Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,074
23,360
Hapa ndipo inapojulikana tofauti Kati ya timu ya WANANCHI na timu ndogo ndogo ( vikundi vya wahuni).

Derby ya YANGA vs SIMBA ambayo mwenyeji wake alikuwa Ni MWANANCHI imefanikiwa kuingiza pesa ndefu kuliko mechi zote msimu wa 2021/2022 hata zile za MAKOLO walizocheza kule mjini CAF mechi ya yanga vs makolo imeingiza 320million

Zifuatazo Ni takwimu za mapato

Dec 11, 2021.....ligi kuu
Simba 0 vs yanga 0 ____Tsh.257m


April 17, 2022 shirikisho
Simba 1___orlando 0 ____Tsh. 197m


April 30, 2022
Yanga 0___0simba ___Tsh 320m

Source: haji s manara

Kitaalamu tunaitaje hii?


FB_IMG_16514698345639214.jpg
 
Manara karudia Yale Yale ambayo alikuwa anafanya Nugaz, uwanja unajazwa na Mashabiki wa Simba alafu yeye anajipa pongezi Kwa kuhamasisha kujaza uwanja

Kwa hii miaka ya karibuni, game za derby zote haijarishi Simba ni mwenyeji au Yanga ni mwenyeji, bali mashabiki wa Simba watakuwa wengi tu na sijui Yanga waga kwanini hawajitokezi Kwa wingi kama kwenye siku ya wananchi

Imefkia hatua viongozi wa Yanga kama Senzo na muhamasishaji Manara wanapost picha za uongo ili kuaminisha watu kwamba mechi ya Juzi Yanga walikuwa wengi kuliko Simba, ni aibu kwa viongozi kujaribu kupotosha kwani kasumba ya Yanga kutoingia wengi kwenye derby haijaanza Leo

Senzo na Manara wanatumia picha za siku ya wananchi ya mwaka Jana kuaminisha watu kwamba walijaza uwanja kitu ambacho sio kweli, wao wajikite katika kuboresha team na washabiki watakuja Tu wenyewe kama ilipofkia Kwa mashabiki wa Simba

Simba hawajafanya promo yoyote ili mashabiki waende uwanjani hadi Bumbuli akalalamika kuwa Simba Wana roho mbaya hawataki kuipromo derby kwa sababu wanajua Yanga watapata pesa nyingi

na of course ni kweli Simba walikuwa wanajua Tu mashabiki wao ndio watajaza uwanja ata kama wao sio wenyejei na ndio kilichotokea, robo Tatu ya uwanja ilikuwa ni mashabiki wa simba, kwahiyo hii game kuongoza Kwa mapato sio ajabu maana huo ni mwendelezo wa kila msimu Kwa Yanga kunufaika na Mashabiki wa Simba

Kwahiyo kama Manara alikuaga anadhania mashabiki wa Simba wanajaa uwanjani Kwa ajili yake alikuwa anapotea, pamoja na kufanya tour kila Media ila alichoambulia ni number ile ile ya siku zote Kwa mashabiki wa Yanga, Kwa lugha rahisi zaidi ni kwamba katika swala la mashabiki kuingia uwanjani hajapunguza chochote kwa Simba na wala hajaongeza chochote kwa Yanga

Screenshot_2022-05-02-09-35-25-654_com.instagram.android.jpg


Screenshot_2022-05-02-09-35-25-654_com.instagram.android.jpg
 
Hapa ndipo inapojulikana tofauti Kati ya timu ya WANANCHI na timu ndogo ndogo ( vikundi vya wahuni).

Derby ya YANGA vs SIMBA ambayo mwenyeji wake alikuwa Ni MWANANCHI imefanikiwa kuingiza pesa ndefu kuliko mechi zote msimu wa 2021/2022 hata zile za MAKOLO walizocheza kule mjini ...
Katika hizo mechi tatu, Simba imeingiza (257 + 197)=454M, huku Yanga ikiingiza sh. 320M. Kwa hiyo Simba imeingiza mapato mengi, na ni kwa sababu Yanga haiwezi kufikia level za kucheza na Orlando Pirates
😂
 
Katika hizo mechi tatu, Simba imeingiza (257 + 197)=454M, huku Yanga ikiingiza sh. 320M. Kwa hiyo Simba imeingiza mapato mengi, na ni kwa sababu Yanga haiwezi kufikia level za kucheza na Orlando Pirates
😂
Kawaida Yanga uwa inaongoza,hata ripoti ya tff ya mapato kwa msimu uliopita pamoja na Yanga kutofanya vizuri lakini iliongoza kimapato
 
Manara karudia Yale Yale ambayo alikuwa anafanya Nugaz, uwanja unajazwa na Mashabiki wa Simba alafu yeye anajipa pongezi Kwa kuhamasisha kujaza uwanja

Kwa hii miaka ya karibuni, game za derby zote haijarishi Simba ni mwenyeji au Yanga ni mwenyeji, bali mashabiki wa Simba watakuwa wengi tu na sijui Yanga waga kwanini hawajitokezi Kwa wingi kama kwenye siku ya wananchi

Imefkia hatua viongozi wa Yanga kama Senzo na muhamasishaji Manara wanapost picha za uongo ili kuaminisha watu kwamba mechi ya Juzi Yanga walikuwa wengi kuliko Simba, ni aibu kwa viongozi kujaribu kupotosha kwani kasumba ya Yanga kutoingia wengi kwenye derby haijaanza Leo

Senzo na Manara wanatumia picha za siku ya wananchi ya mwaka Jana kuaminisha watu kwamba walijaza uwanja kitu ambacho sio kweli, wao wajikite katika kuboresha team na washabiki watakuja Tu wenyewe kama ilipofkia Kwa mashabiki wa Simba

Simba hawajafanya promo yoyote ili mashabiki waende uwanjani hadi Bumbuli akalalamika kuwa Simba Wana roho mbaya hawataki kuipromo derby kwa sababu wanajua Yanga watapata pesa nyingi

na of course ni kweli Simba walikuwa wanajua Tu mashabiki wao ndio watajaza uwanja ata kama wao sio wenyejei na ndio kilichotokea, robo Tatu ya uwanja ilikuwa ni mashabiki wa simba, kwahiyo hii game kuongoza Kwa mapato sio ajabu maana huo ni mwendelezo wa kila msimu Kwa Yanga kunufaika na Mashabiki wa Simba

Kwahiyo kama Manara alikuaga anadhania mashabiki wa Simba wanajaa uwanjani Kwa ajili yake alikuwa anapotea, pamoja na kufanya tour kila Media ila alichoambulia ni number ile ile ya siku zote Kwa mashabiki wa Yanga, Kwa lugha rahisi zaidi ni kwamba katika swala la mashabiki kuingia uwanjani hajapunguza chochote kwa Simba na wala hajaongeza chochote kwa Yanga
View attachment 2208272
View attachment 2208273
Mkuu...koo unabishana na takwimu
 
Kawaida Yanga uwa inaongoza,hata ripoti ya tff ya mapato kwa msimu uliopita pamoja na Yanga kutofanya vizuri lakini iliongoza kimapato
Hoja yangu ni kwamba, inaongoza kwa mechi ngapi? Kumbuka hapo zimetajwa Yanga, Simba na Orlando tu, lakini ilikuwapo Jwaneng Galaxy, Red Arrows, Berkane, ASEC na USGN, pamoja na Rivers
 
Katika hizo mechi tatu, Simba imeingiza (257 + 197)=454M, huku Yanga ikiingiza sh. 320M. Kwa hiyo Simba imeingiza mapato mengi, na ni kwa sababu Yanga haiwezi kufikia level za kucheza na Orlando Pirates
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fcdn.jsdelivr.net%2Fjoypixels%2Fassets%2F6.6%2Fpng%2Funicode%2F64%2F1f602.png&hash=4f61132a7fe6690478df1d09544010f4" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> <img src=" title="" width="" height="" />
Sasa huoni kuwa YANGA ndo baba lao
Mechi mbili kubwa za Simba =454m

Mechi moja kubwa yanga = 320m
 
Kawaida Yanga uwa inaongoza,hata ripoti ya tff ya mapato kwa msimu uliopita pamoja na Yanga kutofanya vizuri lakini iliongoza kimapato
Wala sio uongo ni kweli aliongoza ila ni msimu uliopita Tu na sio kawaida yao, na aliongoza Kwa sababu ya mashabiki wa Simba kuingia wengi kwenye derby zote 2, Yani haijarishi Yanga ni mwenyeji au mgeni bali mashabiki wa Simba ndio huwa wengi

Sasa leo hii Manara anahusisha kuingia mashabiki wao wengi na wao kuingiza mapato mengi, Hadi anapost picha za siku ya wananchi mwaka Jana ili Tu aaminishe watu kwamba Yanga walikuwa wengi katika Derby ya Juzi kuliko Simba

Ukiangalia namba katika Derby ya Juzi ni almost robo 3 ya uwanja walikuwa ni mashabiki wa Simba ilhali Yanga ndio mwenyeji, alafu leo kiongozi kama Senzo anapost picha za mwanachi day ni aibu nayeye kufata mkumbo wa ndugu yetu Manara

inaonekana ata viongozi wa Yanga na wao wanapenda kuona mashabiki wa Yanga wawe wanaingia wengi kwenye derby ili ionekane tofauti na miaka ingine, ila ndo hivo tena sijui mashabiki wa Yanga waga wanaogopa nini kwenda wengi kwenye derby na ata kama wao ndio wapo kwenye form nzuri ila waga hawaendi wengi
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom