Siyo kweliSiyo ugonjwa ni Wachezaji wetu hawajalipwa posho zao wanatishia kugoma
Kwani ni shilingi ngapi nitoe niwalipe ili mechi ichezwe? Ila isizidi milioni 50.Siyo ugonjwa ni Wachezaji wetu hawajalipwa posho zao wanatishia kugoma
Haka kaugonjwa kamekolea kweli kweli... Wizara ya Afya itoe tamko sasa.
Huyu jamaa si ndio Nape Nnauye alisema ni mzigo?
Hahahaaaa.......umenikumbusha msikitini Njombe!
Ha ha haHaka kaugonjwa kamekolea kweli kweli... Wizara ya Afya itoe tamko sasa.
Hahahaaaa.......umenikumbusha msikitini Njombe!
Fanya kazi wewe acha porojoKwani ni shilingi ngapi nitoe niwalipe ili mechi ichezwe? Ila isizidi milioni 50.
Hahahaha 😆Fanya kazi wewe acha porojo
Huyu ni Mzee au ni kijana?