hamuwezi mkawa serious kiasi hicho,kwahiyo kisa mmefunga basi mnataka kumalizia siku yote uwanjani daah tz yangu bwana raha sanawakiwa katika mistari tayari
AminaLeo mungu asaidie Yanga ishinde
ivyoAmina
Sawa,wao wanaombea ya kwao sisi tunaombea ya kwetu,Yanga mbele daima .hata na wao wanaomba hivyo h
ivyo
na Mungu ni mmoja tu ukumbukeSawa,wao wanaombea ya kwao sisi tunaombea ya kwetu,Yanga mbele daima .
Hiyo foleni haihusiani na mechi.. kuna malori yameharibika hapo msikitini ikapelekea foleni pande zoteKutoka Mbagara kwenda mjini kunafoleni sana watu wanatembea kwa miguu sijui uko mbele ya mataa ya karibu na chuo cha uhasibu kuna nini au ndo watu washaanza kwenda uwanjani?
Mbona kiherehere wewe,subirini na nyie timu yenu mshiriki mashindano ya kimataifa ili mpate kuiombea, timu ambayo hamna hat uhakika itashiriki lini,sasa hivi ni zamu ya yanga .na Mungu ni mmoja tu ukumbuke