derby ya Juzi kuliko Simba

Ukiangalia namba katika Derby ya Juzi ni almost robo 3 ya uwanja walikuwa ni mashabiki wa Simba ilhali Yanga ndio mwenyeji, alafu leo kiongozi kama Senzo anapost picha za mwanachi day ni aibu nayeye kufata mkumbo wa ndugu yetu Manara

inaonekana ata viongozi wa Yanga na wao wanapenda kuona mashabiki wa Yanga wawe wanaingia wengi kwenye derby ili ionekane tofauti na miaka ingine, ila ndo hivo tena sijui mashabiki wa Yanga waga wanaogopa nini kwenda wengi kwenye derby na ata kama wao ndio wapo kwenye form nzuri ila waga hawaendi wengi
Sisi ndiyo tunaujaza uwanja japo kuwa wasemaji hawapandi maroli kuhamasisha mashabiki
 
Mkuu...koo unabishana na takwimu
Tatizo lako waga unajitoa ufahamu linapokuja swala la Yanga, hakuna sehemu Mie nimekataa takwimu ni kweli kabisa inawezekana Yanga amevuta mpunga mrefu kwakuwa team mwenyeji ndio hupokea gate collection

Lakini katika takwimu za miaka mingi Tu katika kariakoo Derby mashabiki wa Simba ndio huingia wengi na Yanga kunufaika kupitia Hilo, ata last season wakat takwimu zinatoka Yanga wameongoza Kwa kupata mapato ni Kwa sababu hiyo Tu

Mie nachopinga ni Manara na Senzo kuwaaminisha watu kuwa mwenye derby ya Juzi eti mashabiki wa Yanga walikuwa wengi, na baadhi ya wajinga wanapostiwa picha za kwenye Tamasha la siku ya wananchi wakiaminishwa ilikuwa ni Juzi na wao wanakubali

Kitu mnachotakiwa kufanya ni kwenda uwanjani kusapoti team yenu kwenye derby na sio kuishia humu tu alafu Kwa mkapa hamuendi hadi viongozi wenu Wanaona aibu kupost picha original, maana kuzunguka kote kule Kwa Manara na Bumbulikwenye media kuipromo Derby hakujazaa matunda yoyote, mnakuja kuzidiwa idadi na team ambayo sio mwenyeji na wala haijazunguka kufanya promo
 
Sisi ndiyo tunaujaza uwanja japo kuwa wasemaji hawapandi maroli kuhamasisha mashabiki
Leta picha hapa inayoonesha nyie ndio mlijaza uwanja tuone...! Kwani nyie si mlikuwa kwenye club bingwa mkacheza na kina Rivers vipi na nyie mlivuna milioni ngapi nyie kama nyie?

Yanga anategemea mapato kutoka Kwa mashabiki wa Simba full stop, hutaki basi leta ushahidi hapa nyie ni wengi kuliko Simba kwenye derby, kama hujaleta picha za siku ya wananchi
 
Hapana mkuu....tajiri Ni GSM siyo YANGA
Kwani hayo mapato ya mlangoni si yanaenda klabuni Yanga? GSM yeye ni muuza jezi tu, auze anavyotaka lakini atuletee sh. 1,300/= kwa kila jezi anayouza. Bado nasisitiza, kwa mapato hayo ya mlangoni, Yanga ni klabu tajiri kuliko zote hapa nchini
 
Kama Msimu uliopita Yanga ilikua haifanyi vizuri bado takwimu zilionyesha Yanga Ili ingiza mashabiki wengi uwanjani katika mechizake iyo aijalishi ni mechi za Simba na Yanga au Yanga na Azam, Kwaiyo msimu huu itakua zaidi kwakua Yanga inafanya vizuri.

Mambo ya Yanga kuingiza Mashabiki wengi viwanjani haija anza Leo Wala Jana ni tukio la miaka mingi tangu miaka ya 1960 uko.

Kama unahisi takwimu zinapikwa basi jaribu kuuliza Pale Zanzibar wao wanatakwimu nyingi za Mapinduzi cup, kule Mechi za Yanga Zina wastani wa kufunika Kwa wingi wa mashabiki kuliko timu yoyote inayo shiriki michuano iyo.
 
Back
Top Bottom