Mdude CHADEMA umejitakia mwenyewe

Mdude CHADEMA umejitakia mwenyewe

Kwa mfano tuseme kweli kategwa kama alivyosema mababe wa twitter.

Hivi unawezaje kushitukia mchezo kama binti anatokea jimboni kwa mbunge wa CHADEMA, jimbo linalo dhaniwa hicho chama kina nguvu sana kuliko mahali popote duniani?

Mrembo anaigiza CHADEMA in blood, na anajitambulisha ni wa makabila yale ambayo CHADEMA iko damuni, huku akirusha mapicha au twitt kibao za kichadema?

Anakusifia kwa ujasriri wako wa ajabu kuongea lolote dhidi ya dola na mwenye kushika dola.

Anakupa pole na kukuonesha nia ya kukupunguzia machungu ya kutenguliwa nyonga ama 'center bolt' kama alivyo wahi kuiita mdudde mwenyewe. Kisha anakurushia muamla 1M na kitu tarehe hizi ngumu kiuchumi.

Ukimcheki mtoto mwenyewe pengine kwa mtazamo wako (sio wangu) mzuri balaa anakuahidi kuja kukutunuku tufaa(apple) lililomponza adamu.

Tuwe wakweli jamani hivi nani kati yetu angechomoka huo mtego hasa sisi wenye kipato cha kawaida kama mdude?
Tuache kumdhihaki mdude, tuache unafiki tuwe wakweli na tuseme kamanda imemkuta ajali kazini kama nzi kufia kwenye kidonda.

Zingatia elimu na umri wa Mdude kabla huja mhukumu au kumdharau kunasa kijinga hata kwa yale aliyokuwa anatuma mitandaoni bila tahadhari au kufanya yale yaliyo pelekea kuingia mikononi mwa vyombo vya sheria.
Dah!..hiyo ni ajali kazini
 
Hakuna kesi hapo yaani tayari imekua spoiled itabaki ya kisiasa tuu. Atapigwa faini ambayo italipwa na wafuasi. Btw serikali imeshindwa kuleta maendeleo hata sukari imewekeza kwenye ujinga.
 
Chadema kidume. Budget ya kupambana na chadema ninkubwa kuliko budget ya wizara ya viwanda
 
Kwa mfano tuseme kweli kategwa kama alivyosema mababe wa twitter.

Hivi unawezaje kushitukia mchezo kama binti anatokea jimboni kwa mbunge wa CHADEMA, jimbo linalo dhaniwa hicho chama kina nguvu sana kuliko mahali popote duniani?

Mrembo anaigiza CHADEMA in blood, na anajitambulisha ni wa makabila yale ambayo CHADEMA iko damuni, huku akirusha mapicha au twitt kibao za kichadema?

Anakusifia kwa ujasriri wako wa ajabu kuongea lolote dhidi ya dola na mwenye kushika dola.

Anakupa pole na kukuonesha nia ya kukupunguzia machungu ya kutenguliwa nyonga ama 'center bolt' kama alivyo wahi kuiita mdudde mwenyewe. Kisha anakurushia muamla 1M na kitu tarehe hizi ngumu kiuchumi.

Ukimcheki mtoto mwenyewe pengine kwa mtazamo wako (sio wangu) mzuri balaa anakuahidi kuja kukutunuku tufaa(apple) lililomponza adamu.

Tuwe wakweli jamani hivi nani kati yetu angechomoka huo mtego hasa sisi wenye kipato cha kawaida kama mdude?
Tuache kumdhihaki mdude, tuache unafiki tuwe wakweli na tuseme kamanda imemkuta ajali kazini kama nzi kufia kwenye kidonda.

Zingatia elimu na umri wa Mdude kabla huja mhukumu au kumdharau kunasa kijinga hata kwa yale aliyokuwa anatuma mitandaoni bila tahadhari au kufanya yale yaliyo pelekea kuingia mikononi mwa vyombo vya sheria.
Hivi we na akili na shughuli zako za uant govt unakutanaje na mtu kienyeji na kuruhusu miamala kama hiyo kwenye simu yako.?

Hujui ni hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtamsafisha kwa kila sabuni Ila haitafuta kuwa kakamatwa na madawa ya kulevya tunasubiri tu taarifa rasmi huu msukule ni Teja au Ni pusher+ kifungo Chake

Sent using Jamii Forums mobile app

Na nyinyi muache ushamba! Mnatumia mbinu za kizamani na kitoto sana kuwanyamazisha wale wanao wakosoa. Badala ya kuwatumia wakosoaji wenu kama kioo/vioo vya kujisahihisha, nyinyi mko busy kuwaua, kuwatisha, kuwabambikia kesi, nk

Mnataka kusifiwa tu muda wote hata katika mambo ya hovyo hovyo! Who are you? Mungu mwenyewe tu anakosolewa na kulaumimiwa! Nyinyi mmekuwa zaidi ya Mungu! Au ndiyo ule ushamba na ulimbukeni wa madaraka aliousema Zitto, au ni ile dhana ya udikteta uchwara aliougundua Tundu Lissu?
 
Mm hata ningekajua njama zake halafu kajilengeshe kwangu na kuniambia nichague kuchomoa na kuendelea na uharakati au magereza na kula mzigo wiki mbili nongechagua kumla nikafungwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chikwuemeka,

Sio kweli kuwa huyo binti nfiye alimuwekea madawa mdude issue Ni hivi mdude alikuwa akifanya biashara ya madawa ya kulevya unamtumia pesa kwanza Halafu unaambiwa njoo uchukue mzigo binti wa watu akatuma pesa akaufuata mzigo kumbe polisi walikuwa wakimfuatilia mdude kwa muda mrefu akanaswa binti alikuwa Bado hajafika kuchukua mzigo akauuze Arusha
 
This is beyond ignorance! Siku ukijua umuhimu wa North Korea in bring world civilization utaacha huo mtazamo wa kijinga.
 
Nadhani hakuwa anajua anachokifanya,hakujua maana ya mwanaharakati na misingi yake.......
Tatizo kupenda sana likes za mitandaoni na kujiona mwamba kuwa na marafiki 5,000 wanaondika kwenye page yake,haya kiko wapi?ataenda jela miaka mitano baada ya Magufuli ikiisha huyu atatolewa but muda umeshapotea na ni hatari sana kijana unayetafuta maisha kuwa nje ya uwanja wako kwa muda huo ukirudi hujui utaanzia wapi....utapagawa!!!

Na siyo kwamba wote tunakubaliana na inachokifanya sirikali but lazima mtu uangalie unafanya kitu hatari je kikitokea chochote una backup itakayoweza kuku-push kutoka point A to B,C so on?maana watu kama Mbowe Lema Msigwa nk hawa hata waking'ang'aniwa wanaweza kupambana na wanajulikana huko duniani sasa unakosoa halafu upo hapa hapa na picha unajipiga una-post ukijichekesha huku umeandika shit kuhusu serikali,kama kukosoa hata kama bado upo bongo unajivua uhalisia siyo unakosoa na picha umeweka lazima uumie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutajuaje kama na yeye mdude hakuwa mshiriki wa hiyo biashara.? Mtu anakutumia tu 1.7 ysawa huu tena mwanamke hujui kaitoa wapi na hujafanya nae dili? Sio kweli. Hiyo 1.7 mil ni sehemu ya biashara zao. Sema hatujajua miamala mingine waliyotumiana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usidhani wanawake wote chupi zao zimetoboka kama yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli kuwa huyo binti nfiye alimuwrkea madawa mdude issue Ni hivi mdude alikuwa akifanya biashara ya madawa ya kulevya unamtumia pesa kwanza Halafu unaambiwa njoo uchukue mzigo binti wa watu akatuma pesa akaufuata mzigo kumbe polisi walikuwa wakimfuatilia mdude kwa muda mrefu akanaswa binti alikuwa Bado hajafika kuchukua mzigo akauuze Arusha
Unamaana gani tunaposema binti wa watu?. Kama mdude ni muuzaji na binti ni mnunuaji kwanini umwone binti hana kosa mpk kumwita eti binti wa watu!!!
Mbona kwenye kesi mahakamani hatujamwona huyo binti kama mnunuaji. Tuache ujinga.
 
For whatever reason,mkosoaji ni mkosoaji!

Ana haki zake sawia

Siwezi kua hapa nashabikia pure uonevu kutoka kwa oppressing govt kwa innocent victims

Instead the same govt inatakiwa ilinde haki za wakosoaji hao hao

Sad ni kinyume!

Hii stupid move ya uonevu by this oppressing govt imeichafua na chuki level imeongezeka against it,next level!

Sijui akili mnaweka wapi?

Kazi zenu za kuendesha hii nchi ni kubwa maajabu mnapata muda wa kuonea powerless critics who are doing their job
Huyo ni muuza madawa ya kulevya kama alivyo Mbowe wala msisingizie.
 
Huyo ni muuza madawa ya kulevya kama alivyo Mbowe wala msisingizie.
Mdude kazi yaje kupojea mzigo kutokea Zambia na Malawi na Congo na kuupeleka sokoni Arusha kuna mbunge Lema naye Wa kufuatiliwa

Lema na mdude ni Pete na kidole mtakumbuka mdude mwenyewe amewahi tamka kuwa kuna Siku alimsafirisha mdude hadi arusha kwa lengo.la kumpeleka Kenya akaishi huko

Kuna ki drug cartel hapo
 
Back
Top Bottom