Mecca ndio mji bora duniani

Huoni fahari kutumia lugha moja mumwomba Mungu? Leo Quran ichomwe moto yote waislam wataiandika maana lugha ni moja na kila mwislam ana aya kichwani.
Lakini leo biblia icbomwe moto leo hote hamtaweza kuiandika. Kwanza uwezo wa kukariri aya zote kichwani hamna!
 
Kumbe mnatumia lugha moja kusudi mpate ufahari

Hiyo sio Dini ya Mungu

Hiyo Ni Dini ya kuungaunga
 
Kumbe mnatumia lugha moja kusudi mpate ufahari

Hiyo sio Dini ya Mungu

Hiyo Ni Dini ya kuungaunga
Dini ya kuungaunga ni ukristo. Mara roho mtakatifu.....mara Mungu mwana......
Yaani waungu watatu wanaungwaungwa ili kupata Mungu mmoja. Hahahahahaaaaaa...!
 
Allah hajui lugha zingine
Yeye hupenda lugha moja
Lugha ya Quran

Hapo ndipo nauona uislam una Shaka ndani yake

Hii Ni Dini ya kuunga
 
Mji bora kivipi? Mtoa mada umeshatembelea miji mingapi? Zurich, frankfurt, GENIVA Tokyo yote hiyo mecca ndio.boraa mmmh acha kutupiga kamba
 
Safi
 

kuna nani asiejua Maamrisho 10 ya Mwenyezi? hadi uanze kukariri qaraa
 
Mji bora kivipi? Mtoa mada umeshatembelea miji mingapi? Zurich, frankfurt, GENIVA Tokyo yote hiyo mecca ndio.boraa mmmh acha kutupiga kamba
Acha ubishi mkuu
 
Ni mawazo yako yaliyobebwa na kapu bovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…