J'apris la langue ici en Tanzanie. J'ai etudie a Mwanza et a Tabora en six annees consecutives. Apart de francais, j'ai apris aussi le Latin. Malhereusement je n'ai pas parle la langue i'l y'a 15 ans.Je valide .J'aimerais savoir ,où est ce que avez-vous apris le français ?
hahahahh....wambie. Unababia tuu watu ndugu. Hata muda huu nimepita kwenye ka kiosk hayupo. Mimi ni Dunstan Buberwa Ntamilyango, 0759829015. Sijifichi hata siku moja.Bro kama kweli wewe ndiye ninayekufahamu, mnachokifanya sio sahihi.
Na ninakwambia kama ndugu na mdogo wako.
Bro uliingia uaskari ili uwalinde wale wasioweza kujilinda na sio kuumiza waliokwishaumizwa.
Hebu fikiria kitu!
Nikiwaambia watu humu ukweli kuhusu wewe na alipo shemeji na madogo unadhani watakuwa salama?
Brother umewahi kunisaidia na niliheshimu sana msaada wako ila kwa haya unayofanya sasa hapana!
Sio utu, sio ubinadamu!
Ndiyo. Pango la UfipaHili neno kiki lilishapitwa na wakati kitambo sana,unaishi pangoni?
Jeuri ya kutaja anayo???Na sasa atakuwa na adabu atapinga kwa kutumia maneno ya staha. Akitaka kutukana basi atuige sisi atumie ID fake. Unless kachoka kuishi. Maisha matamu sana jamani. Hasa ukiwa bado kijana mwenye nguvu na afya njema.
Haizui mapambano uchochea kupambana zaidiKwa hiyo mnataka kusema alitolewa malinda
Kama ndivyo Kwnn wasikamatwe hao wanaotengenezaga hayo matukio?, kwangu naamini vyombo vya ulinzi na usalama vinahusika kama vinashindwa wakamata watu wanaotengeneza matukio hayo, full stop.Mambo ya namna hii ndio hupelekea CHADEMA Kudhaniwa kwamba inahusika kuwateka wanachama wake ama kutengeneza matukio ya kiugizaji utekaji ili kupata political stunts...
Pole sana kijana ila Acha kuzunguka sana.....
Advice.
Weka wazi tukio la kutekwa kwako but with Evidence siyo mambo ya kuhis maana kwenye Taaluma ya Sheria Mambo yakuhisi sijui fulan...... Nilimshitaki hivyo huenda alihusika na tukio langu la kutekwa, hicho kitu hakipo!!!!
Endelea kutoa Maneno ya Mafumbo wakushughulikie jumla...
Nchi hii inajitaj mtu uishi kwa misingi ya kisheria na siyo kuropoka ropoka hovyo without evidence eti uwe Maarufu.
Tulia jenga hoja na uliza swali sehem husika na siyo mtandaoni utaonekana una MAJUNGU MKUU hata kama swali lako linamaana kwa Maslai Mapana ya Taifa...
Serikali haifanyi kazi informal angalia hoja zako unaziwasilisha wapi?
Je Kwenye Social Media(Fb etc) au unaandika document yako na kuiwasilisha OFISI husika...
Mytake. Watanzania wenzangu tujifunze namna bora ya kufikisha ujumbe/hoja/swali kwa wahusika ili upate ufafanuzi..
Bila shaka ww ni MTU usiejulikana, nenda kammalizie inaonyesha una chuki naeMdude Chadema ndio mdudu gani mods futeni nyuzi zote za kumuhusu huyu mtu hana faida yoyote kwa Taifa
Jamaa aliposema alipoteza fahamu hajui kilichoendelea kajikuta porini siku ya ngapi tangu kutekwa nikajua tu hii ni namna ya kukwepa kueleza ukweli.
Kama alifanyiwa mambo ya kigiriki ni kwamba hajui kitu.
Walichomtendea jamaa hawezi kuelezea ukweli halisi. Ataleta hadithi za wenzie wote waliopitia tukio kama lake. Hawezi kuwataja wazi wazi ni nani.
Tushukuru karudi mzima mengine anajua yeye na watesi wake.
Kumbe kiosk tu kajipiga grill? Kama sio muoga asingejipiga grillAtaje tuone. Napita kwenye ka kiosk kake kila siku kafunga.
Unafikiri atasema?!! Itabaki kuwa siri yake tuWALI MUAMBER RUTH,,MBONA HAJIELEZI ANASEMA ALIPOTEZA FAHAMU TU......DUNIANI KUNA MAMBO KWA KWELI
hahahahh....wambie. Unababia tuu watu ndugu. Hata muda huu nimepita kwenye ka kiosk hayupo. Mimi ni Dunstan Buberwa Ntamilyango, 0759829015. Sijifichi hata siku moja.
Hiki ndicho nilichoonaAtazunguuuka weee ila kuwataja kwa majina hatoweza japo ndio kiu yetu kubwa.....naweza sema atatupotezea muda tu.wabongo hawana ujasiri huo
Lofa tuu mmoja wa kuhurumiwa.Kumbe kiosk tu kajipiga grill? Kama sio muoga asingejipiga grill
sihusikagi kwenye mambo ya kihuniUmehusika kwenye hii mambo?