Sophie_scated
Member
- Mar 20, 2012
- 7
- 3
Heshima kwenu wandugu, nimekuja na maada inanihusu mimi nitajaribu kuifafanua ili mpata uelewa zaidi na muweze kunipa ushauri wenu, najua wapo watako kebehi lakini mungu anajua nini nia yangu.
Mimi ni msichana naenda in my 30s, makuaji yangu yamekuwa ya simanzi somehow maana baba tulikuwa tunamwona part time, nikisema hivyo nikuwa ilikuwa ni nyumba ndogo licha ya hivyo lakini alijitahidi sana kwenye upande wa malezi yetu mimi na ndugu zangu na alijitahidi kutupa elimu ya kutosha na kuweza kutufungulia mlango mzuri wa maisha. Nikiwa bado nakua ndoto yangu ni kuwa na family bora na maisha bora not as much as I had
Nimebahatika kupata kazi nzuri na nafanya idara fulani hapa nchini na kipato changu naweza kusema kinaweza kukidhi mahitaji yangu ya kila siku. Tatizo linakuja ni kuhusu my love life, sometimes I think Im cursed, I could say I havent got the man who value me or see me or I see him as soul mate. Ninahakika I am wife material lakini sijui kitu gani ninachopongukiwa. Wale ninaowataka/wapenda na ningetamani wawe wangu, hawaonyeshi mapenzi kihivyo kwangu na niliowahi kuwa nao naona theyre here for something else than what I want . Na wale ambao sina mpango nao ndio huwa wananishobokea, fahamu kuwa kundi hili ni wale waume za watu zile njemba simply we dont just click for different reason. Kwa maana hiyo walionipiga chini ni wengi sana all I can say WANAUME WAMENIUMIZA sana moyo wangu, nimelia mpaka sasa nami nimekuwa jasiri, no more crying. Nikishaamuona au nikihisi zile dalili namimi napiga chini, bora nusu shari kuliko shari kamili. Kitu ambacho nimejifunza na kuapply ITS ALL FAIR IN LOVE AND WAR!!
Sasa nimekuja na sera mpya, nishakata tama na wanaume wa hapa mujini, wakweli wachache waliobaki sijui ni category gani, nafikiria kuhama mji naona kuzidi kuishi kunazidi kuweka negativity ya waume, ukianzia malezi ya kuwa na baba parttime maybe if I change environment and surroundings will bring back my love interest or atleast will look a man differently. Maana upweke unanimaliza, I need to start chapter mpya, umri unayoyoma sitaki 15 years later to come nijilaumu why I didnt try. I want to be love and love in return.
Tatizo ni kuwa huko ninakoenda sijui nitafanikiwa na huku ninakotoka nisije nikaharibu kabisa maana nishaanza kujizatiti kikazi.
Naomba ushauri nini nifanye
Mimi ni msichana naenda in my 30s, makuaji yangu yamekuwa ya simanzi somehow maana baba tulikuwa tunamwona part time, nikisema hivyo nikuwa ilikuwa ni nyumba ndogo licha ya hivyo lakini alijitahidi sana kwenye upande wa malezi yetu mimi na ndugu zangu na alijitahidi kutupa elimu ya kutosha na kuweza kutufungulia mlango mzuri wa maisha. Nikiwa bado nakua ndoto yangu ni kuwa na family bora na maisha bora not as much as I had
Nimebahatika kupata kazi nzuri na nafanya idara fulani hapa nchini na kipato changu naweza kusema kinaweza kukidhi mahitaji yangu ya kila siku. Tatizo linakuja ni kuhusu my love life, sometimes I think Im cursed, I could say I havent got the man who value me or see me or I see him as soul mate. Ninahakika I am wife material lakini sijui kitu gani ninachopongukiwa. Wale ninaowataka/wapenda na ningetamani wawe wangu, hawaonyeshi mapenzi kihivyo kwangu na niliowahi kuwa nao naona theyre here for something else than what I want . Na wale ambao sina mpango nao ndio huwa wananishobokea, fahamu kuwa kundi hili ni wale waume za watu zile njemba simply we dont just click for different reason. Kwa maana hiyo walionipiga chini ni wengi sana all I can say WANAUME WAMENIUMIZA sana moyo wangu, nimelia mpaka sasa nami nimekuwa jasiri, no more crying. Nikishaamuona au nikihisi zile dalili namimi napiga chini, bora nusu shari kuliko shari kamili. Kitu ambacho nimejifunza na kuapply ITS ALL FAIR IN LOVE AND WAR!!
Sasa nimekuja na sera mpya, nishakata tama na wanaume wa hapa mujini, wakweli wachache waliobaki sijui ni category gani, nafikiria kuhama mji naona kuzidi kuishi kunazidi kuweka negativity ya waume, ukianzia malezi ya kuwa na baba parttime maybe if I change environment and surroundings will bring back my love interest or atleast will look a man differently. Maana upweke unanimaliza, I need to start chapter mpya, umri unayoyoma sitaki 15 years later to come nijilaumu why I didnt try. I want to be love and love in return.
Tatizo ni kuwa huko ninakoenda sijui nitafanikiwa na huku ninakotoka nisije nikaharibu kabisa maana nishaanza kujizatiti kikazi.
Naomba ushauri nini nifanye