Me and my story, the love life

uko desperate tayari, ni vigumu sana "kupata mwanauma". Ukiwa desperate ni rahisi kwenda na mwanaume yeyote na kuishia kuangukia wrong choice mwisho wa siku unawachukia. Inawezekana tatizo sio wanaume isipokuwa wewe. Kibaya zaidi ni kwamba, unavyozidi kusample ndio unavyopunguza probability ya kupata right choice; kila anayekuja anajua umeshatumika sana, anakuogopa, anakutumia akichoka naye anakuacha.

Mume mwema hutoka kwa Mungu, kama kakuandikia atakuja tu, tulia subiri.

Halafu kama haijatokea kuwa na mwanaume umtakaye, ni afadhali uishi mwenyewe. Inakera kumpenda asiyekupenda au kupendwa na usiyempenda.


Freema Agyeman, asante ndugu kwa ushauiri, yawezekana kweli nina mapungufu yangu bali yaelekea haujanifahamu. Kuhama mji ni kwasababu sio niko desparate ya mume bali ni kuwa nimeloose interest na wanaume wa hapa mjini, nasema nikibalisha mazingira naweza regain the interest back.
 
Last edited by a moderator:
Pole, ila bado uko ndotoni ukiamka uniPM.

Ishi uhalisia, na si matamanio.

Hata kama una matamanio jaribu kuyafanya yatokee, unaweka embe zako chumbani wanunuzi watoke wapi?

Unauza embe bei kubwa labda, zitakudodea shosti.

Ukiona vipi, review vission yako naona kwa sasa imejikita kwenye kuolewa.

Kongosho

Kuolewa ni matukio sijalazimisha maana kama ni hivyo ningebeba hao jamaa ninaoona hatulingani just for the sake of marriage.

Lakini nimependa ushauri wako
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ila jaribu kuchukua notebook uandike wote ambao wamewahi kukupiga kibuti alafu kila jina COMMENT ni nini kilikusababisha uachane nae hiyo itakusaidia kujiSCAN mwenyewe ujue ni sababu ukilipata litafutie sulushen kama linawezekana maana kwa ufahamu wng mdogo ni kuwa mwanamke mwenye kazi kwa hapa bongo yupo marketable sana hasa kupata mume wa kudumu.Inawezekana ukafikilia kuama nchi kwenda kutafuta bwana wa kutulia nae huku kitu au tabia kinachowafanya waage hujakitatua itakuwa kama mtu aliyekuwa anateka maji kwa kutumia pakacha akalitupa ili atumie tenga.Wa pwani wataelewa nin nazungumzia.

Billie, nimekusoma yawezekana nikawa ninamapungufu yangu, lakini kwa sasa all I want is to be regain my love interest.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Sophie_scated, siwezi kusema naelewa by experience what you are going through kwa sababu mimi ni wa ndani ya ndoa ila naweza sema I understand. Na Ntakupa ushauri kwa angle mbili na nataka utambue kuwa I'm not in any way judging you, I'm just putting out the facts;
1) SPIRITUALY : Wewe ni mtoto wa nje ya ndoa. Na kama unavyotambua its is wrong(a sin) mtu kutoka nje ya ndoa yake, na wewe ulikuwa ni tunda la hiyo dhambi. Dhambi pia ni hereditary (Refer Exodus 20: 5 ...punishing the children for the sin of the parents..). Na ndio maana katika story yako umesema wanaume wanataka kukufanya uwe nyumba ndogo.
Nenda ukafanyiwe maombi ya delivarence from that sin dada yangu na baada ya hapo mambo yako yatakuwa mazuri sana tu...

2) PSYCHOLOGICALY : Hizo mbio za kutafuta wenzi wa maisha ni challenge kwetu sote(wote tume/tuna/tutapitia huko)... Stop chasing kama wadau walivyokushauri...tulia, muombe Mungu wako na utampata mwanaume atakayekuthamini mpaka uone ni kwa jinsi gani ungemiss mambo mazuri kama ungehama mji.

I really wish you will overcome this my dada, usinisahau kwa kadi ya mwaliko wa harusi, naandaa mchango wako. All the best!
 
Last edited by a moderator:
FA pole kwa unayopitia, naomba nikupe ushauri ambao nafikiri ukichanganya na wa wenzangu utakusaidia.

kwanza kabisa unazohisia mbaya juu ya maisha yenu ya kulelewa kama small house. na hili linakufanya uone kama wanaume wa hapo mjini wanakuoneni wa ajabu but ukweli ni kwamba siyo hivyo kabisa. Kumbuka wewe hukuchagua kuzaliwa hivyo ni nature tu so usijilaumu wala kuona kama una mkosi.

pili wanaume wote ni kama wamezaliwa na baba mmoja na mama mmoja so huwez ukaenda popote pale ukamkuta mwanaume malaika. wote huwa wanakosea kama vile ambavyo wewe unakosea. usitake wawe malaika bwana. kwa umri wako nikiassume ulianza mambo ya ngono ukiwa na 25 yrs sidhani kama kweli u were serious hakutokea wa kumake life na wewe. tatizo hapa ni kwamba walitokea but hukuwajua na ulilenga zaid kuona makosa kuliko maongeo yao.

ushauri wangu kwako ni jikubali jinsi ulivyo, na hali mliyolelewa usitake miujiza wakati hakauna unaoweza kubadili ukweli. halafu ona hata mwaume naye ni binadamu usiweke matarajio ambayo katika maisha ya kawaida binadamu hawez kufikia. Kisha mwombe sana Mungu kwani ndiye ajuaye mwenzi wako yuko wapi.
 
sweetie tunaoana lini tulia kwanza na usiharakie sana kumvulia mwanaume chupi kwa kigezo kwamba ndio atakuoa hapana peaneni muda na kama kweli anakupenda atakusubiria tu.

Ila kumbuka pia kuolewa sio kwamba ndio itakuwa mwisho wa matatizo hapana this life is full of challenge mpaka cku unakufa
 
pole mamito ,ila ucjali Mungu ni mwema atakujalia tu utapata wa kwako, na ukiwa kwny mahusianao usianze mapema kuuliza jamani sweetie tunaoana lini tulia kwanza na usiharakie sana kumvulia mwanaume chupi kwa kigezo kwamba ndio atakuoa hapana peaneni muda na kama kweli anakupenda atakusubiria tu.

Ila kumbuka pia kuolewa sio kwamba ndio itakuwa mwisho wa matatizo hapana this life is full of challenge mpaka cku unakufa
 
gfsonwin ushauri wako nimeupenda naona umenifahamu zaidi, hii nazungumzia upande wa kisaikolojia. Inawezekana labda ni chuki nimeiweka toka utotoni ya kutokuwa na wazazi wote wawili pamoja. Jengine ni upange wa kuangalia makosa zaidi, nitalifanyia kazi.
 
Last edited by a moderator:
sweetie tunaoana lini tulia kwanza na usiharakie sana kumvulia mwanaume chupi kwa kigezo kwamba ndio atakuoa hapana peaneni muda na kama kweli anakupenda atakusubiria tu.

Ila kumbuka pia kuolewa sio kwamba ndio itakuwa mwisho wa matatizo hapana this life is full of challenge mpaka cku unakufa


Sina papara ya kuolewa maana ningekwisha jibebea zamani, hapa natafuta mapenzi katika mtazamo tofauti ndio maana yameniponza na kuona kila kitu sicho
 
gfsonwin ushauri wako nimeupenda naona umenifahamu zaidi, hii nazungumzia upande wa kisaikolojia. Inawezekana labda ni chuki nimeiweka toka utotoni ya kutokuwa na wazazi wote wawili pamoja. Jengine ni upange wa kuangalia makosa zaidi, nitalifanyia kazi.

Ni bora kama umeliona hilo, hivyo usilikwe moyoni kabisa. anza sasa and you will see the difference. pia umejifunza kuwa your life affects your kids psychology .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom