Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Ndugu zangu wanasimba tuache ubwege...badala ya kutumia kipindi hiki kuijenga Team yetu tunahangaika na Yanga hili litatusaidia nini? Tazama Yanga bado ipo sana kimataifa wana mechi nne bado tutaendelea kuwaona na wataendelea kutuumiza sana kwani hata wakimaliza mechi hizo tyr ni mabingwa mwakani tena wanashiriki kimataifa..hivi tutaendelea kuhangaika na Yanga mpaka lini??Inaniuma sana...Yanga wataendelea kutukashifu sana tu...mpaka sasa hatuna kocha na hatuna wachezaji wa maana halafu tunahangaika kuibeza Yanga...sasa mwakani tunashuka daraja sijui tutahamia rasmi kushangilia Yanga?Inauma sana.Hivi aliyeturoga kafa??
 
Yanga 3. T p Mazembe 1. Nina uhakika wa 100% yanga lazima ashinde. T.P. Mazembe baadhi ya wachezaji nimeongea nao wana mgomo baridi hawajalipwa mishahara baada ya bosi wao Katumbi kupata matatizo ya kisiasa Congo . hawana ari kabisa
Safi sana!sasa wamekwishalipwa?
 
Yanga wanasubiri kwenda kucheza show la uhakika mjini lubumbashi baada ya kufanikiwa kulegeza kiuno hapa nyumbani
 
Ndugu zangu wanasimba tuache ubwege...badala ya kutumia kipindi hiki kuijenga Team yetu tunahangaika na Yanga hili litatusaidia nini? Tazama Yanga bado ipo sana kimataifa wana mechi nne bado tutaendelea kuwaona na wataendelea kutuumiza sana kwani hata wakimaliza mechi hizo tyr ni mabingwa mwakani tena wanashiriki kimataifa..hivi tutaendelea kuhangaika na Yanga mpaka lini??Inaniuma sana...Yanga wataendelea kutukashifu sana tu...mpaka sasa hatuna kocha na hatuna wachezaji wa maana halafu tunahangaika kuibeza Yanga...sasa mwakani tunashuka daraja sijui tutahamia rasmi kushangilia Yanga?Inauma sana.Hivi aliyeturoga kafa??
Sasa zamu yetu haya maneno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom