GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Musonye anafanya mambo kiswahili sana. na inaonekana wazi jinsi ambavyo mara nyingi amekuwa akifanya mashindano haya kibiashara zaidi kuliko kimichezo. na hili jambo limekuwa likigharimu soka letu na centre africa kwa kiasi kikubwa sana. mara kadhaa kuna timu zimekuwa zikilazimishwa zifike fainali hata kama kiwango chao kidogo ili kuleta mapato makubwa katika mechi hizo.
sasa hili la kuzipanga simba na yanga kwenye kundi moja ili kulazimisha zikutane ni la kipuuzi. inakuaje kundi moja liwe na teamu mbili toka nchi moja wakati kulikuwa na uwezekano wa kuzigawa ili kuleta ushindani zaidi? nini kinampa mawazo kuwa team flan ikiwekwa kundi flani inawezekana isije kutana na kundi flani?
ni mawazo ya kipuuzi na tufikie wakati tuyakatae. mimi nashauri mechi ya simba na yanga mashabiki tuigomee wala tusiende uwanjani ili lengo lake musonya lisitimie. asitufanye sisi wapuuzi.na hii inajenga dhana mbaya kuwa mpira ni simba na yanga tu.. badala ya kuangalia namna gan ya kuhamasisha watu wapende kwenda uwanjani yeye anazidi kuendeleza dhana potofu kuhusiana na mechi ya team zetu.
sasa hili la kuzipanga simba na yanga kwenye kundi moja ili kulazimisha zikutane ni la kipuuzi. inakuaje kundi moja liwe na teamu mbili toka nchi moja wakati kulikuwa na uwezekano wa kuzigawa ili kuleta ushindani zaidi? nini kinampa mawazo kuwa team flan ikiwekwa kundi flani inawezekana isije kutana na kundi flani?
ni mawazo ya kipuuzi na tufikie wakati tuyakatae. mimi nashauri mechi ya simba na yanga mashabiki tuigomee wala tusiende uwanjani ili lengo lake musonya lisitimie. asitufanye sisi wapuuzi.na hii inajenga dhana mbaya kuwa mpira ni simba na yanga tu.. badala ya kuangalia namna gan ya kuhamasisha watu wapende kwenda uwanjani yeye anazidi kuendeleza dhana potofu kuhusiana na mechi ya team zetu.